Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Lampard anaangalia performance ya kwenye mazoezi. Makocha wengine wanakuwa wamekariri watu wao. Si rahisi kwa kocha wa EPL kuwachezesha makinda wengi( Christensen, Tomori, Mount, Pulisic, Tammy) kwa wakati mmoja
Uko sahihi kabisa, ila naona makocha huwa wanamchagua mtu kulingana na anavyofanya kwenye mazoezi. Labda Tammy kufanya vizuri kwenye mazoezi ndipo akamuamini. Ile penalty alipiga bila ya confidence yeyote
 
Mimi bado kuna kitu naona watafanya msimu huu
Sio mitatu, nashindwa kuielezea Chelsea ya mwakani ikiwa hivi hivi. Mwaka mmoja wakishapata uzoefu watakuwa moto hatari sana. Thanks to the ban, imeipa Chelsea nafasi ya kuvitambua vipawa vya academy
 
Jamaa anajua kuwalinda sana wachezaji wake
Lampard alimchagua Tammy kwa sababu ya Convidence, ameeleza hiyo baada ya mechi na kumsifia kwa hilo. Anasema mchezaji yeyote anakosa penalty, muhimu kwake ni ujasiri wa Tammy inatosha
 
Beki bora gani, VVD jana kamkumbatia Tammy utadhani ilikuwa ni mchezo wa mieleka, sijawahi kumuona beki bora duniani kama VVD anatumia mikono kuokoa mpira kwa kumkamata kwa mikono mshambuliaji. Ndio maana nasema Tammy an Mount wakishazoea EPL, hao akina VVD sio kitu watakuwa wanapitwa kama Lori la mkaa
Mkuu ukiachana na hayo VVD jana kafanya sana kazi ya kuokoa. Katimiza vizuri wajibu wake jana.
 
Arsenal fans wangemuona dogo jana sijui sasa ivi sura wangeweka wap.. Hawamuoni wanakuja kulopoka lopoka humu.

Hivi kwanini kila munapokosolewa au kusemwa vibaya hamutujibu sisi wasemaji vibaya badalayake munajibu kwa kuwaponda Arsenal Fanboys?
 
Mtabakia kusema tu tumecheza vizuri bana mwisho wa siku watu wabnachukua ndoo na piont 3 wanasepa na bado kwa Leicester tena kauli itakuwa hivyo hiyo Tumecheza vizuri bana.
Ni kwamba mlichokutana nacho sicho mlicho tegemea na hamkufhani mechi ingefika matuta. Hata sisi hatukutegemea mpira utakua vile swala la kuchukua kombe kwenye penalty hiyo ni bahati inamtokea yoyote. Tunachoongelea hapa ni kwa jinsi Lampard anatuonyesha hata ukiwa na resources chache unaweza kuzitumia kupata product nzuri kwa hiyo kinachoendelea hapa jukwaani ni kudiscuss process ya resources zinavyofanya kazi kuelekea kupata products. So kwa sasa ni sawa na kiwanda kimeanza kuzalisha bidhaa lakin kasi ya uzalishaji si kubwa akin haikatishi tamaa yote ni kwasababu ya minimum resources.

Sina hakika kama umenielewa.
 
Asiyekubali kushinda si mshindani.

Hongereni, maana kutoka kwa matuta dhidi ya Liverpool si jambo dogo.
Kwa nini isiwe jambo Dogo mkuu. Game ilikuwa tough pande zote ..

Ila mwishowe mshindi anakuwa moja tu ...

Sisi tumekubali tumeshindwa, ila wengi wenu mulijua mtashinda kirahisi sana. Yani gemu ingeisha mapema tu kabla ya dkk ya 70[emoji3][emoji3]

Wengi wa Liverpool fans walifika hatua ya kusema mutapata goli 4+ lakini mambo hayakuwa ivyo, ndio maana nikasema mpira wa ku assume sio mpira ..

VVD beki bora kabisa amekiri na kusema ilikuwa tough gemu na hawakutegemea...

Enewei mimi mwenyewe huwa na assume sana tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sema Lampard kuna kitu anajenga kwa hawa madogo ambacho kitakua na msaada sana. Jiulize Azpilicueta, Pedro, Kante wote hao walikua hawajapiga lakini kawapa madogo Mount na Abraham wawe moja ya wapiga penalty.

Miaka mitatu watakua siyo hawa tena.
Yea inawezekana ikawa ivyo ila kwenye penati zinazoamua nani awe bingwa ..itakuwa ni risk sana ...ila ni mpango mzuri anafanya na itafaa kuwapa confidence madogo..
 
Mpka sasa na kufikia katikati ya msimu mapengo ya legend king Hazard na traitor D Luiz yataanza kuzibika tu ..

Pulisic anafanya kazi kubwa sana ..jana katoa assist moja ya heshima ...taratibu tutakuja kuona Lampard alifanya jambo jema kumruhusu msaliti luiz asepe zake..

In Lampard we turst yes We trust...

#KTBFFH..
 
Hawa vijana akina Pulisic, Tomori, Tammy, Mount bado wanakuja CHO, RLC na Reece, wapeni muda tu wazoee EPL mtapata raha mashabiki wa Chelsea
Ni kweli na ukicheki vijana wanajituma sana ..Lampard ata leta kitu flani ndani ya EPL kuwaamin Young player ..kitu ambacho utamaduni wa hizi timu kubwa hauna..
 
Hayo ndio yalikuwa mawazo yangu aisee
Ata mimi niliwaza ivyo kabisa ..ila kaputeini some time anakwamaga ..yeye akishaweka mpira tu ata hawazi wala kumwangalia kipa anapiga unastukia goli [emoji23][emoji23][emoji23]

Refer ile penati dhid ya Frunkfart japo alikosa ila nilicheka sana ...

Le kaputeiiin Azp....[emoji123][emoji123][emoji123]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom