Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,723
Wachambuz nguli duniani tunaamini jumapili Chelsea hatoboi,japo atacheza mpira mkubwa
Kila jukwaa unadanga kisa mlimpiga mgonjwa 4-0Natamani FA mechi zilizobakia watupe tucheze na cheltako mechi zote [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]#GGMU
haahaa lazima aseme hivyo mkuu, asingeweza kudeclare kuwa Lampard alimwambia hana nafasi kwenye kikosi chakeBinadamu kusema ukweli ni ngumu sana
David Luiz kadai eti kaikacha Chelsea kwenda Arsenal kwa sababu anataka kuwin trophies - Huu ni ukichaa
Wakati Lampard alimueleza kuwa hana mpango nae katika mazungumzo ya wao wawili na ndipo wakakubaliana na management ikamkubalia Luiz kuondoka kwa mil 8. Aondoke kwa sababu Lampard alishapanga Starting XI ambayo Luiz hakuwepo. Chelsea ingekuwa na business na Luiz isingemtoa kwa mil 8!!
"All my life, I've always started the season with the goal to win things," he told Arsenal's website.
"It's not going to be different here -- I'm going to come with this mentality because this is what made me move here."
View attachment 1183355
Anatoka kwenye timu yenye kushinda makombe halafu anakwenda kuota ndoto huko
Ktk miaka 10 iliyopita ambayo Luiz amekuwa akiichezea Chelsea
Arsenal wameshinda makombe matatu tu tena ya FA
Chelsea wameshinda makombe sio chini ya 10
- UCL = 1
- Europa = 2
- EPL = 3
- FA Cup = 3
- League cup =1
Kwa hiyo baada ya kupigwa nne umeamua kujifariji kwa kujikumbusha vilivyopita[emoji1][emoji1][emoji1]Tar 23 Oct 2016 - Che vs Man U 4-0
Mwaka wake wa kwanza Chelsea Kante alicheza vizuri sana na kuiwezesha Chelsea kuchukua ubingwa
- Pedro dk ya 1
- Gary Carhill dk ya 21
- Eden Hazard dk ya 62
- Ngolo Kante dk ya 70
Arsenal na Man U hizi predictions hawazipendi kabisam, mimi nina uhakika kwenye top 6 yakibalidilika ni Che kwenda 3 na Man U kwenda 6 basi
View attachment 1183357
Chelsea hii ya Abraham ikamate nafasi ya 3?
Narudia maneno yangu "Ukimaliza Ligi juu ya Manure Naomba Mods Wanipige Ban ya Maisha".
Kabla sijakujibu hilo. Naomba na wewe nijibu hili swali.Weka head to head arsenal vs Chelsea hapa
Weka All trophies ,Arsenals vs Chelsea/totenham
Ongea na mimi usiongelee mgongoni kwangu.Akikujibu Namuandikia Muajiri Wangu (DED wa Halmashauri X) barua ya Kuacha Kazi.
Umeshindwa kujibu swali, basKabla sijakujibu hilo. Naomba na wewe nijibu hili swali.
UEFA mmeshiriki mara ngapi wewe na Tottenham kwa ujumla wenu na mpaka sasa mmechukua makombe mangapi kwa ujumla wenu. Then leta tulinganishe na baba ako wa London.
umekua msenge msengeKesho tunaanza kampeni ya
Lampard Out