lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 16,452
- 21,894
Hiyo ni kwa ajili ya Aroon, yeye ni member wa kudumu humuHii wapelekee arsenal mkuu
Hiyo ni kwa ajili ya Aroon, yeye ni member wa kudumu humuHii wapelekee arsenal mkuu
Halafu we Ngwaba timu yako inafanya vizuri halafu unajichafua kwa Akina Aroon
ni sawa na kukaa high table mbele yako kuna wali kuku fresh na moto na matunda murua halafu unaanza kunusa nusa ugali maharage tena kiporo cha juzi Katika meza za akin a Aroon (Arsenbal ni kama kiporo cha ugali maharagwe in ayovunda)
EPL goal of the week from Chelsea Vs Wolves
long range Tomori goal
Unajua tunakuheshimu sana,ila tunakushangaa kwa kauli zako hizi huoni kuwa unajivunjia heshima yako kwakuongea maneno ya ajabu ambayo hata mtoto mdogo hawezi kuyaongea.Leo mmefufuka enheee
Ngoja kesho tuwarudishe nafas ya 8-9
Halafu next Liverpool awakarange
Mwisho wa msimu nafasi yenu 10-15
Halafu tunamchukua Tammy aje kama backup Ya lacazette
Maana tammy ni Arsenal fan , Chelsea anapoteza muda tuView attachment 1207792View attachment 1207793
Huyu Pukki ndie kaipandisha Norwich daraja, akichukuliwa tu mwisho wa msimu kama Norwich bado ipo EPL basi msimu unaofuata ni kushuka darajaLuiz vs Pukki
Mungu niepushe nisijeiangalia hii game kwani Pukki si Mtu mzuri
Madhara ya Pukki:
√ Kwa Liverpool katupia goli 1
√ Kwa Chelsea katupia goli 1
√ Kwa Man City katupia goli 1
√ Kwa Arsenal ?????????
Huyu Pukki ndie kaipandisha Norwich daraja, akichukuliwa tu mwisho wa msimu kama Norwich bado ipo EPL basi msimu unaofuata ni kushuka daraja
Luiz atakula sio chini ya 2 na Harry Maguire lazima atobolewe
Huu mfumo wa 4-2-3-1 Azpi anakuwa uchochoroKwahiyo ule mfumo wa mwanzo hatuuchezi tena majeruhi wakipona 4-2-3-1.
Tammy Abraham
Pulisic - Mount - Willan
Joginho - Kante
Emason - Rudger - Christensen - Azipu
Kama tunapata matokeo hata Kante akiachwa, all fineNi kweli ila huu mfumo utaacha wachezaji wengi benchi kama masub.
Emerson
Kovacic
Barkley
Odoi
Cheek
Zouma
Pulisic
Reece
Giroud
Batshuay
Kwani gemu sio leo mkuu?Chelsea na Valencia wanakutana kesho usiku kwenye Fainali za UEFA hatua ya makundi wakiwa na matokeo ya ligi zao zinazofanana kwa kukinzana
Chelsea wakishinda 5-2 dhidi ya Wolves ugenini
Valencia wakishindwa kwa 5-2 dhidi ya Barcelona ugenini
Mechi zote za UEFA ni Jnne na JtanoKwani gemu sio leo mkuu?
Ahaa sawa nilisahau ..nikadhani leo juma nne..Mechi zote za UEFA ni Jnne na Jtano
Duu Rudiger injury inamuandama kama Kante sasa
Kesho Rudger hachezi, zouma will be back.
Ahaa sawa nilisahau ..nikadhani leo juma nne..