Hata ww mpira hujui mkuuuuAlonso hamna kocha humu
Tatizo anapanga mabeki wengi kuliko viungo wapandisha mpira mbele mara nyingi tunashambuliwa na kufunga magoli ya kushitukiza nakuunga mkono kwa hii formation hatufiki mbaliKocha hatuna kwa uchezaji huu na upangaji wa kikosi hata top 4 hatuingii
Alonso ni takataka
View attachment 3660106
Kipindi unaposses 75% ulishawahi wafunga BrightonKocha hatuna kwa uchezaji huu na upangaji wa kikosi hata top 4 hatuingii
Alonso ni takataka
View attachment 3660106