Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread


Ushindi wa Jana unafanya hadi mmeanza kudharau legend wenu.
Huwezi fananisha Drogba na huyo dogo acheni matusi nyie. Dogo mwenyewe hajaonesha hata robo ya uwezo wa Costa.
Hangover ya Drogba inawatesa kama ilivyo ya Ronaldo na Henry kwa wengine.
Waheshimuni ma legend msifananishe na hivi vitoto bado wanasafari ndefu sana.
 
Aroon ndio mtu wa kwanza kupinda wachezaji wa Championship. Leo hii Pukki ana magoli 6, Tammy ana 7. Lacazigo ana ngapi?
Endelea kupiga kelele tu, baada ya mech 10 nitakuja kuwafanyia tathmin hapa

By the way Lacazette kaumia ,lkn tutawafananisha na hao watu mwisho wa msimu , Mpaka sasa ana goli 2
 
Endelea kupiga kelele tu, baada ya mech 10 nitakuja kuwafanyia tathmin hapa

By the way Lacazette kaumia ,lkn tutawafananisha na hao watu mwisho wa msimu , Mpaka sasa ana goli 2
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa hivi unakuja kwa heshima na adabu. Unakuja na vikauli kama "tutafanya tathimini mwisho wa msimu"

Bado kidogo mafuta yataanza kujitenga na maji.
 
Ushindi wa Jana unafanya hadi mmeanza kudharau legend wenu.
Huwezi fananisha Drogba na huyo dogo acheni matusi nyie. Dogo mwenyewe hajaonesha hata robo ya uwezo wa Costa.
Hangover ya Drogba inawatesa kama ilivyo ya Ronaldo na Henry kwa wengine.
Waheshimuni ma legend msifananishe na hivi vitoto bado wanasafari ndefu sana.
Hakuna aliyemfananisha na hakuna aliyesema Drogba kadharauliwa nadhani ni mihemuko yako inakupelekea kuhisi hivyo.

Labda niambie kwa nini wewe umejiita hilo jina?
 
Nilivyoona lampard kubadilisha formation na akacheza 3-5-2 nikajua Leo tunaenda kushinda cos wolves wanakaba Sana na wanamtegemea counter attack kuwin game so lampard aliliona hili ndomaana akaja na huo mfumo wakuzuiya counter attack zao na kwel tukawafanya the way we want
ilikuwa ni 3-4-2-1 waliocheza 3-5-2 ni Wolves
 
Ushindi wa Jana unafanya hadi mmeanza kudharau legend wenu.
Huwezi fananisha Drogba na huyo dogo acheni matusi nyie. Dogo mwenyewe hajaonesha hata robo ya uwezo wa Costa.
Hangover ya Drogba inawatesa kama ilivyo ya Ronaldo na Henry kwa wengine.
Waheshimuni ma legend msifananishe na hivi vitoto bado wanasafari ndefu sana.
Hakuna aliyemdharau Drogba na wala Tammy kumpita Drogba haina maana kadharauliwa. Kwa umri wake wa miaka 21 na anaku hatari namna hii, sio tu kumfananisha na Drogba hata kumpita anaweza kumpita. Kwani Drogba alikuwa ni MUNGU?
 
Huu mfumo umemfanya almost kila mchezaji kuwa kwenye form nzuri. Azpi no longer exposed kwa sababu kama wing-back akiwa na backup wengi hasa Willian naye Alonso naye anacheza kama wing-back akiwa na backup ya Mount. Alonso kamthibiti kisawasawa Traore
Magoli yote miwili yamotokea baada ya Defense kuzubaa. Goli la kwanza pamoja na Tammy kujifunga lakini pia Christensen na Tomori wangekuwa sharp, Saiss asingeweza kupiga kile kichwa na goli la pili Cutrone kufunga kirahisi kwa mazingira yale yale ya defenders kuzubaa
 
Huyo jamaa betri yake huwa inachomolewa sijui na nani!! Maana kama Mount au Abraham wakiwa championship caliber, Lacazete atakuwa level ya league 1 maana mpaka sasa hajafikisha hata magoli ya Mount, alafu magoli yake ukiyazidisha mara 3 hayafikii ya nabii Ibrahim. Sasa sijui ndo tusema Abraham ni Lacazete 4?

Alafu tatizo la Arsenal wana genge la wachezaji wabovu wazuri wanahesabika kama Auba na Pepe? may be.
Aroon ndio mtu wa kwanza kupinda wachezaji wa Championship. Leo hii Pukki ana magoli 6, Tammy ana 7. Lacazigo ana ngapi?
 
Endelea kupiga kelele tu, baada ya mech 10 nitakuja kuwafanyia tathmin hapa

By the way Lacazette kaumia ,lkn tutawafananisha na hao watu mwisho wa msimu , Mpaka sasa ana goli 2
Lecazete + Ozil + Pepe jumla yao hawatafikisha magoli ya Mount. Huwa napenda kuanalyse na kuzungumza mapema, na wengi huwa wanapinga lkn napenda kuangalia vitu vingi. Mount na Abraham na Tomori wa wadogo lakini uwezo wao ni mkubwa sana
 
Nilivyoona lampard kubadilisha formation na akacheza 3-5-2 nikajua Leo tunaenda kushinda cos wolves wanakaba Sana na wanamtegemea counter attack kuwin game so lampard aliliona hili ndomaana akaja na huo mfumo wakuzuiya counter attack zao na kwel tukawafanya the way we want
Huo ndo mfumo sahihi wa Alonso kucheza. Tungecheza na mabeki wanne nyuma alafu Alonso ndo left back lazima tungeumia. Alonso is more of a wing back. So Lampard hapo katumia mfumo unaomfaa Alonso, ili nyuma tucheze na mabeki watatu.

Ila Rudiger anastabilize mabeki. Akicheza hata Christensen anakuwa huru
 
Ushindi wa Jana unafanya hadi mmeanza kudharau legend wenu.
Huwezi fananisha Drogba na huyo dogo acheni matusi nyie. Dogo mwenyewe hajaonesha hata robo ya uwezo wa Costa.
Hangover ya Drogba inawatesa kama ilivyo ya Ronaldo na Henry kwa wengine.
Waheshimuni ma legend msifananishe na hivi vitoto bado wanasafari ndefu sana.
Nafikiri hawajafananisha legacy yao bali ufungaji tu wa magoli. Inamhitaji Tammy misimu 5 angalau ili awe legend, ila hata wewe ukimwangalia Tammy unaona mambo makubwa. Siyo wa kulinganisha na akina Lacazete au Rashid au Martial au Lingard; they have nothing spectacular
 
Endelea kupiga kelele tu, baada ya mech 10 nitakuja kuwafanyia tathmin hapa

By the way Lacazette kaumia ,lkn tutawafananisha na hao watu mwisho wa msimu , Mpaka sasa ana goli 2
Na Kepa utamfanyia tathimini lini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom