Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ukisajiri vizuri unatamani ligi ianze haraka lakini ukiokota okota au usiposajiri vizuri halafu umeuza watu wa maana aisee unatamani yatokee machafuko mwaka huo ligi isichezwe.
Chelsea ndiyo timu inayotamani ligi isianze kabisaa maana wana hali mbaya kweli kweli wale wachezaji waliokuwa wana wadharau msimu huu ndiyo wanaotakiwa kuwasifia.

Unaambiwa bakayoko, giroud, batshuayi, Abdurahaman kinana eti ndio namba 9 na ndiyo mihimili yao kwenye msimu huu na wana uhakika wa kucheza muda wote.


hawa wanzetu watateseka sana aisee tuache utani kuna timu msimu huu zitalia na kusaga meno maana zitawafanya mashabiki wake wapate tabu.

Vipigo havitakauka humu
 
Sio maneno yangu ni maneno ya Rene Higuita golikipa pekee wa Colombia aliefanya ile best Scorpion kick save..
Anasema...

"The most expensive goalkeeper that Real Madrid can't buy, Arsenal don't see him, Liverpool don't even know if he exist and that's who chelsea go and robbed much more money on"

-
Kwa haraka haraka tu kepa ameruhusu magoli 95% ya zile air balls(mipira ya juu) zaidi hata ya degea tunaemuita m'bovu msimu uliopita.
 
Injuries updates
RLC - October 2019
CHO August 2019
Ruddier- ?
Willian - soon before 11 August 2019
Reece James - Possibly Nov 2019
 
asioruj6dgc31.jpg
 
Ethan Ampadu played in midfield on 26 Jul 2019 on his Leipzig debut in which they won 2-0 against Rennes!
 
Chelsea winger Willian agrees contract extension until 2021
It is a good decision for the club without doubt. He is obviously not gonna go this window due to the transfer ban, and alternatively we would let him leave on a free next summer.

I know many are critical of Willian, but he is a good football player who can be good for us still, especially now that he can play more on the left where he's better than on the right. No matter what it would have been a mistake to let him leave on a free.

And I also feel confident that those who fear that this means that someone like CHO might play less or be second fiddle behind pedro and Willian should remind themselves of who our new manager is. I'm confident Lampard will play whoever is in best form and won't have a problem relying on CHO or whoever as first choice - IF they prove themselves.

Another big thing has been Willian himself has been super supportive of CHO and has even stated in interviews that he’d like CHO to replace him and be a first team player. I’d argue he knows his time is coming to an end but when called upon he’ll put in a shift.
 
Mwaka sasa Chelsea anaongoza kwa 3-0 Pulistic kutupia 2
 
Huu mwaka wa Chelsea aisee. Kaisha mpiga 3 bila bingwa mtetezi wa Austria
 
Haya ni Maneno ya Willian baada tu Brazil kubeba kombe la Copa America

….. "Chelsea want to win titles. Every year Chelsea fight for titles - something important. This year was the same. To finish the season in this way is amazing. I think we did a great job."

Hii ndio mentality walionayo wachezaji wa Chelsea, "KIla mwaka lazima tugombee makombe"

Na hii inawasaidia kupata kombe kila msimu
 
KEPA LEO KALA KAMBA 3 KUTOKA KWA TIMU YA MCHANGANI

Sio maneno yangu ni maneno ya Rene Higuita golikipa pekee wa Colombia aliefanya ile best Scorpion kick save..
Anasema...

"The most expensive goalkeeper that Real Madrid can't buy, Arsenal don't see him, Liverpool don't even know if he exist and that's who chelsea go and robbed much more money on"

-
Kwa haraka haraka tu kepa ameruhusu magoli 95% ya zile air balls(mipira ya juu) zaidi hata ya degea tunaemuita m'bovu msimu uliopita.
 
Lampard afanye kuhimarisha defense aisee haiwezekan game 2 goli 6. Halafu tunataka kushindana na Timu zenye mastraiker hatar Kama Liverpool na Manchester city

Manchester United (mwantesa) nyie Hali yenu bado mbaya
 
Nilichogundua kwenye pre season Chelsea haina tena shida ya kufunga, shida iliyobaki ni kufungwa kijinga jinga. Tukikutana na timu makini nadhani magoli ya kufungwa yatakuwa mengi kuliko ya kufunga.
Nilichogundua pia Luiz ni mzito na nadhani vijana wapewe mechi nyingi Zaidi ya Luiz.
Goli la kona walilofungwa Chelsea Luiz angeweza kuokoa kama sio uzito wa kuruka
 
KEPA LEO KALA KAMBA 3 KUTOKA KWA TIMU YA MCHANGANI

Sio maneno yangu ni maneno ya Rene Higuita golikipa pekee wa Colombia aliefanya ile best Scorpion kick save..
Anasema...

"The most expensive goalkeeper that Real Madrid can't buy, Arsenal don't see him, Liverpool don't even know if he exist and that's who chelsea go and robbed much more money on"

-
Kwa haraka haraka tu kepa ameruhusu magoli 95% ya zile air balls(mipira ya juu) zaidi hata ya degea tunaemuita m'bovu msimu uliopita.
Naona uko obsessed na kijana wa miaka 24 anayelipwa £192,000 Kwa wiki .. Get a life dude
 
An old video is doing the rounds of Lille star Nicolas Pepe talking about how much he’d love to seal a transfer to Chelsea.

See below as the Ivory Coast international names the Blues as a club that makes him dream, and naming them as the only club in the Premier League he’d ever want to join.

 
Get Zappacosta out of the club,
loan out Tomori and
tell Luiz if ge doesn't cut out his mistakes im shaving his head in his sleep.
 
KEPA LEO KALA KAMBA 3 KUTOKA KWA TIMU YA MCHANGANI

Sio maneno yangu ni maneno ya Rene Higuita golikipa pekee wa Colombia aliefanya ile best Scorpion kick save..
Anasema...

"The most expensive goalkeeper that Real Madrid can't buy, Arsenal don't see him, Liverpool don't even know if he exist and that's who chelsea go and robbed much more money on"

-
Kwa haraka haraka tu kepa ameruhusu magoli 95% ya zile air balls(mipira ya juu) zaidi hata ya degea tunaemuita m'bovu msimu uliopita.
Tafuta Pesa uache alama kwenye ukoo na familia yako sio kila siku unaandika maandiko ya kimasikini masikini ,hizo Pesa Chelsea walizotoa zinakuuma sana?umasikini utakumaliza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom