lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,492
Ngwaba nimezungumza na wote wawili na hata wale wenye tabia kama hiyo, Sorry kwa kuumizwa ila bado ungeweza kujibu mapigo kistaarabu zaidiBefore today Mimi nilishawahi kutukana popote ndani ya Hii Forum?
Sasa ujue kama Mimi sipendi matusi kumtukana yeyote, na wala sipendi kuwa insulted kwa mtu yeyote, Bali huyo Fanboys mwenzako ndiye asiyejuwa ustaarabu wa watu wengine.
Kwavile aliyeanza ujinga ni Mshabiki mwenzako wa Chelsea ndiyo umemnyamazia Kimya sio? Ukaona Matusi yapo kwa Mtu wa pili aliyejibu ujinga wa Mshabiki mwenzako?
Watu waliokuwa Biased kama wewe ni Hatari kwa Dunia yoyote ile.
Kumbuka usemi huu wa wahenga wa kizungu
"Don't argue with the fool, people might not notice the deference"
"Usibishane na mpumbavu, watu hawataweza kutofautisha"

