Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mkuu wale wamama toka mechi inaanza mpaka inaisha walikua hawaishi kuonyesha mahaba yao na Liverfools. Yote kwa yote madogo walipambana masaa mawili.

Jifanye kipofu tu! Kama yule dogo si Kudive mungelifika hayo Matuta?

Alivyowabeba vyote kuwapa Penalty bila ya kwenda Kureview kwenye VAR bado munasema kawaonea?

Basi ile haikuwa Penalty Ibrahimu alidive bila ya hata kuguswa.
 
Kitu ninachofurahi wapiga ramli wote wanafurahi tumefungwa ila hakuna silly comments zinazomuhusu Kepa. Lakini utashangaa baada ya siku mbili au tatu wanaanza tena kumponda.

Hao tumewazoea mkuu. Sasa wanawaza jinsi kante alivyowachezea mpira. Hawaamini kilichotowatokea
 
Jifanye kipofu tu! Kama yule dogo si Kudive mungelifika hayo Matuta?

Alivyowabeba vyote kuwapa Penalty bila ya kwenda Kureview kwenye VAR bado munasema kawaonea?

Basi ile haikuwa Penalty Ibrahimu alidive bila ya hata kuguswa.
Hayo wasema wewe. Kuhusu penalty dogo aluchexa mpira Adrian akamfata mwenyewe. Lakini pia ni faulo ngap alikua anafunika hachukui hatua yoyote?
 
Hawa vijana akina Pulisic, Tomori, Tammy, Mount bado wanakuja CHO, RLC na Reece, wapeni muda tu wazoee EPL mtapata raha mashabiki wa Chelsea

Hilo halina pingamizi mkuu. Ni suala la muda tu
 
Beba angalau UCL 2 na Europa 3 na Super Cup 2 ili uthibitishe ukubwa wenu.

Ukubwa haupatikani kwa Kubeba rundo la FA na Carabao.
Point hii iwe mwisho kutufananisha na Arsenal. Mpaka hapo umeashiria tumewaacha mbali sana hawa vibonde wetu wa London.

Eti walau UCL 2, hahahaaa
 
Mpka sasa na kufikia katikati ya msimu mapengo ya legend king Hazard na traitor D Luiz yataanza kuzibika tu ..

Pulisic anafanya kazi kubwa sana ..jana katoa assist moja ya heshima ...taratibu tutakuja kuona Lampard alifanya jambo jema kumruhusu msaliti luiz asepe zake..

In Lampard we turst yes We trust...

#KTBFFH..

Mtu akishajiona bora kuliko wengine bora asepe tu. Manake anaweza sababisha usengelema kwenye timu. Matumaini yetu kwa madogo ni makubwa. Vijana watafanya wandass
 
Beba angalau UCL 2 na Europa 3 na Super Cup 2 ili uthibitishe ukubwa wenu.

Ukubwa haupatikani kwa Kubeba rundo la FA na Carabao.
We Ngwaba naona unashida na keyword ya "Chelsea timu kubwa", naona kwa mbali kawivu kanatokota moyoni mwako. Na wewe ukiitaji Liverpool weka "Liverpool timu kubwa sana" hapo utakuwa umekata ubishi
 
Nina swali kwa Aroon

Hivi mtu anayekula makombe anaweza kuwa bora kuliko yule anayetoa makombe?
 
‘David Luiz is 32 years old, and Lampard knows what he’s like as a player and was fine with showing him the door by telling him that he is not going to feature regularly in the first team'
 
Basi useme kama siyo Refer kutoona kwamba Adrian alikuwa mbele ya msitari mngechukua super cup?
Jifanye kipofu tu! Kama yule dogo si Kudive mungelifika hayo Matuta?

Alivyowabeba vyote kuwapa Penalty bila ya kwenda Kureview kwenye VAR bado munasema kawaonea?

Basi ile haikuwa Penalty Ibrahimu alidive bila ya hata kuguswa.
 
Nina swali kwa Aroon

Hivi mtu anayekula makombe anaweza kuwa bora kuliko yule anayetoa makombe?
Weka swali vizuri mbona kama bado mnaumia sana luiz kuondoka? Kwann msi move on ,huo sio mwisho wa dunia
 
Leicester najua hamtaniangusha

Ayoze Perez

Tielsman

Vardy

Madsson

Praet

Chelsea mnatokaje hapa kwa mfano ....njooni mniambie mnachomokaje ikiwa kipa kepa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom