Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 16,025
- 27,365
Umeelewa alichoongea huyo?Kwamba spurs kazidiwa na Chelsea? Huu utani
Umeelewa alichoongea huyo?Kwamba spurs kazidiwa na Chelsea? Huu utani
Hakikisha unashinda kesho. [emoji839]Nimegundua kuwa Kepa ndio amesababisha bei ya mapazia kupanda kule manzese......machinga wanatumia bei ya pazia kepa kupandisha soko la bidhaa zao za mapazia......
Hakikisha unashinda kesho. [emoji839]
Jamaa lina mahaba balaa
Ana assist ngapi?Hudson Odoi tayari analingana assist na Pepe. Sijui wamecheza dakika ngap?
Hajaonesha kitu ,mnataka afanye nn zaid?Pulisic kacheza mechi ngap adi Sasa,nawaza mtu kama wewe unaejua mpira unamjudge mchezaji at mech sita ajafikisha , ata uyo pepe wenu bado ajaonyesha kitu chochote kipya ila ndo unaona pulisic hajui!?
Odoi hata kwa Saka bado, ndio umfananishe na Pepe? Acha masihara aiseeHudson Odoi tayari analingana assist na Pepe. Sijui wamecheza dakika ngap?
Pulisic mlipigwaSancho alimuweka benchi. Pulisic ni mchezaji mzuri ni swala la muda tu. Sitaki kuamini uwezo aliouonyesha timu ya taifa ulikua wa muda.
HAJAAMINIWA TU
Mkuu ya kesho ni majaliwa yawezekana isizime simu vikazima vingine. Tunaongea tukitumainiKesho SAA 3 usiku simu yako inaisha chaji na umeme unazimwa! Na ukumbuke Kuwa huna Solar
Hudson ana assist moja EPL mechi ya kwanza katokea benchi. Pepe pia ana assist moja.Ana assist ngapi?
Maana pepe ana assist 2 na goli 1
Na kesho anauwasha moto
Saka na odoi !? Seriously hahaha saka anamagori mangapi apo arsenal!?Odoi hata kwa Saka bado, ndio umfananishe na Pepe? Acha masihara aisee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tatizo lako huelewekagi ni muda gani utaleta utani na muda gani utakua serious. Hebu one hii surprise ya utaniOdoi hata kwa Saka bado, ndio umfananishe na Pepe? Acha masihara aisee
haahaa ukweli mchungu huu kuumezaHudson Odoi tayari analingana assist na Pepe. Sijui wamecheza dakika ngap?
Zaha = 10 PepeZaha = 10 pepe
Klopp ni nani Chelsea? Kwakua yeye alimkataa ndio inamaana hawezi chochote. Kwan ni wangapi walioaminika wanaujua mziki walimkataa Harmonize kabla hajatoka? Haya niambie hao watu wako wapi sasa?Pulisic mlipigwa
Marina hana uwezo mzuri kwenye maswala ya ufundi
Jiulize why klopp aligoma kwa hiyo bei mliyopigwa
Ni mchezaji wakawaida sana ,
Pulisic hata iwobi hamkuti
Hahaa..Ki ukweli pepe ni bora akarudi League 1, epl imeshakuwa ngumu kwake anacheza kama kuku amekatwa kichwa.
Saka kufunga ueropa ndo wanaona maajabu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tatizo lako huelewekagi ni muda gani utaleta utani na muda gani utakua serious. Hebu one hii surprise ya utani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tatizo lako huelewekagi ni muda gani utaleta utani na muda gani utakua serious. Hebu one hii surprise ya utani
Klopp ni nani Chelsea? Kwakua yeye alimkataa ndio inamaana hawezi chochote. Kwan ni wangapi walioaminika wanaujua mziki walimkataa Harmonize kabla hajatoka? Haya niambie hao watu wako wapi sasa?
Acha kukaririshwa.