mart66
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 610
- 691
Hamokosi manenoNimeangalia msimamo katika Michezo 5 Wolves hajashinda hata mmoja na yupo kwenye Relegation zone.
Kumbe haki yenu kujipigia hili ni anguko la Wolves
Hamokosi manenoNimeangalia msimamo katika Michezo 5 Wolves hajashinda hata mmoja na yupo kwenye Relegation zone.
Kumbe haki yenu kujipigia hili ni anguko la Wolves
Ipo siku mtanielewa tuTuna KIPA MBOVU sijapata kuona
Wameshachoka wamecheza mech karibu 10 ,6 za kufuzu Europa , na za preseason ,Nimeangalia msimamo katika Michezo 5 Wolves hajashinda hata mmoja na yupo kwenye Relegation zone.
Kumbe haki yenu kujipigia hili ni anguko la Wolves
Mlisema tunashindwa kupata point kwa timu iliyopanda daraja, leo tumepata point kwa huyu mzoefu bado hamjaridhika.Nimeangalia msimamo katika Michezo 5 Wolves hajashinda hata mmoja na yupo kwenye Relegation zone.
Kumbe haki yenu kujipigia hili ni anguko la Wolves
Hahaaa.. Kuna screenshot ya maneno yako ninayo niliitunza. Nakuletea huko huko kwako,Wameshachoka wamecheza mech karibu 10 ,6 za kufuzu Europa , na za preseason ,
Ni sawa na kilichomtokea Burney , alicheza mech karibu 9 zikiwepo zakufuzu Europa , alipokuja EPL alipotea sana
Ndio kinachomkuta wolves
Kwani kipindi mnasema hatuwezi kupata point kwa Wolves hamkujua haya?Wameshachoka wamecheza mech karibu 10 ,6 za kufuzu Europa , na za preseason ,
Ni sawa na kilichomtokea Burney , alicheza mech karibu 9 zikiwepo zakufuzu Europa , alipokuja EPL alipotea sana
Ndio kinachomkuta wolves
Wwe ulijihakikishia kabisa wolves anashinda leo tena unakuja na porojo za wolves kucheza mechi za kufuzu,,kabla ulkua hujui kuwa kacheza izo mechi!?Wameshachoka wamecheza mech karibu 10 ,6 za kufuzu Europa , na za preseason ,
Ni sawa na kilichomtokea Burney , alicheza mech karibu 9 zikiwepo zakufuzu Europa , alipokuja EPL alipotea sana
Ndio kinachomkuta wolves
Mlisema tunashindwa kupata point kwa timu iliyopanda daraja, leo tumepata point kwa huyu mzoefu bado hamjaridhika.
Hawa ndio walimwengu hata ufanye nini watasema tu.
Alibeba UCL kwanza na Chelsea ndipo akaja kubeba nanyi baada ya kusota sana na kashachoka.Huyu atafuata Nyayo za Sturridge tu!
Liverpool haibebi Makombe, Lakini Strurridge aliikimbia Chelsea inayobeba Makombe akaja Liverpool isiyobeba Makombe hatimae tukamzawadia UCL.
Na huyu siona Lampard akimuanzia kila mechi kama kina Pulisic, Mount, Abraham wataendelea kuwa On Fire!
Kwahiyo natarajia sana hatoongeza Mkataba mpya na hatimae atamfata Kakayake Sturridge kuja Liverpool kupata Minutes nyingi zaidi na Kubeba UCL
Lampard geneousity Leo Kaja na mfumo konki bado kitambo kidogo tutashangaza eplYani Wolves hawa ninaowajua mimi leo wamekuwa wananyanyaswa hivi Nyumbani kwao!
na Abraham anafunga team zilizopanda daraja afunge na wolves tumuone... Kweli tunakuelewaIpo siku mtanielewa tu
So bad, SS4 ndio ilikuwa inaonyeshaDstv channel gani hii game?
Yani Wolves hawa ninaowajua mimi leo wamekuwa wananyanyaswa hivi Nyumbani kwao!