Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,591
Karibuni, mechi ya Chelsea vs Liverpool itakuwa ngumu kuliko wengi wanavyodhani. Chelsea itakuwa very disciplined kwa kutambua our opponents are at a high level ila tambua hatutapaki basi maana hilo neno halipo kwa Lampard. Tutawashambulia na ninyi lazima mtajitahidi kushambulia.
Lampard anapenda yimu yake ifunge hata 4-2 kuliko 2-0. It's attack attack attack mwanzo mwisho.
Kwa wale wanaobeti chagueni both teams to score. Ukiibetia Liverpool ku-win au Chelsea kuwin utakuwa kwenye pressure dk 90 zote za mchezo
Haya ni maneno ya kishujaa.
First two games; vs Man Utd na Liverpool timu ilicheza vizuri sana, nikafikia kusema ngoja nione games 10, hasa mtakapokutana na middle table teams ambazo ni full kupaki bus.
Mpaka sasa naiona Chelsea nisiyoweza kuitabiri, hasa baada ya droo ya Leicester, ushindi wa tabu kwa Norwich (kulikuwa na easy goals na mnaachia sana nyuma), game ya jana sikuwa na concentration maana kulikuwa na game nyingi, nilikuwa naangalia ya Man Utd zaidi.
The two things I am banking on ni defense na forward zetu, katikati naacha iwe fair battle, especially kama Kante anarudi chini zaidi.