Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ushindi wa Jana unafanya hadi mmeanza kudharau legend wenu.
Huwezi fananisha Drogba na huyo dogo acheni matusi nyie. Dogo mwenyewe hajaonesha hata robo ya uwezo wa Costa.
Hangover ya Drogba inawatesa kama ilivyo ya Ronaldo na Henry kwa wengine.
Waheshimuni ma legend msifananishe na hivi vitoto bado wanasafari ndefu sana.
Kweli kabisa Bosi
 
Ambavyo kuondoka kwa Coutinho toka Liverpool kwenda Barcelona kulivyoleta manufaa kwa Liverpool.

Wakati mwingine huwa kuna faida au hasara kuondoka kwa mchezaji m1 muhimu sana ktk klabu kama ilivyokuwa hasara kwa Liverpool alipoondokaga Kabi Alonso.
Huko nyuma tulisema haya
Ban italeta manufaa Zaidi kwa Chelsea > 200m saved
Kuondoka kwa Hazard kutaleta manufaa Zaidi kwa Chelsea
Hawa vijana tuwape muda watatupa raha
 
Nakumbushia tu
Tammy kabakiza goal 3 tu afikie magoal ya rashford aliyowahi kufunga katika msimu wake bora
 
Lecazete + Ozil + Pepe jumla yao hawatafikisha magoli ya Mount. Huwa napenda kuanalyse na kuzungumza mapema, na wengi huwa wanapinga lkn napenda kuangalia vitu vingi. Mount na Abraham na Tomori wa wadogo lakini uwezo wao ni mkubwa sana
Ozil hajacheza mech yeyote ,laca kacheza mech 2, pepe ndio ameanza mech 2 ,

Subiri tuone mwisho wa msimu ndio ulinganishe

Kipind hicho ,ukiwa nafasi ya 10-15

Leo Everton ,arsenal na westham kesho wakishinda Unapelekwa nafasi yako ya 8-9

Yakiwa maandalizi next week utakapopigwa na Liverpool , na kurudishwa nafasi yako ya 10-15.
 
Kweli kabisa nakuunga mkono Kama ulivyosema hatuwezi kumaliza juu ya wolves, Leceister,everton yaani baada ya mechi 10 tukiwa top 6 tunachukua ubingwa, kazi yangu kubwa ni kuunga mkono

Kwa kweli unamuunga mkono. 🤪🤪🤪🤪
 
Tammy abrahama hata mil 10 hafiki
Morata dhamani yake mil Zaidi ya 70
Saa nyingine inabidi tu hizi ban tuwe tunaomba zije

Ha ha ha ha ha ha ha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ili tupambane na hali zetu. Chelsea ina accademy nzuri ambapo tukiwapa nafasi kila msimu tunanyofoa wawili au watatu na kuwapandisha timu kubwa mbona tungekuwa tunatumia kiasi kidogo kwenye usajili.
 
Ushindi wa Jana unafanya hadi mmeanza kudharau legend wenu.
Huwezi fananisha Drogba na huyo dogo acheni matusi nyie. Dogo mwenyewe hajaonesha hata robo ya uwezo wa Costa.
Hangover ya Drogba inawatesa kama ilivyo ya Ronaldo na Henry kwa wengine.
Waheshimuni ma legend msifananishe na hivi vitoto bado wanasafari ndefu sana.

Kudharau au tunamvalisha viatu vya Didie Drogba. Sina uhakika kama kuna shabiki wa chelsea anaweza mzarau drogba. King drogba is our legend foreva
 
Kweli kabisa huyo pepe mwenyewe anacheza kama kuku amekatwa kichwa bora Iwobi alikuwa anafunga.
Sasa AROON anayeangalizia mpira livescore ukisikia anavyowa-hype Arsenal utadhani wachezaji wa maana. Mimi nilisema humu tangu Chelsea tuna timu ya ushandani regardless hatujasajiri au Hazard kaondoka. Na hata defensive errors it's because the players are starting to form the chemistry, Rudiger na Kante were injured. Lkn timu yetu itacompete huko mbele. Hatuko level moja na Liverpool or Man City lkn sisi ni wazuri kuliko Man U na Tottenham na Arsenal hii baada ya kumsajili Pepe na Ceballos wanatafuta kuwa na quality angalau ya Chelsea japo hawajafikia.
 
Karibuni, mechi ya Chelsea vs Liverpool itakuwa ngumu kuliko wengi wanavyodhani. Chelsea itakuwa very disciplined kwa kutambua our opponents are at a high level ila tambua hatutapaki basi maana hilo neno halipo kwa Lampard. Tutawashambulia na ninyi lazima mtajitahidi kushambulia.

Lampard anapenda yimu yake ifunge hata 4-2 kuliko 2-0. It's attack attack attack mwanzo mwisho.

Kwa wale wanaobeti chagueni both teams to score. Ukiibetia Liverpool ku-win au Chelsea kuwin utakuwa kwenye pressure dk 90 zote za mchezo
Tunakuja darajani next weekend, tukaribisheni.
 
Ozil hajacheza mech yeyote ,laca kacheza mech 2, pepe ndio ameanza mech 2 ,

Subiri tuone mwisho wa msimu ndio ulinganishe

Kipind hicho ,ukiwa nafasi ya 10-15

Leo Everton ,arsenal na westham kesho wakishinda Unapelekwa nafasi yako ya 8-9

Yakiwa maandalizi next week utakapopigwa na Liverpool , na kurudishwa nafasi yako ya 10-15.
Huu ni mwanzo hata Leicester unaweza mkuta top four at some point. Don't be fooled, this is a league. Mwisho wa msimu nyie mna-compete for top four while Chelsea is already there. It is just fighting to maintain it's position and getting a silverware. Ila nyie ndo mnatafuta kufuzu champions league na hilo ndo kombe la Arsenal tangu 2002

Kwa hiyo msipokazana mtajikuta namba 6/7
 
Leo mmefufuka enheee

Ngoja kesho tuwarudishe nafas ya 8-9

Halafu next Liverpool awakarange

Mwisho wa msimu nafasi yenu 10-15

Halafu tunamchukua Tammy aje kama backup Ya lacazette

Maana tammy ni Arsenal fan , Chelsea anapoteza muda tuView attachment 1207792View attachment 1207793
A boy is living his dream. Hakuna mchezaji wa kuja Arsenal huko. Kumbuka Van Persie, Sanchezi, Ramsey, Cole, ...Auba in the way. Hakuna mchezaji anapenda kuharibiwa ndoto zake za kimpira na litimu la ovyo. Hata Giroud baada ya kuwin vikombe Chelsea ndo amedhihirisha kuwa Arsenal imemrudisha nyuma
Screenshot_20190915-171604.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom