Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwa nini isiwe jambo Dogo mkuu. Game ilikuwa tough pande zote ..

Ila mwishowe mshindi anakuwa moja tu ...

Sisi tumekubali tumeshindwa, ila wengi wenu mulijua mtashinda kirahisi sana. Yani gemu ingeisha mapema tu kabla ya dkk ya 70[emoji3][emoji3]

Wengi wa Liverpool fans walifika hatua ya kusema mutapata goli 4+ lakini mambo hayakuwa ivyo, ndio maana nikasema mpira wa ku assume sio mpira ..

VVD beki bora kabisa amekiri na kusema ilikuwa tough gemu na hawakutegemea...

Enewei mimi mwenyewe huwa na assume sana tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kati ya assurance ambazo huwa siwapi Liverpool ni kufunga magoli mengi, forwards wetu siyo clinical finishers, kati ya nafasi 4 goli ni 1, makosa ni mengi na kuna culture ya kila mmoja kutaka afunge yeye.

Hivyo mshabiki yeyote anayedhani ni rahisi kwa Liverpool kufunga magoli mengi atakuwa siyo mtazamaji wa mpira. Chances tunazotengeneza ni nyingi sana.

BTW kumwanzisha OX, Milner na Hendo wote kwa pamoja haikuwa health decision.
 
Yani refa Dem juu ya kuwa kuna VAR uwanjani kaamua kuwafikisha Chelsea Matuta kwa Makusudi kwa kutotaka kuangalia VAR

 
Sisi Gini alikosa Tuta against Man City tukanyamaza! Lakini nyinyi Mumeona bora Mumtukane Mchezaji wenu.

 
Kati ya assurance ambazo huwa siwapi Liverpool ni kufunga magoli mengi, forwards wetu siyo clinical finishers, kati ya nafasi 4 goli ni 1, makosa ni mengi na kuna culture ya kila mmoja kutaka afunge yeye.

Hivyo mshabiki yeyote anayedhani ni rahisi kwa Liverpool kufunga magoli mengi atakuwa siyo mtazamaji wa mpira. Chances tunazotengeneza ni nyingi sana.

BTW kumwanzisha OX, Milner na Hendo wote kwa pamoja haikuwa health decision.
Contrary to reality
Ktk wafungaji bora watatu wa EPL mwaka jana, wawili wanatoka Liverpool
 
Kumbukumbu
Ars VS Che UCL 2003/2004 1-2
Wakiwemo akina Henry, Vieira, Toure na Cole ambaye baadaye alitimkia Chelsea akabeba UEFA, 2012
Lampard alifunga goli zuri la kwanza
Kocha akiwa Claudie Raniery ambapo aliipeleka Chelsea kwa mara ya kwanza kwenye nusu fainali ya UEFA
 
Penalti ya Tammy Abraham kipa wa Liverpool alivunja sheria mpya ya FIFA na yule refa na VAR yake sijui ilikuwa na kazi gani
Adrian-2-8505.jpg

The UEFA clarification of the rules is certainly not clear and will do little to ease the pain of Chelsea fans recovering from a cruel Super Cup defeat to Liverpool.

Sheria mpya ya FIFA ambayo ilianza kutumiak tarehe 1 June 2019 inamtaka Goal keeper kuacha sehemu ya mguu wake mmoja kwenye white line ya goli wakati mpigaji anapiga mpira
Yule refa alibet Liver ishinde
 
Chelsea condemn Abraham abuse
We are disgusted with the abhorrent posts we have seen on social media. Chelsea FC finds all forms of discriminatory behaviour unacceptable.
It has no place at this club and where there is clear evidence of Chelsea season ticket holders or members involved in such behaviour, we will take the strongest possible action against them.

Chelsea FC
 
Penalti ya Tammy Abraham kipa wa Liverpool alivunja sheria mpya ya FIFA na yule refa na VAR yake sijui ilikuwa na kazi gani
View attachment 1182521
The UEFA clarification of the rules is certainly not clear and will do little to ease the pain of Chelsea fans recovering from a cruel Super Cup defeat to Liverpool.

Sheria mpya ya FIFA ambayo ilianza kutumiak tarehe 1 June 2019 inamtaka Goal keeper kuacha sehemu ya mguu wake mmoja kwenye white line ya goli wakati mpigaji anapiga mpira
Yule refa alibet Liver ishinde
Mkuu wale wamama toka mechi inaanza mpaka inaisha walikua hawaishi kuonyesha mahaba yao na Liverfools. Yote kwa yote madogo walipambana masaa mawili.
 
Teh teh teh teh teh

Jamaa ana piga penalti za kibabe kama Luiz
Ata mimi niliwaza ivyo kabisa ..ila kaputeini some time anakwamaga ..yeye akishaweka mpira tu ata hawazi wala kumwangalia kipa anapiga unastukia goli [emoji23][emoji23][emoji23]

Refer ile penati dhid ya Frunkfart japo alikosa ila nilicheka sana ...

Le kaputeiiin Azp....[emoji123][emoji123][emoji123]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom