Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kocha hatuna kwa uchezaji huu na upangaji wa kikosi hata top 4 hatuingii
Alonso ni takataka
Screenshot_20260830_175737_Google.jpg
 
Kilichonikera tu leo ni kocha kushindwa kufanya game management 4-2 unakomaa kuputua mbele wakati unaweza jilinda kwa kucheza pasi fupi fupi na kumaintain possession
Anyway japo tukubali kocha bado yupo kwenye experiment cha kushukuru matokeo yanapatikana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom