ryana fan
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 2,632
- 3,051
Hii beki yenu ni mbovu kuliko ya ndanda
Limefungwa ngapi na ubovu wake?
Hii beki yenu ni mbovu kuliko ya ndanda
man of the matchAna miaka 18 tu. Toka aliporudi kutoka majeruhi Game 4 Assist 4. Mliosema kwanini bayern wanamtaka mtakuwa na majibu sasa. View attachment 1238528
Nadhani man of the match atakuwa Willian maana naye kapambana sana leo
Yale mavuvuzela ya arsenane yametokomea kusikojulikana
Odoi man of the match, Pulisic kaingia kipindi cha pili lakini ukiangalia player ratings kapewa 8 out of 10 sawa na Odoi
Alikua na impact kubwa sana
Mavuvuzela ya asenane kiukweli yametokomea msituni kwikwikwikwiiiiiiiYale mavuvuzela ya arsenane yametokomea kusikojulikana
Hapana siyo Odoi. Hiyo ndiyo final rating s ya wachezaji kwa leoView attachment 1238565View attachment 1238567
sky sports wamempa OdoiHapana siyo Odoi. Hiyo ndiyo final rating s ya wachezaji kwa leoView attachment 1238565View attachment 1238567
Mkuu asikuumize kichwa huyo,ndio walivyo....Afu we jamaa ni mtoto kweli,maana uandishi wako ni ujinga tupu.Kwani ukiandika "kitu" instead of "k2" kuna shida gani.
Vitoto vya form one bh
Ok Mzee baba tupo pamoja, ila jitahidi kubadili uandishi bhn.M n me.kwan m2 kuambiw ukwel ndo unadai amechambwa ksa n mshabk mwenzak wa arsenal
Aiseeh mkuu,hebu wape darasa hawa ndugu zetuNyinyi ndio mashabiki wa chelsea mnaotuhaibisha mtaani, tuonekane mashabiki wengine wa chelsea hatujui mpira....
Ndio nyinyi mnaosema chelsea iliyochukua uefa ndio chelsea bora, wakati ile ndio chelsea mbovu kupita zote...
Sasa kwanini kama umeelewa kuwa nilimaanisha SALAH lakini ukashupaza na kukakamaza misuli ya kichwa na shingo katika suala la r na l na kuacha hoja ya msingi kuwa wewe na wenzio hamjui history ya kitimu chenu mnakuja kuaibisha washabiki wenzenu humu jamvini?Kwan ishu ni umeelew au haujaelew kwa maan umeishiw mada
Kwani uliangalia game?Kuna mtu anauitaga huu ni ushindi wa tabu...hahahahah yaani mnapata taabu kwa newcastle.....hahahaha