Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

good performance for first half, we're much more quicker, Mata, Studge and Meireles are playing really well..
 
mkuu its game lakini mjitaidi..


True! Lakini tunatakiwa ku-improve zaidi kwenye defence, kuna makosa mengi ambayo si ya kawaida kutoka kwa ukuta wa Chelsea....tungekuwa tunacheza na timu kubwa tungekuwa punished for sure.
 
Nasikia mnataka kumuuza Tor the Res kwa bei ya kutupa? Leteni habari chacha? Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeee Vipi Mungiki brother bado yupo Kibera, naona amehama timu yupo mancs chacha Peas of ant atafuata nyayo? Kazi yake kuchungulia tu khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee.

 
68_torr_1374481a.jpg


FEELING BLUE ... Andre Villas-Boas walks
past Fern Tor the res at Sunderland



FernandoTorres_1373681a.jpg



Fern Tor the res: Chelsea midfielders too slow


Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee from hero to zero.



 
Tores ... Amepoteza kwenda chelsea.... Iam sure akirudi kwenye team inayopiga soccer la kutuliza mpira chini + timu yenye vijana zaidi atarudi kwenye form
 
Tores ... Amepoteza kwenda chelsea.... Iam sure akirudi kwenye team inayopiga soccer la kutuliza mpira chini + timu yenye vijana zaidi atarudi kwenye form


How sure are you?!
 
sababu amekuwa flop alipokuja chelsea tu.. probably style ya uchezaji wa chelsea haiwezi ....
Huenda Chelsea walifanya makosa kumnunua maana kipindi cha mwisho alichokuwa Liverpool tayari alikuwa hajascore mechi kibao, lakini wakaamua kucheza kamari.
 
Huenda Chelsea walifanya makosa kumnunua maana kipindi cha mwisho alichokuwa Liverpool tayari alikuwa hajascore mechi kibao, lakini wakaamua kucheza kamari.

Aisee unaongea kama Marehemu Sheikh Yahaya
 
Torres kai diss chelski, kuwa ni timu ya vizee na inancheza slow..ndio maana hatupii.
 
Mwanzo mzuri, tumecheza vizuri, 2-0 win, Luiz and Mata score, Torres made assists for both goals, two disallowed goals.

KTBFFH
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom