Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Rasmi
Lampard hatawahitaji Bakayoko na Drinkwater kwenye kikosi, hivyo watauzwa au kutolewa mkopo tena
Evarton wana nia ya kumchukua Bakayoko baada ya kushindwa kumchukua Zouma
 
Haya ni Maneno ya Willian baada tu Brazil kubeba kombe la Copa America

….. "Chelsea want to win titles. Every year Chelsea fight for titles - something important. This year was the same. To finish the season in this way is amazing. I think we did a great job."

Hii ndio mentality walionayo wachezaji wa Chelsea, "KIla mwaka lazima tugombee makombe"
 
Kante arudi mazoezini by 27 July 2019
0_GettyImages-1157807164.jpg
 
Finally you've ended up kwenye Personal attack
Wewe Ngwaba ungeitetea Liverpool tungekuelewa, lakini unaitetea Arsenal wakati wenye timu wamekaa kimya utaonekana labda hauko vizuri
Talk about Liverpool achana na Arsenal
Tuambie success ya Liverpool inayoifanya kuwa timu kubwa na wababe wakitoka kwenye kusajili nyie mtaonyesha ubabe gani, at least miaka miwili mitatu iliyopita mlijitahidi mapaka mkapata UEFA lakini haiwafanyi ninyi kuwa timu kubwa against Chelsea, labda against Arsenal na Spurs na Atletico de Madrid. Huo ndio ukweli. Real Madrid na Barcelona wakiingia humo Anfield kuwakapua wachezaji ndio mtajua ninyi ni timu ndogo sana
Ngoja Chelsea afunguliwe ndio utaijua ni timu kubwa au la kwenye usajili

Hata pamoja na kufungiwa Arsenal kashindwa kushindana na Chelsea kwa usajili, Zaha huyo Chelsea wanaweza kumchukua pamoja na ban, ndivyo timu kubwa zinavyofanya kwa jeuri ya pesa
 
Rasmi
Lampard hatawahitaji Bakayoko na Drinkwater kwenye kikosi, hivyo watauzwa au kutolewa mkopo tena
Evarton wana nia ya kumchukua Bakayoko baada ya kushindwa kumchukua Zouma
Dah Drinkwater mpira wake unaenda kufa kifo cha mende, sikuona sababu ya kumsajili wakati hatukuwa na future naye, mbaya zaid hauna clan iliyo tayari kumchukua ..sasa sijui itakuwaje ..mchiz atakuwa na stress sana!!
 
Kante na Joginho wana namba za kuaminika. Na Loftus Cheek akipona ana namba ya kuaminika. Barkley na Kovacic inabidi wapambane sana kupata namba maana hata Mason Mount yuko on fire. Vingenevyo watabaki kucheza FA na Carling
Apo kati sijui patakuwaje, Kante Kovavic, Jogihno dah itakuwa ni balaa..
 
The world should watch closely Mason Mount. He is another big thing coming.

Save this comment please. 20 goals per season am predicting.
Mason mount ni mzuri ila atapata shida kuwa na namba mbele ya Loftus Cheek na Barkley. Pia Pulisic atapaswa kucheza namba kumi ili Willian na Odoi wabaki kuwa wingers. Japo nahisi mfumo wa 4 2 3 1 utatumika sanjari na 4 4 2 au 4 1 3 2 ili kuacommodate namba kubwa ya quality midfielders tulionao.
 
Najaribu kuwaza hiyo midfield msimu huu itakuaje. Naona viungo wamewasha moto kweli.

Kante
Jorginho
Kovacic
Barkley
Ruben Loftus Cheek
Mount

Yan hapo itakua anayetoka moto anayeingia fire. Jorginho akikata umeme Kante anan'goa nguzo. Halafu Kova anafukia visiki yan kufuta ushahidi kama umeme ulikuwepo maeneo hayo.

Wapinzani msimu ujao kazi mnayo.
 
Mason mount ni mzuri ila atapata shida kuwa na namba mbele ya Loftus Cheek na Barkley. Pia Pulisic atapaswa kucheza namba kumi ili Willian na Odoi wabaki kuwa wingers. Japo nahisi mfumo wa 4 2 3 1 utatumika sanjari na 4 4 2 au 4 1 3 2 ili kuacommodate namba kubwa ya quality midfielders tulionao.
Siyo wakati wote Willian na Odoi watalazimika kuanza. Puli anaweza pewa shavu la kushoto then Odoi akapewa shavu la kulia. Hapo lazima kutakua na ku switch position kati yao, then kina Willian na Pedro wanaweza kuanza baadhi ya game au wakawa wanatokea benchi.
 
Siyo wakati wote Willian na Odoi watalazimika kuanza. Puli anaweza pewa shavu la kushoto then Odoi akapewa shavu la kulia. Hapo lazima kutakua na ku switch position kati yao, then kina Willian na Pedro wanaweza kuanza baadhi ya game au wakawa wanatokea benchi.
Nachojua Willian atakuwa regular starter
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom