Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

HT... Mmeshakanyagwa 3... mbaya zaidi hamuonekani.... (esp. Piss-AUNT) ...Come out and write something.... How do u feel???? Good huh!!!
 
Man U wanatishaaa....

Halafu huyu Peasant yeye kutwa kucha yupo jukwaa la Arsenal.......Leo wao wanacheza haonekani kwake....
 
nilitoka kdg kumpokea jamaa yangu.... Narudi nakuta mmeshaweka KIMOKO......No sweat ....mwanzo wa nyingi ni Moja.......Kila la kheri.....
 
Man U wanatishaaa....

Halafu huyu Peasant yeye kutwa kucha yupo jukwaa la Arsenal.......Leo wao wanacheza haonekani kwake....

Sijui ni mtu wa aina gani asiepapenda kwake..... Anakera sana.... Tumekuja kumtembelea yeye hayupo..... Rooney kakosa penalt, aliteleza........ Rudi basi ufurahie
 
hawa Chelsea fanz ni watu wa kugonga keyboard kwa game za Arsenal....Mko wapi Nyie????????
 
wamejitahidi sana Chelsea.... kama sie tulipigwa 8 wao wamepigwa 3 then huu ni kama Ushindi kwao against us.....It doesn't make a point though....we have both lost three pts....Ambacho sitasahau kwenye hii game ni

1. GOLI LA NANI
2. MISS YA TORRES

All of the above were SPECIAL.... nani anabisha???? HONGERENI SANA MAN U.... it can be a BEST season 4 u....Keep it up and keep on keeping Enjoying......
 
Kudadadeki zenu nyie watu wa Chelsea bora mpotee for good.......
 
Pamoja na kufungwa lakini still Chelsea wamecheza mpira mzuri,nafikiri bwana mdogo Villa Boas bado hajapata mbinu za kupambana na tactics za kina Fergie hasa kwenye defence
 
Mkulima upo?

HT... Mmeshakanyagwa 3... mbaya zaidi hamuonekani.... (esp. Piss-AUNT) ...Come out and write something.... How do u feel???? Good huh!!!

Man U wanatishaaa....

Halafu huyu Peasant yeye kutwa kucha yupo jukwaa la Arsenal.......Leo wao wanacheza haonekani kwake....

Sijui ni mtu wa aina gani asiepapenda kwake..... Anakera sana.... Tumekuja kumtembelea yeye hayupo..... Rooney kakosa penalt, aliteleza........ Rudi basi ufurahie

mchungaji............ mafungo vipoi?

hawa Chelsea fanz ni watu wa kugonga keyboard kwa game za Arsenal....Mko wapi Nyie????????


Punguzeni kelele, na hongereni kwa ushindi. It was a long way back home!
 
Pamoja na kufungwa lakini still Chelsea wamecheza mpira mzuri,nafikiri bwana mdogo Villa Boas bado hajapata mbinu za kupambana na tactics za kina Fergie hasa kwenye defence


Hongereni kwa ushindi, lakini game ilkikuwa nzuri na timu yoyote ingeweza kushinda, magoli mengi yamekoswa pande zote.
 
wamejitahidi sana Chelsea.... kama sie tulipigwa 8 wao wamepigwa 3 then huu ni kama Ushindi kwao against us.....It doesn't make a point though....we have both lost three pts....Ambacho sitasahau kwenye hii game ni

1. GOLI LA NANI
2. MISS YA TORRES

All of the above were SPECIAL.... nani anabisha???? HONGERENI SANA MAN U.... it can be a BEST season 4 u....Keep it up and keep on keeping Enjoying......


Torres missed those two chances, but I can see improvement in his general play
 
Watani poleni ila gemu ilikuwa tamu sana, kam Peasant alivyosema timu yoyote ingeshinda ile mechi kwa jinsi ilivyokuwa open.
AVB amenifurahisha kitu kimoja, alivyomtoa Lampard na kumuingiza Anelka.
 
Watani poleni ila gemu ilikuwa tamu sana, kam Peasant alivyosema timu yoyote ingeshinda ile mechi kwa jinsi ilivyokuwa open.
AVB amenifurahisha kitu kimoja, alivyomtoa Lampard na kumuingiza Anelka.


That was a big statement from AVB, kwangu mimi japo Torres anakosa mabao lakini nafikiri yuko fit kuliko Lampard bila kujali nafasi zao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom