Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nazan kuingia kwa barkley kumebadilisha mchezo kabsa, tukaanza kuzidiwa... barkley mule hakuna mchezaji, hajui kukaba,handling football hawez... ni useless kama bakayoko
Barkley huyu wa Chelsea binafsi sijawahi kumuelewa...
 
Apo kuna watu wakirudi cjui itakuaje odoi na leftos cheek ,,na ngolo kante
 
Aya sasa walete walete mamlukiii

Uyu Tammy huu msimu anaeza fikisha goli 20+

Apo bado ajazoea ligi ...hahaha

Away Mbweha jana walilala baa nini[emoji23][emoji23][emoji23]

Kila la kheri Chelsea [emoji170][emoji170][emoji170]
 
Kumbe unabishana? Ndio maana hunaga hoja

Chelsea ni timu ndogo ,ndio maana sasa inarejea ilipotoka

Chelsea hata kimafanikio humkuti Astonvilla

Nakupa homework katafute. ,Most succesfull teams in the world.

Chelsea haipo hata 20 bora
Mpige Wolves goli tano ..acha kelele apa....

Tammy anakuja kumzibua uyo Leno..

Subiri apo

Kila la kheri Chelsea[emoji170][emoji170][emoji170]
 
Wameshachoka wamecheza mech karibu 10 ,6 za kufuzu Europa , na za preseason ,

Ni sawa na kilichomtokea Burney , alicheza mech karibu 9 zikiwepo zakufuzu Europa , alipokuja EPL alipotea sana

Ndio kinachomkuta wolves
Hahaha hahaha tungefungwa mungesemaje tena hahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Acha kujitapikia mkuu
Mnajisahau sana Chelsea. Leo matatizo yenu yote na matusi mliyokua mnatoa kwa timu yenu game 1 mpaka 3 mmesahau jifunzeni kuweka akiba ya maneno na nyinyi bado timu lenu ni bovu msimu huu mko hovyo ushindi wa Leo usiwape kichwa hali yenu bado ni mbaya tu.
Tukutane game week 6 tuone kama MNA consistency hii bado
 
Mkuu sisi mashabiki wa Chelsea tunajua mpira siyo kama mnavyotuchukulia. Matatizo yetu ni yale yale ya kila siku tunaongea. Beki bado hapo sawa na second half syndrome. Ushindi hauwezi kutupumbaza kwa sababu kesho tutacheza game nyingine yatakuja haya haya.

Mbele tuko vizuri tatizo nyuma bado tunamwaga mavi panahitajika kuzibwa.
Najua ushindi wa leo utawafanya musahau kila kitu na kuona hamuna tena weakness kwenye timu yenu lakini bado tupo hapa kuwashuhudia mwenendo wenu
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kama viwete ndo mmelipuka hivi baada ya ushindi,huko kwa manyumbu yunaited itakuwaje sijui[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwani wiki iliyopita walikuwa na europa
Wanasahau kuwa kulikuwa na international break
Walileta na quote za yule shabiki uchwara wa Arsenal Charlie Nicholas wakidai Chelsea itafungwa 2-1, sasa wanakuja na visababu vya Europa
 
Aya sasa walete walete mamlukiii

Uyu Tammy huu msimu anaeza fikisha goli 20+

Apo bado ajazoea ligi ...hahaha

Away Mbweha jana walilala baa nini[emoji23][emoji23][emoji23]

Kila la kheri Chelsea [emoji170][emoji170][emoji170]

Huko nyuma nilikuwa mimi na Kyatile tu nadhani ndio tulikuwa tunamteeta na kuwa na Imani na Tammy, wengi humu wakadai ni wa Championship, EPL hawezi kufunga hivi
Mechi 5 tu na Chelsea mbovu goli 7 je tukikamilika na akicheza game 38 itakuwa ngapi?

Jamani jamani maneno yenu haya mutakuja kuyakataa bora kwanza mungekaa kimya mukalisoma show!

Kuna Watu last season walisema hapa kuwa Hazard atafunga goli 30+ baada ya kuongoza kwa goli 7 kwenye michezo 5 kama hivi! Hatimae waliishia kutuattack pale tulipowakumbusha.

Huyo bado ni mtoto si wa kumuekea Matumaini makubwa kiasi hicho kwani anaweza poteana kabla ya December mukatamani asingelelewa Chelsea.

MIMI NIPO KWA AJILI YA KUKUMBUSHIA
 
Sisi tulivyompiga Norwich 3-2 mamluki walibonga nyingi ...

Aya sasa City timu bora zaidi yetu anachezea uko...

Kila la kheri Chelsea[emoji170][emoji170][emoji170]
 
Jamani jamani maneno yenu haya mutakuja kuyakataa bora kwanza mungekaa kimya mukalisoma show!

Kuna Watu last season walisema hapa kuwa Hazard atafunga goli 30+ baada ya kuongoza kwa goli 7 kwenye michezo 5 kama hivi! Hatimae waliishia kutuattack pale tulipowakumbusha.

Huyo bado ni mtoto si wa kumuekea Matumaini makubwa kiasi hicho kwani anaweza poteana kabla ya December mukatamani asingelelewa Chelsea.

MIMI NIPO KWA AJILI YA KUKUMBUSHIA
Wewe tulia kama ulivyo..

Tammy ana mpira wake ..Salah na Mane hamna kitu..

Kila la kheri Chelsea[emoji170][emoji170][emoji170]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom