Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tomori ameprove kwamba Lampard alikuwa sawa kumuuza Luiz kwa ajili ya kumuacha nafasi
Hapo chini angekuwa Luiz tungeshalizwa penalty sio chini ya mbili au mabao ya kutosha. Tomori rating yake ilikuwa 9 wa pili Kante pointi 8 na wakafuatia wengine. Imekuwa desturi sasa hivi kila mechi Tomori anaibuka na rating kubwa kuliko wengine. Akiendelea hivi mpaka mwishio wa msimu Tomori atabeba Player of the year kwa Chelsea
NINTCHDBPICT000524292204-e1569324243298.jpg
 
Kumbe PoY kwa chelsea aaaaarghhh mimi nikajua kwa EPL hapo chelsea hata MAPINDUZI BALAMA akija lazma achukue PoY kwa sasa hali ilivyo.
Tomori ameprove kwamba Lampard alikuwa sawa kumuuza Luiz kwa ajili ya kumuacha nafasi
Hapo chini angekuwa Luiz tungeshalizwa penalty sio chini ya mbili au mabao ya kutosha. Tomori rating yake ilikuwa 9 wa pili Kante pointi 8 na wakafuatia wengine. Imekuwa desturi sasa hivi kila mechi Tomori anaibuka na rating kubwa kuliko wengine. Akiendelea hivi mpaka mwishio wa msimu Tomori atabeba Player of the year kwa Chelsea
NINTCHDBPICT000524292204-e1569324243298.jpg
 
Nimecheki mchezo wa Man U na Arsenal very very boring. Utafikiri Stand United vs Singida United ndio walikuwa wanacheza. Comparably na quality ya Chelsea, ni suala la muda tu Arsenal na Man United watakwamia kwenye mid table kama wakiendelea kucheza style ile, no game plan nzuri na ball control, no pass accuracy no communication hovyo tu! Pepe kashindwa kabisa ku-cope na EPL arudishwe tu League 1 Arsenal wameibiwa pesa zote zile
Leicester city na West Ham wana mpira mzuri kuliko hao majirani
 
Sky Sports pundit Jamie Carragher on Chelsea Performance Quality against Man United and Arsenal
"At the start of the season, I thought Chelsea might struggle to get into the top-four. It will still be a fight but even in these early stages, they have more quality than what we have seen from these two teams.”
 
Nilitegemea Tomori atacheza vizuri Zaidi ya Luiz ila sikufikiri kuwa angeenda maili nyingi kiasi hiki mpaka sasa anakuwa ndio stori kuu ya mjini
 

Predicted lineup kesho kwenye UEFA na Lile
Formation 4-2-3-1

Tammy
Odoi - Mount - Willian
Jorginho - Kovacic
Alonso - Tomori - Christensen - Azpilicueta
Kepa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom