Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hivi mashabiki wa chelsea hamjui mpira au ni makusudi mnawahesabia loftus cheek na hudson odoi kwenye first eleven wakati wana majeruhi ya mda mrefu odoi
Miezi 6 loftus cheek miezi 9 mpaka warudi uwanjani lampard ashafukuzwa
Akil zao haziwez kuwa sawa maana wanajua anguko litakalowatokea msimu huu wa 2019/2020 litakuwa la kihistoria
 
unakomaa na mtu aliyepewa cheti cha ujinga

Hicho Cheti Cha Ujinga aliyenipa ni Mamayako baada ya Kutumia ijinga wangu Nikamgonga.

Kuwa na Heshima na Watu wewe Mimi Sijawahi Kumvumjia Mtu heshima humu mitandaoni.

Huwa tunaleteana tu challenge za Kimitandao lakini sio Kuvunjiana heshima.

Hebu acha kunizoea Mimi nabishana na wengi humu kimasihara lakini sio kuitana majina mabaya na kudharauliana.

Hebu kuwa na adabu Bwanamdogo.
 
Hicho Cheti Cha Ujinga aliyenipa ni Mamayako baada ya Kutumia ijinga wangu Nikamgonga.

Kuwa na Heshima na Watu wewe Mimi Sijawahi Kumvumjia Mtu heshima humu mitandaoni.

Huwa tunaleteana tu challenge za Kimitandao lakini sio Kuvunjiana heshima.

Hebu acha kunizoea Mimi nabishana na wengi humu kimasihara lakini sio kuitana majina mabaya na kudharauliana.

Hebu kuwa na adabu Bwanamdogo.
Kutukana sio ustaarabu wa watu wazima, under 20 ndio wanaotukana ovyo tena wasiojua wanashabikia nini.
Ukiweza kuwa mvumilivu kwenye ushabiki utastaarabika sana kwenye sekta zote za maisha
 
Kutukana sio ustaarabu wa watu wazima, under 20 ndio wanaotukana ovyo tena wasiojua wanashabikia nini.
Ukiweza kuwa mvumilivu kwenye ushabiki utastaarabika sana kwenye sekta zote za maisha

Before today Mimi nilishawahi kutukana popote ndani ya Hii Forum?

Sasa ujue kama Mimi sipendi matusi kumtukana yeyote, na wala sipendi kuwa insulted kwa mtu yeyote, Bali huyo Fanboys mwenzako ndiye asiyejuwa ustaarabu wa watu wengine.

Kwavile aliyeanza ujinga ni Mshabiki mwenzako wa Chelsea ndiyo umemnyamazia Kimya sio? Ukaona Matusi yapo kwa Mtu wa pili aliyejibu ujinga wa Mshabiki mwenzako?

Watu waliokuwa Biased kama wewe ni Hatari kwa Dunia yoyote ile.
 
Hicho Cheti Cha Ujinga aliyenipa ni Mamayako baada ya Kutumia ijinga wangu Nikamgonga.
Kuwa na Heshima na Watu wewe Mimi Sijawahi Kumvumjia Mtu heshima humu mitandaoni.
Huwa tunaleteana tu challenge za Kimitandao lakini sio Kuvunjiana heshima.
Hebu acha kunizoea Mimi nabishana na wengi humu kimasihara lakini sio kuitana majina mabaya na kudharauliana.
Hebu kuwa na adabu Bwanamdogo.
au sio
 
Hivi mashabiki wa chelsea hamjui mpira au ni makusudi mnawahesabia loftus cheek na hudson odoi kwenye first eleven wakati wana majeruhi ya mda mrefu odoi
Miezi 6 loftus cheek miezi 9 mpaka warudi uwanjani lampard ashafukuzwa
Mkuu kwanza wewe ni fan wa timu gani? mbona kama unaweweseka hivi? Nan kasema Odoi na Cheek wanabebeshwa majukumu ya First XI? Lampard ndo alikuambia? Au ni mawazo yako tu? Wewe achana na Chelsea, sisi hatujafanya usajili wowote ule dirisha hili kubwa, kwa iyo tukiboronga ni sawa tu ( ingawa hatuamini ivyo) na tukifanya vizur tutawa prove wrong weng kama nyie mnatuchukulia poa. Kupanda na kushuka ni sehemu ya maisha ya club yetu pendwa. Wengi munaomba na mutafurahi sana Lampard akifail na akavukuzwa, iyo sisi atujalishi ..club imemuamini na sisi fans tumemuamini, kwani timu zenu uko Arsenal, Man u,(labda kidog Liverpool) zina nini cha kujivunia?
 
Sio maneno yangu ni maneno ya Rene Higuita golikipa pekee wa Colombia aliefanya ile best Scorpion kick save..
Anasema...

"The most expensive goalkeeper that Real Madrid can't buy, Arsenal don't see him, Liverpool don't even know if he exist and that's who chelsea go and robbed much more money on"

-
Kwa haraka haraka tu kepa ameruhusu magoli 95% ya zile air balls(mipira ya juu) zaidi hata ya degea tunaemuita m'bovu msimu uliopita..View attachment 1165854
Hahaha vipi kuhusu Leno, Kepa ni level zingine bana best penalty saver ..Allison wa Liverpool kwa mbali ndo anaeza shindana na Kepa, tuliwapa Cerch mkashindwa mtumia, sasa mnalialia nadhani mngetamani Kepa angekuwa Arsenal lakini ndo ivyo imeshindikana. Kepa ni Leno watano na Degea kama watatu ivi ..
 
Hahhaaaaaaaaaaa kepa bhana ,niliwaeleza humu wanabisha bora Higuita kasema
Tulia wewe mshamba, apo England golikipa mmoja tu ndo anayeweza kushindana na Kepa ambaye ni Allison, kama unabisha leta stats za makipa wote top six teams tuone kama Leno hatokuwa wa mwisho.
 
Kurt Zouma on his future: “I think it will be here at Chelsea. This is a chance for me. I went out on loan last season but I’m a Chelsea player and I want to do well to get my chance and be here." #CFC

Barkley on learning from Lampard: “In training he’s been saying ‘express yourself on the pitch, take risks, don’t be too safe, shoot, try and create chances. It is something I can do and it is what he has been putting into me in training and the pre-season games. #CFC

Barkley: “I have seen what he was capable of as a player when I played with him for England a few years ago. He has brought the work ethic that he had as a player as a manager into the squad. We have been working really hard. #CFC

Barkley: "You don’t want to play in your shell, you want to be playing off the cuff sometimes to take chances and make something happen. That’s what players like myself, Mason [Mount], Ruben [Loftus-Cheek] when he’s back, that’s what we want to express on the pitch. #CFC

Barkley: "All managers are like that but some managers like discipline as well, which I have added from previous managers as well. It’s about getting the right balance and knowing on the pitch when is the right time to take risks. #CFC

Barkley: "As a player you can’t be too worried if you take a risk and whether it’s not going to come off. You have to try to make things happen, hopefully more times it will happen on the pitch. I’m looking forward to taking my chances." #CFC

What Lampard will be looking to fix in the final preparations before United game..

- Defending from set pieces
- Emerson or Alonso. Who starts?
- Who gets dropped for Kante? Kovacic or Jorginho?
- The striker situation, who starts?
- Mount or Barkley?

#CFC
 
Mkuu kwanza wewe ni fan wa timu gani? mbona kama unaweweseka hivi? Nan kasema Odoi na Cheek wanabebeshwa majukumu ya First XI? Lampard ndo alikuambia? Au ni mawazo yako tu? Wewe achana na Chelsea, sisi hatujafanya usajili wowote ule dirisha hili kubwa, kwa iyo tukiboronga ni sawa tu ( ingawa hatuamini ivyo) na tukifanya vizur tutawa prove wrong weng kama nyie mnatuchukulia poa. Kupanda na kushuka ni sehemu ya maisha ya club yetu pendwa. Wengi munaomba na mutafurahi sana Lampard akifail na akavukuzwa, iyo sisi atujalishi ..club imemuamini na sisi fans tumemuamini, kwani timu zenu uko Arsenal, Man u,(labda kidog Liverpool) zina nini cha kujivunia?
Wengi wanaichukia Chelsea kwa sababu imetoka kwenye timu ndogo na ndani ya miaka 15 ikazipindua wale waliokuwa wakijiita timu kubwa kwa sababu ya yale makombe ya mababu zao
Walisema ni nguvu za soda watagonga mwamba tu lakini Chelsea iliendelea kusonga mbele na makombe liwe EPL, FA, UCL mickey mouse cup yote sisi tunazoa na hatujivungi kama wale wengine wa mtaa wa jirani.
Alikuja Sarri na ubovu wake wa kuwa mfahidhina wa formation tukachukua Europa na nafasi ya tatu kwenye ligi hao wal;itabiriwa mema na manabii wa uongo wakaishia Europa
Unakumbuak mwaka jana walisema kwa ujasiri kuwa namba 6 inatuhusu, tukawaprove wrong under the worst manager
Chelsea bana hata wakinipa hiyo timu na umbumbumbu wangu wa kufundisha football lakini nitatwaa tu kikombe klwa sababu ndio utamaduni wa darajani bana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom