Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,703
- 8,481
a Liverpool isiyobeba Makombe hatimae tukamzawadia UCL
Bila kusahau sisi ndio tuliomuuza Salah kwa kukosa Namba pale darajani
a Liverpool isiyobeba Makombe hatimae tukamzawadia UCL
Kama kuna mtu kamuelewa Lampard naomba aniambie au anataka kucheza danganya toto.View attachment 1207332
Naambiwa mpaka sasa katika wale magolikipa wa timu 20 za premier league kipa ghali duniani kepa ndiye kipa anayeburuza mkia kwa kuwa na save percentage ndogo yaani (44%) huku magolikipa waliobaki wote wakiwa na save percentage (50%) na kuendelea.
-
Tusisingizie defence yetu kuwa mbovu kwamba ndiyo chanzo cha kepa kutokuwa bora, kwa sababu Ben foster ndiye kipa mwenye defence mbovu mpaka sasa EPL akiwa na Watford lakini save percentage yake ipo juu ya 50%.
-
Ama kweli nimeamini nyani hata umvalishe suti mkia utatokeza tu
LEO NI TAREHE 14/9/2019
WOLVES WANAHITAJI POINT 3View attachment 1207156
Kama kuna mtu kamuelewa Lampard naomba aniambie au anataka kucheza danganya toto.View attachment 1207332
Bila kusahau sisi ndio tuliomuuza Salah kwa kukosa Namba pale darajaniView attachment 1207345
Ni kosa la kimtandao wewe hiyo ni website ya uhakika. Ingekua ya kuokota basi isingekua na wachezaji sahihi wa Chelsea.Kuna siku niliwaambia kuwa Washabiki wa Chelsea munapenda kuokota habari kwenye vijiblog vya kuokoteza mukabisha!
Ona sasa kocha gani atakayepanga kikosi kama hivyo?
Muwe munaangalia Source za Kuchukua habari.
Kosa la kimtandao. Chelsea 3 tayariWeweeee ndio wamejipanga hivyo. Hii kali
Huyu Tammy ni wa kuangalia sana msimu huuTAMMY ANATAFUTA HAT TRICK View attachment 1207455
Yani Wolves hawa ninaowajua mimi leo wamekuwa wananyanyaswa hivi Nyumbani kwao!
Kaipata tayariTAMMY ANATAFUTA HAT TRICK View attachment 1207455
Ananyanyaswa na nani? Acha dharau weweYani Wolves hawa ninaowajua mimi leo wamekuwa wananyanyaswa hivi Nyumbani kwao!
Next week tuna nyinyi
Ananyanyaswa na nani? Acha dharau wewe