Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Jana Kepa haikuwa bahati yake tu ile penati ya Origi na kuna ingine alikuwa anachomoa kabisa.

Mim sjafurahishwa na kitendo na dgo Tammy kupewa apige wakati Luna wakongwe na wazoefu wa penati zenye presha kubwa kama ile. Tammy bado hana uzoefu na big competitions ndo kwanza ana anza..

Ila kwa pamoja sisi sote ni Chelsea tukubali tumeshindwa na Lampard pia Apache kukaza roho kiasi icho, anafanya maamuzi magumu yule kocha..

Bado tuna imani Chelsea inaweza kuwa bora sana Siku za mbeleni..

#KTBFFH..
Uko sahihi kabisa, ila naona makocha huwa wanamchagua mtu kulingana na anavyofanya kwenye mazoezi. Labda Tammy kufanya vizuri kwenye mazoezi ndipo akamuamini. Ile penalty alipiga bila ya confidence yeyote
 
Sema Lampard kuna kitu anajenga kwa hawa madogo ambacho kitakua na msaada sana. Jiulize Azpilicueta, Pedro, Kante wote hao walikua hawajapiga lakini kawapa madogo Mount na Abraham wawe moja ya wapiga penalty.

Miaka mitatu watakua siyo hawa tena.
Sio mitatu, nashindwa kuielezea Chelsea ya mwakani ikiwa hivi hivi. Mwaka mmoja wakishapata uzoefu watakuwa moto hatari sana. Thanks to the ban, imeipa Chelsea nafasi ya kuvitambua vipawa vya academy
 
Kitu ninachofurahi wapiga ramli wote wanafurahi tumefungwa ila hakuna silly comments zinazomuhusu Kepa. Lakini utashangaa baada ya siku mbili au tatu wanaanza tena kumponda.
Ukweli ni kwamba Kepa ni kipa bora ktk umri wake huo na ndio maana ana maadui wengi
 
Nadhani hiyo post iliwahusu walioangalia mpira kwa kuzingatia kikosi hakijakamilika kuna mistakes mbovu za mabeki tofauti na nyie mlio na beki imara pale nyuma.
Beki bora gani, VVD jana kamkumbatia Tammy utadhani ilikuwa ni mchezo wa mieleka, sijawahi kumuona beki bora duniani kama VVD anatumia mikono kuokoa mpira kwa kumkamata kwa mikono mshambuliaji. Ndio maana nasema Tammy an Mount wakishazoea EPL, hao akina VVD sio kitu watakuwa wanapitwa kama Lori la mkaa
 
Sio mitatu, nashindwa kuielezea Chelsea ya mwakani ikiwa hivi hivi. Mwaka mmoja wakishapata uzoefu watakuwa moto hatari sana. Thanks to the ban, imeipa Chelsea nafasi ya kuvitambua vipawa vya academy
Watazoeana wakiwa huko championship
 
Jana Kepa haikuwa bahati yake tu ile penati ya Origi na kuna ingine alikuwa anachomoa kabisa.

Mim sjafurahishwa na kitendo na dgo Tammy kupewa apige wakati Luna wakongwe na wazoefu wa penati zenye presha kubwa kama ile. Tammy bado hana uzoefu na big competitions ndo kwanza ana anza..

Ila kwa pamoja sisi sote ni Chelsea tukubali tumeshindwa na Lampard pia Apache kukaza roho kiasi icho, anafanya maamuzi magumu yule kocha..

Bado tuna imani Chelsea inaweza kuwa bora sana Siku za mbeleni..

#KTBFFH..
Lampard alimchagua Tammy kwa sababu ya Convidence, ameeleza hiyo baada ya mechi na kumsifia kwa hilo. Anasema mchezaji yeyote anakosa penalty, muhimu kwake ni ujasiri wa Tammy inatosha
 
Mtabakia kusema tu tumecheza vizuri bana mwisho wa siku watu wabnachukua ndoo na piont 3 wanasepa na bado kwa Leicester tena kauli itakuwa hivyo hiyo Tumecheza vizuri bana.
 
Jana Fabinho alikuwa kama mchezaji wa championship
Tuna timu bora, kinachotakiwa tu mbele na nyuma wamejaa vijana ambao wakipata uzoefu, itakuwa raha tupu, vijana ni wepesi japo wana error nyingi. Kama jana Christenses aliokoa mpira ambao angekuwa Luiz angeuachia tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom