Penalti ya Tammy Abraham kipa wa Liverpool alivunja sheria mpya ya FIFA na yule refa na VAR yake sijui ilikuwa na kazi gani
View attachment 1182521
The UEFA clarification of the rules is certainly not clear and will do little to ease the pain of Chelsea fans recovering from a cruel Super Cup defeat to Liverpool.
Sheria mpya ya FIFA ambayo ilianza kutumiak tarehe 1 June 2019 inamtaka Goal keeper kuacha sehemu ya mguu wake mmoja kwenye white line ya goli wakati mpigaji anapiga mpira
Yule refa alibet Liver ishinde