Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Umejisahulisha au unauliza hujui tuanzie hapo mkuu??

Bas ni hivi alivyo anza sari si sawa na alivyomaliza ova
Kwani Lampard ameanzaje tofauti na alivyo anza Sarri!! Siyo nyie mnaosema hamna kitu pale? Siyo nyie mnaokuja kumponda kila siku humu?

Haya ameshinda mechi tunamsifia mnasema we ngoja hata Sarri alianza ivyo ivyo. Ninachoelewa mtu akiamua kukuchukia hata ufanye jema lipi ataona ni hamna kitu. Kazi anayofanya Lampard ni nzuri acha isifiwe inapobidi hata ikitokea siku ameharibu tutamponda vilevile.
 
TAMMY ABRAHAM

Huyu jamaa kule Championship league alifunga MAGOLI 34 katika MECHI 79

Now amepanda Epl amefunga MAGOLI 8 katika MECHI 9.

Tammy ana 22 yrs

Suarez magoli 77 before 23 yrs
Rooney magoli 94 before 23 yrs
Torres magoli 97 before 23 yrs
Owen magoli 111 before 23 yrs
Lukaku magoli 119 before 23 yrs
Aguero magoli 124 before 23 yrs

Tammy Abraham tunamuona wapi before 23 age?

Kumbuka Kuwa hao uliowataja hayo Magoli hawakuyafunga Championship kwani hawakuwahi kucheza huko.

Sasa Kama Tammy Abraham ana Miaka 22 ndiyokwanza ana Magoli 8 ya EPL (Kwenye Mashindano mengine sijui ana Mangapi) sasa baada ya Mwaka 1 ili atimize 23 years kweli anaweza kufika japo 40?
 
King Ngwaba nakusalimu🤝

Umeadimika siku hizi. Karibu uwaone vijana wanavyotandaza boli huku.

Leo sitaki Salamu ya Mtu coz najua Manure hata awe mbovu Vipi lakini hatokubali afungwe na Liverpool kiboyaboya.

Usijeshangaa Leo Rashford akawa Messi, Lingard akawa Neymar, Scot akawa Busquet.
 
Nyie si ndio hamuwajui Hernan Crespo na Gudjohnson hahahahaaaa sasa kama hao wachezaji wa juzi tu huwajui utawajua kina Celestin Babayaro,TAF,Zola,na kina Didier Deschamps nyie Generation ya kina Mason Mount na Odoi ni kwikwi aseeeehhhh
Ahahahaahah labda kwa hao wengine ila sio kwangu
 
Wakuu kwani nyie kinawauma nini? Kama ni record uchwara si imetumwa jukwaa la Chelsea, mbona mnataka kuingilia uhuru wa kikatiba wa watu?Chuki ni mbaya sana
Akuchukie nani mkuu????
Na kwa lipi???

Mtu wa LIVERPOOL,MANCHESTER UNITED na ARSENAL hawezi kuchukia chelsea bwana kwasababu hana sababu ya kufanya hivyo....huo ni utani tu wa kisoka na ndio burudani yenyewe kwa sisi mashabiki....sasa haya majukwaa yaliwekwa ya nini kama mnataka mujifungie wenyewe peke yenu mujazane ujinga...



Chelsea inaweza kuchukiwa na watu wa ASTON VILLA maana wao ndio unakaribiana nao kimafanikio....wewe ndio wakuvichukia hivyo vilabu vitatu hapo juu maana ndio vikwazo vyako katika kupata utitle wa England
 
Huwa nakasirika sana mnavyopoteza MUDA NA NGUVU kubishana na mashabiki wa ARSENAL na Emery wao tangu aje kila msimu wanatoka mikono tupu.

Tujenge na kukosoana kwa hoja na Mashibiki wa LIVER NA MAN CITY waliotoka na makombe msimu ulioisha. Ndio level zetu

Achaneni na hizo mbarara za Arsenal hatufanani nao.
Emery ana misimi mingapi Arsenal????

Kwani kuwa shabiki wa chelsea ni lazima uwe poyoyo wa fikra na utoto mwingi????

Hiki kitimu kidogo kama akili za vishabiki vyao...
 
Kumbuka Kuwa hao uliowataja hayo Magoli hawakuyafunga Championship kwani hawakuwahi kucheza huko.

Sasa Kama Tammy Abraham ana Miaka 22 ndiyokwanza ana Magoli 8 ya EPL (Kwenye Mashindano mengine sijui ana Mangapi) sasa baada ya Mwaka 1 ili atimize 23 years kweli anaweza kufika japo 40?
Hahaha vigoli vya championship vimeingizwa kwenye rekodi tayari aiseeehhh
 
Sawa ZUMBUKUKUU

SARI na CONTE walichukua makombe ndani ya msimu mmoja.

Emery ana misimu mingapi?
Wewe ndio mwendawazimu kwelikweli,na akili zako fupi...kwahiyo KLOPP ni kocha mbovu???

Hujielewi wewe,na ndio maana nasema vitoto kama nyinyi ndio mnasababisha hiki kitimu kizidi kudharaulika...shubamitt
 
Hahaaa ni kwel mkuu hawa dawa yao hakuna kuwaacha yaan kuwakaba maana bad wanajazana ujinga sijui kwavile wameanza kushabikia mpira juzi ww ona vistats wanavyowekeana humu havina kichwa wala kiuno mpk unajiuliza hik nacho cha kupost au ndo ushamba uliopitiliza .



Afuu kingine haka kauzi kao kanaongoza kwa watu wenye mapovu yaan ukiwaswitch kidogo tu unapata povu lakutosha yaan ni kwamba hawawezagi kuvumilia kbs sasa najiuliza kama watapitia kipind kigumu kama cha sis washabiki wa LFC tulichopitia hapo nyuma si watakimbia mpk na kuufuta na huu uzi isitoshe washabik wa hik kitimu wanaonekanaga kipind cha mafanikio tu ,kuna mwingine huku mdogo wangu yeye huwa anashabikia kipind cha ushindi ili ikianza kizingua anajifanya anaipenda barca sio kawaida na hata humu kwenye uzi wao(fan wa cheltako) anatabia hiyo bwana mkubwa ollachuga oc


Yaan hiki kitimu chao tukibaatize tu jina jingine kama walivyo mbaatiza nyumbu now anaitwa Lia Lia fc

Hawa nadhan wawe povu fc
 
Hahaaa ni kwel mkuu hawa dawa yao hakuna kuwaacha yaan kuwakaba maana bad wanajazana ujinga sijui kwavile wameanza kushabikia mpira juzi ww ona vistats wanavyowekeana humu havina kichwa wala kiuno mpk unajiuliza hik nacho cha kupost au ndo ushamba uliopitiliza .



Afuu kingine haka kauzi kao kanaongoza kwa watu wenye mapovu yaan ukiwaswitch kidogo tu unapata povu lakutosha yaan ni kwamba hawawezagi kuvumilia kbs sasa najiuliza kama watapitia kipind kigumu kama cha sis washabiki wa LFC tulichopitia hapo nyuma si watakimbia mpk na kuufuta na huu uzi isitoshe washabik wa hik kitimu wanaonekanaga kipind cha mafanikio tu ,kuna mwingine huku mdogo wangu yeye huwa anashabikia kipind cha ushindi ili ikianza kizingua anajifanya anaipenda barca sio kawaida na hata humu kwenye uzi wao(fan wa cheltako) anatabia hiyo bwana mkubwa ollachuga oc


Yaan hiki kitimu chao tukibaatize tu jina jingine kama walivyo mbaatiza nyumbu now anaitwa Lia Lia fc

Hawa nadhan wawe povu fc
Hahaaaaa ama kweli ni Povu fc
 
Huwa nakasirika sana mnavyopoteza MUDA NA NGUVU kubishana na mashabiki wa ARSENAL na Emery wao tangu aje kila msimu wanatoka mikono tupu.

Tujenge na kukosoana kwa hoja na Mashibiki wa LIVER NA MAN CITY waliotoka na makombe msimu ulioisha. Ndio level zetu

Achaneni na hizo mbarara za Arsenal hatufanani nao.
Huyo nilomjibu ni shabiki wa Liver ila nashangaa ana tu element twa Arsenal
 
Akuchukie nani mkuu????
Na kwa lipi???

Mtu wa LIVERPOOL,MANCHESTER UNITED na ARSENAL hawezi kuchukia chelsea bwana kwasababu hana sababu ya kufanya hivyo....huo ni utani tu wa kisoka na ndio burudani yenyewe kwa sisi mashabiki....sasa haya majukwaa yaliwekwa ya nini kama mnataka mujifungie wenyewe peke yenu mujazane ujinga...



Chelsea inaweza kuchukiwa na watu wa ASTON VILLA maana wao ndio unakaribiana nao kimafanikio....wewe ndio wakuvichukia hivyo vilabu vitatu hapo juu maana ndio vikwazo vyako katika kupata utitle wa England


Kupata vituko vingine kama hivi andika neno BAKU kisha bonyeza 4-1
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom