Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Peasant, jana AVB alimuanzishia Lapard bench. Mimi jana sikuangalia mechi, je kimchezo ilileta mabadiliko yoyote? na pengine ataendelea kusugua bench?
 
Peasant, jana AVB alimuanzishia Lapard bench. Mimi jana sikuangalia mechi, je kimchezo ilileta mabadiliko yoyote? na pengine ataendelea kusugua bench?
nimecheki game yote, chelsea walikuwa wepesi na walicheza kwa kasi na pasi fupi fupi, ki ukweli kuna mabadiliko makubwa hasa sehemu ya kiungo, Obi si yule mnajemjua jana alicheza holding yake kwa umahili.

Credit zangu lazima ziende kwa Torress, ni kweli Jamaa ni class nyingine, yale mapande mawili yaliyozaa mabao yalitoka kwake -- inavyoonekana jamaa muda si mrefu ataanza ku-fire, Mfano bao la pili dakika za majeruhi angekuwa selfish angefunga mwenyewe ingawa angle aliyokuwa ilikuwa tight kama 30 degrees hivi so akaingiza pande ndani kwa Mata -- then Mhispania mwenzake huyo kama analia vile akacheka na nyavu.

Chelsea imebadilika sana, na baada ya game ya jana sasa nimeingiwa na matumaini kwamba Man U wasitegemee mteremko hiyo Jmosi. AVB is good regardless his age and experience as a coach.

Pamoja na Terry, Lampard, Drogra, Alex (Chelsea seniors) Kutocheza kuanzia mwanzo lakini timu ulionekana bora sana na walitengeneza chance nyingi sana.
 
andresiniestainjurybarcelona20110913_576x324.jpg


MIEZI SITA NJE -- BARCA MNALO
 
Peasant, jana AVB alimuanzishia Lapard bench. Mimi jana sikuangalia mechi, je kimchezo ilileta mabadiliko yoyote? na pengine ataendelea kusugua bench?

Tactical reasons! Lampard alianzia bench sababu ya mechi ya Jumapili na Terry zidi ya Manure Utd
 
Masa, mimi nimependa comments za AVB kwamba Chelsea ya sasa haitategemea sana uwepo kwa individuals, yaani those big names like Terry, Drogba, Essien, Lampard na kama mnakumbuka miaka ya nyuma asipokuwepo either Lampard, Terry, Essien au Makalele basi chelsea ilikuwa lazima ichezee kichapo.

AVB is trying to create a group that wont depend on individuals, na hii ame-prove Jana. We all like Lampard na Terry to be involved in each game lakini bila wao pia we want chelsea to win.

Bulding a good team has a lot of things, la muhimu sana ni hili ambao AVB ana create katika Chelsea. I like his idea. AVB katuambia because ya game ya MAN U ndiyo maana aliamua ku rest key players lakini ki ukweli rotation ndiyo imeanza na hakuna mchezaji mwenye automatic pick just because he has a big name at chelsea: kwa AVB perfomance ndiyo itakupa number uwanjani.

Miaka ya nyuma usipomwona Terry, Lampard or Essien uwanjani katika big games kama ya jana basi unaanza kulia lia, lakini kwa Chelsea ya sasa its a different story.
 
Peasant, jana AVB alimuanzishia Lapard bench. Mimi jana sikuangalia mechi, je kimchezo ilileta mabadiliko yoyote? na pengine ataendelea kusugua bench?


Niliangalia mechi, tulicheza vizuri sana, it's our best performance so far this season. Passing na movement za wachezaji zilikuwa nzuri na kwa kasi zaidi. Ndio, Lampard alianza benchini, na kusema kweli kwa performance ya jana inamlazimu ajifue zaidi ili kwenda na kasi....sidhani kama atasugua benchi, lakini hawezi kuanza mechi zote kama ilivyokuwa nyuma. AVB anajaribu ku-encourage competition kwenye team, which is very good, hakuna mwenye uhakika wa namba zaidi Chech, Cole na pengine Mata kwa maoni yangu.
 
Weee mkulima mwenye jina ya kingeresa, et Peasant, kwa niaba ya wenzako wanadaraja kesho asubuhi wasiliana na Wacha Boy akuletee Maturubai kwa ajili ya msiba wa kesho apo kwenu..

Natanguliza rambaramba...ohh sor...rambirambi.
 
Weee mkulima mwenye jina ya kingeresa, et Peasant, kwa niaba ya wenzako wanadaraja kesho asubuhi wasiliana na Wacha Boy akuletee Maturubai kwa ajili ya msiba wa kesho apo kwenu..

Natanguliza rambaramba...ohh sor...rambirambi.


Aise we jamaa mchokozi sana .... .... ... ... khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

BTW quote of the day ..
"Their squad is too old and their tempo is not high enough to win the Premier League.'' Chichi hatuchemi tukichema wanachema tina wivu khe khe khe kheeeeeeeeeeee nasikia Drog the bar nje .... .... Peas of ant Umekuwa Invisible na Mungiki Brother kahamia Mancs ... .. khe khe kheeeeeeeeeeeee
68_avb_1377240a.jpg


AVB bring it on ... ... .... ...


Meerkats_01_1372440a.jpg


AVB are you going to fit in?

Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Aise we jamaa mchokozi sana .... .... ... ... khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

BTW quote of the day ..
"Their squad is too old and their tempo is not high enough to win the Premier League.'' Chichi hatuchemi tukichema wanachema tina wivu khe khe khe kheeeeeeeeeeee nasikia Drog the bar nje .... .... Peas of ant Umekuwa Invisible na Mungiki Brother kahamia Mancs ... .. khe khe kheeeeeeeeeeeee
68_avb_1377240a.jpg


AVB bring it on ... ... .... ...


Meerkats_01_1372440a.jpg


AVB are you going to fit in?

Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeee


Fat Arse Anal 2 Manuare 8
 
Fat Arse Anal <font size="4">2</font> Manuare<font size="4"> 8</font>

Tumsifu yesu kristu baba paroko....kitambo umepotea na sakramenti ya kitubio sijaipata...
Naungama sambi sangu: Nimebaka mara moja tu, wikii ile kwa yule bnt Asenal, na kesho ntabaka tena bnt mwingine palepale geto...naomba sala za malipizi...amiini.
 
Sijui niseme mapema??? Though inaonyesha offside lakini ndo hivo tena..... KIMOKO..................Man 1 - chelsea Bila.......Angalieni msije pigwa 8.... Zinauma sana... mpaka leo huwa sina cha kuongea mtu anapozitaja...... hahahahahahahaaaaaaaa........
 
Huyu STURRIDGE ni mzuri ... Ila kwa game kama hii uzoefu una matter sana.....Sidhani kama ni right choice.......
 
that was beyond FABULOUS.... Nani yule??? NANI??? Yes Nani..... BONGE LA GOLI......That goal was not only FANTASTIC but also COCASTIC.......................hahahahahahaaaaaa..... Poleni sana majamaaa..... kwa KIGLEDHA Changu " Dont abuse the Crocodile b4 u skip a riva........"" hahahahahahahahaaaaaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom