Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sasa hapo kuna utani gani?

Serious ni nyinyi mnaposemaga Kepa ni bora kuliko Allison Becker,ila wenzenu wakisema Odoi kwa Saka Bukayo anasubiri inakuwa utani!!!!!!
NA MIMI NASEMA HIVI ATASUBIRI SANA NA JIBU UTALIPATA KESHO


Aiseeeehhhh nyie mbona mnakuwa hivyo
Sasa hapo ndio unakosea. Ni siku tulishawahi kusema Kepa ni bora kuliko Allison? Kumbe yawezekana siku zote unapokuja mjadala wa Kepa huwa hatuelewani! Sasa ngaoja nikueleweshe leo huwa tunapinga mnaposema Kepa ni mbovu na hajawahi kulinganishwa kipa mwingine zaidi ya Leno wenu.

Haya kuhusu Saka uache vituko huyo dogo akazekaze ataweza kuja kufikia kiwango cha sasa cha Odoi miaka mitatu ijayo yan wakati wote wana 21 Saka ndio atakua kama Odoi sasa ivi sasa usiniulize kipindi hicho Odoi atakuaje
 
Nilikua najaribu kumfafanulia huyo ndugu yako kwa mfano huo sasa naomba mueleweshe huyo si kwakua flani kasema huwezi ndio iwe huwezi akili yako ikistuck hapo umekwisha(Harmonize). Don't take it too personal.
Sio waliominika wanaujua muziki nani aliwaamini?kama uliwaamini wewe sio kila mtu aliwaamini,alafu mambo ya soka yameisha naona unaleta habari za miziki hapa hahahahaha.....
 
Kiongozi upo Bariadi lakini unaiwaza Babati wakati mbeleyako pana Nzega?

Nakukumbusha tu kuwa aliyepo mbele yako sio Liverpool bali ni Leicester City! Kwahiyo fikiria kwanza kumfika na kumpita Leicester.
wewe tunakuhesabia mechi, Mane uyo uyo EPL, uyo Uefa, uyo uyo FA yani mwanzo mwisho ...desemba tutakuwa tunawapumulia apo kisogoni.

NB: ,(kupanuliwa) so tusi kikwetu.
 
Pepe anacheza kama kuku kakatwa kichwa . Hana impact yeyote uwanjani. Anajaza nafasi tuu timu itimie eleven players
Mkuu Pepe ni mchezaji, hata composure yake utajua tu ni mchezaji. Aidha hajafit Arsenal au hajazoea bado EPL. Tatizo la Arsenal kwa sasa liko kwenye viungo na mabeki. Arsenal wakikutana na akina Tammy na Mount hao mabeki watakula mabao ya kutosha
 
Sancho alimuweka benchi. Pulisic ni mchezaji mzuri ni swala la muda tu. Sitaki kuamini uwezo aliouonyesha timu ya taifa ulikua wa muda.

HAJAAMINIWA TU
Tatizo nafasi anayocheza ina ushindani, huo muda wa kumuamini Lampard hana. Akipewa Carabao na FA ajitahidi sasa maana Juzi kwenye Carabao mwenye ratings za chini kuliko wote ni Pulisic alikuwa na rating ya 4 wakati academy ambao hata hawajaanza kwenye First XI akina Billy walikuwa na rating ya 9. Hata Batshuayi alikuwa na 8.

Kama tu Carabao mechi na timu ya Grimsby Town timu ya League Two anapata rating ya 4,
je akicheza na akina Derby ya Championship atapata ngapi.
Je akicheza na EPL teams ataperform kwa kiwango gani.
Je akicheza UEFA itakuwaje?
Hayo maswali ndio iliyompelekea Lampard amuweke benchi. Haijalishi hata kama tumelipa pesa nyingi, tutakuja muuza kwa paundi mil 20 au 5 asipojiimarisha. Kama Luiz tu tulimnadi kwa mil 8 je yeye si itakuwa rahisi tu.
 
Usajili wa Bakayoko, Morata, Drink Water, Zapacosta haukuinufaisha Chelsea bora mara 10 au 20 tungegeukia academy tukasave pesa
 
wewe tunakuhesabia mechi, Mane uyo uyo EPL, uyo Uefa, uyo uyo FA yani mwanzo mwisho ...desemba tutakuwa tunawapumulia apo kisogoni.

NB: ,(kupanuliwa) so tusi kikwetu.


Umemuona Mane kwenye FA au Carabao?

Kwahiyo Kina Joginho, Abraham, Willian, Alonso na Kepa wanacheza EPL tu kwenye UCL hawatocheza wao?
 
Ukiona madrid inakuuzia mchezaji jiulize mara mbilimbili kwa morata nilijua tumepigwa za uso. Kwa kovacic iliwalazimu watuuzie jumla kutufuta machozi ya morata.
Issue sio Madrid kwa sababu mbona kwa Kovacic tumepatia?
 
Chelsea's Partnership of Fikayo Tomori & Andreas Christensen Could Become the Best in the League

The Blues' performance against Brighton on Saturday was effectively perfect during the game, but that all started from the dominant showings of center-backs Fikayo Tomori and Andreas Christensen. They may be one of the youngest pairings in the Premier League, but they're already on the way to becoming one of the division's finest.
 
Ningekuwa mimi Lampard Barkley ni wa kumpumzisha kabla ya dk ya 60 aingie Kovacic
Pia Christensen angepumzishwa asije akatupa red card nafasi yake aingie hata Reece anaweza kucheza CB
Pedro pia apumzike aingie Odoi. Pedro anacheza vizuri ila tumjaribu Odoi yeye ni mwepesi
Anayefanya Brighton wacheze cheze ni Barkley kwa kupoteza poteza mipira hovyo, too slow na hayuko uwanjani sijui yuko wapi
Barkley anawezaje kucheza Chelsea Motihno&Neves wapo wolves? ,nakiri Haya ni matumizi mabaya ya Chelsea
 
Only Liverpool and Manchester City have scored more goals this season. Chelsea rank second for shots, shots on target, and chances created from open play, while only City score higher for expected goals, which is to say that their opportunities are high on quality as well as quantity. Chelsea have completed more dribbles than any other side.
skysports-chelsea-frank-lampard_4789591.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom