Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Inatakiwa tuendelee kushinda hivi ivi mwanzo mwisho ..mpka Desemba tuwe angalau karibu au kumpita hii Liverpool ..awa wameshaanza kuchoka na uwezo tunao ..
Kila la kheri Chelsea[emoji170][emoji170][emoji170]
Kiongozi upo Bariadi lakini unaiwaza Babati wakati mbeleyako pana Nzega?
Nakukumbusha tu kuwa aliyepo mbele yako sio Liverpool bali ni Leicester City! Kwahiyo fikiria kwanza kumfika na kumpita Leicester.