Sasa Hizo Ranks za Forbes zinaprove nini labda? Hao mwisho watangaze timu zenye hela Ndefu lakini si ukubwa wowote!
Hebu Angalia hapo
Kagenge ka Man City Kanafanya nini?


Hizo ni Ranks za Timu tajiri bhana acha kudanganya Chelsea wenzako!
Tena Fanboys wenzako wamekupa bonge la Sapoti baada ya kujiona hapo kwenye Forbes
😀😀
Wewe kwenye List unamuona Man City yupo juu than unazungumzia kuwa ni timu kubwa?
😀😀:Huoni kuwa ni timu tajiri hizo?
Mancity kama kuchukua Domestic Cups ndiyo kumpa ukubwa basi Juventus na PSG wangelikuwa ndiyo timu Kubwa zaidi kwasasa duniani kwani Domestic za ligi zao wameandikiwa Hatimiliki kila Msimu.
Ni kweli Liverpool ni Timu ya Historia kwani Hata Mwezi May 2019 tumeandika Historian nyengine ya Kubeba CL ya 6.
Narudia tena kwanza Kuwa Mkubwa ndani ya London tu kwa kufukia Mafanikia UA Arsenal then uje uongee Ukubwa nje ya London mbele ya Liverpool na Manchester.
Hako Kagenge kako ka Chelsea ni Level za Kina Man City tu kwa sasa kugombaniana Mickey mouse cups.
Pambana na Bosi wenu wa London Arsenal ambayo kwasasa ndiyo timu yenye Mafanikio zaidi ndani ya London.
Fikia mafanikio ya Arsenal kwanza kabla ya Kujifananisha na Mababazako Liverpool, Man United, Barcelona, Real Madrid, Bayern na AC Milan ambao kamwe hutoweza kuwafikia Kimafanikio.