Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Lampard akipewa kikosi ata cha city B sijui itakuwaje
 
IMG_20190813_145409_909.jpeg
 
Ndio kiongozi hongereni sana ..najua hamkutegemea kushinda kwa tabu kiasi icho ..may be mulitegemea mteremko kama aliyopata Manure ..ila uo mpira bana Ku assume kabla ya mechi ndo haifai..

Hongereni sana..

Asiyekubali kushinda si mshindani.

Hongereni, maana kutoka kwa matuta dhidi ya Liverpool si jambo dogo.
 
Jana Kepa haikuwa bahati yake tu ile penati ya Origi na kuna ingine alikuwa anachomoa kabisa.

Mim sjafurahishwa na kitendo na dgo Tammy kupewa apige wakati Luna wakongwe na wazoefu wa penati zenye presha kubwa kama ile. Tammy bado hana uzoefu na big competitions ndo kwanza ana anza..

Ila kwa pamoja sisi sote ni Chelsea tukubali tumeshindwa na Lampard pia Apache kukaza roho kiasi icho, anafanya maamuzi magumu yule kocha..

Bado tuna imani Chelsea inaweza kuwa bora sana Siku za mbeleni..

#KTBFFH..
Sema Lampard kuna kitu anajenga kwa hawa madogo ambacho kitakua na msaada sana. Jiulize Azpilicueta, Pedro, Kante wote hao walikua hawajapiga lakini kawapa madogo Mount na Abraham wawe moja ya wapiga penalty.

Miaka mitatu watakua siyo hawa tena.
 
Mimi sina wasiwasi Chelsea kuingia top four sasa. Ngoja Kante awe fit, Ludiger apone. Sasa kwa moto alionao Pedro itakuwaje Odoi akirudi? Willian atacheza wapi? Maana Mount na Pulisic wako onfire

Bahati Mbaya Wachezaji Wanaotakiwa Uwanjani Kucheza ni 11.

Kwahiyo hata Wakiridi wote basi haitojalisha kama wote wapo On fire Bali wengine watalazimika Kukaa Bench ili wacheze 11 tu.
 
Mikono yote hiyo Still Kadunguliwa Misumari yote 5, Je angelikuwa na Mikono 2 tu kama Kipa wetu tuliyemuokota akiwa hana timu ingekuaje?
Nadhani hiyo post iliwahusu walioangalia mpira kwa kuzingatia kikosi hakijakamilika kuna mistakes mbovu za mabeki tofauti na nyie mlio na beki imara pale nyuma.
 
Willian alipata kweny national team
Ngolo na rudiger kuanzia msim uliopita
Odoi kweny mech ya burnley
Loftus baada ya ligi kuisha
Bado Loftus namkubali dogo tuko vizuri ,ni muda kidogo watatuelewa ila wachezaji wetu wanapata injuries kwa urahisi haiwezekani Odoi,Loftus,N'golo,Willian,Rudiga wote wamepata injuries at the same kuna jambo haliko sawa
 
Lampard atakuja kuwa kocha mzuri , anahitaji muda ,uvumilivu ,

Anatakiwa apate changamoto kwa kula vipigo kwanza akomae,

Next stop kwa Leicester sion mkitoboa
Hii comment naitunza maana ndo itakupoteza
 
Lakini uwezo wa wachezaji unatofautiana. Kwenu kule akikosa Mane, au Boby au VVD tofauti inaonekana
Bahati Mbaya Wachezaji Wanaotakiwa Uwanjani Kucheza ni 11.

Kwahiyo hata Wakiridi wote basi haitojalisha kama wote wapo On fire Bali wengine watalazimika Kukaa Bench ili wacheze 11 tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom