Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea mwaka huu kila mtu atajipigia tuuu...hta waliopanda daraja msimu huu... Hamna wachezaji wala kocha pale......subirini mtaniambia....!!!tena lampard anafukuzwa kabla ya mwezi desemba mi nawaambia

Aisee umeanza kuangalia mpira lini. Huyu huyu lamps ndiyo alimfunga Man u kwake Akiwa na Derby yake msimu uliyopita. Ni swala la Muda tu
 
Klop amechukua muda gani mpaka amechukua UCL. Na amepata matusi mangapi?

Sisi ni sawa na Arsenal linapokuja suala la kustahamilia Makocha na kuwapa Muda.
Lakini nyinyi hamutaweza kumstahamilia Lampard kama sisi tulivyomstahamilia Klopp bila ya kumfukuza.
 
Sisi ni sawa na Arsenal linapokuja suala la kustahamilia Makocha na kuwapa Muda.
Lakini nyinyi hamutaweza kumstahamilia Lampard kama sisi tulivyomstahamilia Klopp bila ya kumfukuza.
Timu yeyote kubwa kama Chelsea haina uvumilivu kwa makocha wasio na mafanikio,
Juventus, Barcelona, Real Madrid, Man united, Bayern Munich etc kama kocha hana mafanikio anatimuliwa
Liverpool, Arsenal, Spurs ni level ya akina Atletico Madrid, Napoli, etc kukaa na kocha mpaka anaitwa babu bila ya hata kikombe kimoja
 
Timu yeyote kubwa kama Chelsea haina uvumilivu kwa makocha wasio na mafanikio,
Juventus, Barcelona, Real Madrid, Man united, Bayern Munich etc kama kocha hana mafanikio anatimuliwa
Liverpool, Arsenal, Spurs ni level ya akina Atletico Madrid, Napoli, etc kukaa na kocha mpaka anaitwa babu bila ya hata kikombe kimoja

Eti Chelsea timu kubwa!!! Tena umejiweka kundi la kina Barcelona, Bayern na Madrid!!! Ukichaa mwengine bhana!!! Hujawa Mkubwa ndani ya London uje uwe Mkubwa kwa Liverpool.

Kwanza fikia mafanikio ya Arsenal ili uwe Mkubwa ndani ya London tu, then Njoo ujadiliane na Mimi kuhusu ukubwa.

"Let's talk about six baby"
 
Eti Chelsea timu kubwa!!! Tena umejiweka kundi la kina Barcelona, Bayern na Madrid!!! Ukichaa mwengine bhana!!! Hujawa Mkubwa ndani ya London uje uwe Mkubwa kwa Liverpool.

Kwanza fikia mafanikio ya Arsenal ili uwe Mkubwa ndani ya London tu, then Njoo ujadiliane na Mimi kuhusu ukubwa.

"Let's talk about six baby"
Naona umemsukumia yote hujaacha hata kidogo
 
Timu yeyote kubwa kama Chelsea haina uvumilivu kwa makocha wasio na mafanikio,
Juventus, Barcelona, Real Madrid, Man united, Bayern Munich etc kama kocha hana mafanikio anatimuliwa
Liverpool, Arsenal, Spurs ni level ya akina Atletico Madrid, Napoli, etc kukaa na kocha mpaka anaitwa babu bila ya hata kikombe kimoja
"Timu yoyotw kubwa kama Chelsea... " yenye UCL moja. Ukaifananishe na Real, Juve, Barcelona... you must be high!
 
Eti Chelsea timu kubwa!!! Tena umejiweka kundi la kina Barcelona, Bayern na Madrid!!! Ukichaa mwengine bhana!!! Hujawa Mkubwa ndani ya London uje uwe Mkubwa kwa Liverpool.

Kwanza fikia mafanikio ya Arsenal ili uwe Mkubwa ndani ya London tu, then Njoo ujadiliane na Mimi kuhusu ukubwa.

"Let's talk about six baby"
Hahaa.. Umepanic kaka. Hapo ameongelea timu zisizovumilia makocha wewe umeingiza mambo mengine. Daah stress hizi.

Huyo Arsenal unasema tumfikie amejaa Micky Mouse Cups hana UEFA hata moja. Hebu usiwaaibishe mbele za watu.
 
Liverpool na Arsenal ni H
Eti Chelsea timu kubwa!!! Tena umejiweka kundi la kina Barcelona, Bayern na Madrid!!! Ukichaa mwengine bhana!!! Hujawa Mkubwa ndani ya London uje uwe Mkubwa kwa Liverpool.

Kwanza fikia mafanikio ya Arsenal ili uwe Mkubwa ndani ya London tu, then Njoo ujadiliane na Mimi kuhusu ukubwa.

"Let's talk about six baby"

Liverpool na Arsenal ni histopria tu imebaki hapo hakuna kitu mbele ya Chelsea

Soma kwa makini ranking list ya Forb es ya 2019 ya timu kubwa duniani. Mnaleta ukichaa hapa mnadhani wote ni vichaa kama ninyi, hapa mnafikiri mimi huwa naropoka tu!
Fuiata na hii link
https://www.forbes.com/soccer-valuations/list/#tab😱verall

Forbes Soccer Teams Ranking 2019.png
 

Attachments

  • Forbes Soccer Teams Ranking 2019.png
    Forbes Soccer Teams Ranking 2019.png
    43.5 KB · Views: 19
  • Forbes Soccer Teams Ranking 2019.png
    Forbes Soccer Teams Ranking 2019.png
    43.5 KB · Views: 19
Liverpool na Arsenal ni H
Liverpool na Arsenal ni histopria tu imebaki hapo hakuna kitu mbele ya Chelsea
Soma kwa makini ranking list ya Forb es ya 2019 ya timu kubwa duniani. Mnaleta ukichaa hapa mnadhani wote ni vichaa kama ninyi, hapa mnafikiri mimi huwa naropoka tu!
Fuiata na hii link
https://www.forbes.com/soccer-valuations/list/#tab😱verall
View attachment 1164936
UNADHANI ATAJIBU

NIWATANGAZI TU THE BLUES KAMA KAWA TUNAINUAGA KWAPA TU KIKOMBE CHOCHOTE KILE NYIE ENDELEENI ARSENAL KUJENGA TIMU
 
Liverpool na Arsenal ni H


Liverpool na Arsenal ni histopria tu imebaki hapo hakuna kitu mbele ya Chelsea

Soma kwa makini ranking list ya Forb es ya 2019 ya timu kubwa duniani. Mnaleta ukichaa hapa mnadhani wote ni vichaa kama ninyi, hapa mnafikiri mimi huwa naropoka tu!
Fuiata na hii link
https://www.forbes.com/soccer-valuations/list/#tab😱verall

View attachment 1164936

Sasa Hizo Ranks za Forbes zinaprove nini labda? Hao mwisho watangaze timu zenye hela Ndefu lakini si ukubwa wowote!

Hebu Angalia hapo Kagenge ka Man City Kanafanya nini?
Hizo ni Ranks za Timu tajiri bhana acha kudanganya Chelsea wenzako!
Tena Fanboys wenzako wamekupa bonge la Sapoti baada ya kujiona hapo kwenye Forbes 😀😀

Wewe kwenye List unamuona Man City yupo juu than unazungumzia kuwa ni timu kubwa? 😀😀:Huoni kuwa ni timu tajiri hizo?
Mancity kama kuchukua Domestic Cups ndiyo kumpa ukubwa basi Juventus na PSG wangelikuwa ndiyo timu Kubwa zaidi kwasasa duniani kwani Domestic za ligi zao wameandikiwa Hatimiliki kila Msimu.

Ni kweli Liverpool ni Timu ya Historia kwani Hata Mwezi May 2019 tumeandika Historian nyengine ya Kubeba CL ya 6.

Narudia tena kwanza Kuwa Mkubwa ndani ya London tu kwa kufukia Mafanikia UA Arsenal then uje uongee Ukubwa nje ya London mbele ya Liverpool na Manchester.

Hako Kagenge kako ka Chelsea ni Level za Kina Man City tu kwa sasa kugombaniana Mickey mouse cups.

Pambana na Bosi wenu wa London Arsenal ambayo kwasasa ndiyo timu yenye Mafanikio zaidi ndani ya London.

Fikia mafanikio ya Arsenal kwanza kabla ya Kujifananisha na Mababazako Liverpool, Man United, Barcelona, Real Madrid, Bayern na AC Milan ambao kamwe hutoweza kuwafikia Kimafanikio.
 
Sasa Hizo Ranks za Forbes zinaprove nini labda? Hao mwisho watangaze timu zenye hela Ndefu lakini si ukubwa wowote!

Hebu Angalia hapo Kagenge ka Man City Kanafanya nini?
Hizo ni Ranks za Timu tajiri bhana acha kudanganya Chelsea wenzako!
Tena Fanboys wenzako wamekupa bonge la Sapoti baada ya kujiona hapo kwenye Forbes 😀😀

Wewe kwenye List unamuona Man City yupo juu than unazungumzia kuwa ni timu kubwa? 😀😀:Huoni kuwa ni timu tajiri hizo?
Mancity kama kuchukua Domestic Cups ndiyo kumpa ukubwa basi Juventus na PSG wangelikuwa ndiyo timu Kubwa zaidi kwasasa duniani kwani Domestic za ligi zao wameandikiwa Hatimiliki kila Msimu.

Ni kweli Liverpool ni Timu ya Historia kwani Hata Mwezi May 2019 tumeandika Historian nyengine ya Kubeba CL ya 6.

Narudia tena kwanza Kuwa Mkubwa ndani ya London tu kwa kufukia Mafanikia UA Arsenal then uje uongee Ukubwa nje ya London mbele ya Liverpool na Manchester.

Hako Kagenge kako ka Chelsea ni Level za Kina Man City tu kwa sasa kugombaniana Mickey mouse cups.

Pambana na Bosi wenu wa London Arsenal ambayo kwasasa ndiyo timu yenye Mafanikio zaidi ndani ya London.

Fikia mafanikio ya Arsenal kwanza kabla ya Kujifananisha na Mababazako Liverpool, Man United, Barcelona, Real Madrid, Bayern na AC Milan ambao kamwe hutoweza kuwafikia Kimafanikio.
Mtabaki na wivu tu, jitahidi kupambana na hali zenu labda mkiongeza vikombe mtavutia mikataba mikubwa ya TV na pesa yenu itapanda na kutukaribia.

Marekani taifa kubwa kwa sababu ya pesa ndefu iliyotafsiriwa kutoka kwenye mali zote za nchi
Ranking hiyo ya Forbes inatafsiri mali za klabu husika kwenye pesa, changanya zote na pesa zilizoko benki na dhamani ya wachezaji ndio unapata balance sheet ambayo ndio inaamua utajiri wa timu
Arsenal, Liverpool ukubwa wenu uko wapi wakati pesa hakuna, mali hakuna
Pesa ndefu ndio nguvu ya usajili na nguvu ya usajili ndio ukubwa wenyewe.
Arsenal mfano mwaka huu wana bajeti gani ya kusajili, iliyotengwa ni paundi mil 45

Kwa kukumbushia tu, klabu kubwa za Ulaya zilzioongoza kwenye bajeti kubwa ya usajili tangu 2010 hadi 2018 Chelsea ni ya pili ikipitwa kwa margin ndogo sana na Man city tu.

Orodha kamili hii hapa
1. Manchester City £1.32b
2. Chelsea £1.31b
3. Barcelona £1.2b
4. Paris Saint-Germain £1.1b
5. Manchester United £1b

Ebu tuambieni Ukubwa wenu uko kwenye nini hasa?
 
Liverpool ilikuwa timu kubwa, ila kuanzia miaka ya 2000 imekuwa timu ndogo tu. Kuna timu zilikuwa ndogo sasa hivi ni kubwa.

Huyo Ngwaba hajui kutofautisha wakati uliopita na wakati uliopo.

Ukubwa wa timu ndiyo value ya timu. Yaani unachofanya uwanjani kwa Sasa, mvuto wa club kwa mashabiki na kampuni za kibiashara n.k.

Anapaswa akubali kwamba kwa siku za karibuni klub ilikosa mvuto na mwishowe thamani yake imeshuka.

Mfano mchezaji kama Torres hana la kujisifia kwa kuichezea Liverpool muda mrefu, ila muda kidogo aliokaa Chelsea amepata mafanikio mazuri kisoka.

Hiyo ndiyo tofauti ya timu kubwa na ndogo. Ila kwa sasa ndo thamani ya Liverpool inaanza kurudi. Mmshukuru sana genius Klopp
Mtabaki na wivu tu, jitahidi kupambana na hali zenu labda mkiongeza vikombe mtavutia mikataba mikubwa ya TV na pesa yenu itapanda na kutukaribia.

Marekani taifa kubwa kwa sababu ya pesa ndefu iliyotafsiriwa kutoka kwenye mali zote za nchi
Ranking hiyo ya Forbes inatafsiri mali za klabu husika kwenye pesa, changanya zote na pesa zilizoko benki na dhamani ya wachezaji ndio unapata balance sheet ambayo ndio inaamua utajiri wa timu
Arsenal, Liverpool ukubwa wenu uko wapi wakati pesa hakuna, mali hakuna
Pesa ndefu ndio nguvu ya usajili na nguvu ya usajili ndio ukubwa wenyewe.
Arsenal mfano mwaka huu wana bajeti gani ya kusajili, iliyotengwa ni paundi mil 45

Kwa kukumbushia tu, klabu kubwa za Ulaya zilzioongoza kwenye bajeti kubwa ya usajili tangu 2010 hadi 2018 Chelsea ni ya pili ikipitwa kwa margin ndogo sana na Man city tu.

Orodha kamili hii hapa
1. Manchester City £1.32b
2. Chelsea £1.31b
3. Barcelona £1.2b
4. Paris Saint-Germain £1.1b
5. Manchester United £1b

Ebu tuambieni Ukubwa wenu uko kwenye nini hasa?
 
Sasa Hizo Ranks za Forbes zinaprove nini labda? Hao mwisho watangaze timu zenye hela Ndefu lakini si ukubwa wowote!
Hebu Angalia hapo Kagenge ka Man City Kanafanya nini?
Hizo ni Ranks za Timu tajiri bhana acha kudanganya Chelsea wenzako!
Tena Fanboys wenzako wamekupa bonge la Sapoti baada ya kujiona hapo kwenye Forbes 😀😀
Wewe kwenye List unamuona Man City yupo juu than unazungumzia kuwa ni timu kubwa? 😀😀:Huoni kuwa ni timu tajiri hizo?
Mancity kama kuchukua Domestic Cups ndiyo kumpa ukubwa basi Juventus na PSG wangelikuwa ndiyo timu Kubwa zaidi kwasasa duniani kwani Domestic za ligi zao wameandikiwa Hatimiliki kila Msimu.
Ni kweli Liverpool ni Timu ya Historia kwani Hata Mwezi May 2019 tumeandika Historian nyengine ya Kubeba CL ya 6.
Narudia tena kwanza Kuwa Mkubwa ndani ya London tu kwa kufukia Mafanikia UA Arsenal then uje uongee Ukubwa nje ya London mbele ya Liverpool na Manchester.
Hako Kagenge kako ka Chelsea ni Level za Kina Man City tu kwa sasa kugombaniana Mickey mouse cups.
Pambana na Bosi wenu wa London Arsenal ambayo kwasasa ndiyo timu yenye Mafanikio zaidi ndani ya London.
Fikia mafanikio ya Arsenal kwanza kabla ya Kujifananisha na Mababazako Liverpool, Man United, Barcelona, Real Madrid, Bayern na AC Milan ambao kamwe hutoweza kuwafikia Kimafanikio.
ARSENAL HATA UEFA HANA UNANIFANYA NITAPIKE
 
Mtabaki na wivu tu, jitahidi kupambana na hali zenu labda mkiongeza vikombe mtavutia mikataba mikubwa ya TV na pesa yenu itapanda na kutukaribia.

Marekani taifa kubwa kwa sababu ya pesa ndefu iliyotafsiriwa kutoka kwenye mali zote za nchi
Ranking hiyo ya Forbes inatafsiri mali za klabu husika kwenye pesa, changanya zote na pesa zilizoko benki na dhamani ya wachezaji ndio unapata balance sheet ambayo ndio inaamua utajiri wa timu
Arsenal, Liverpool ukubwa wenu uko wapi wakati pesa hakuna, mali hakuna
Pesa ndefu ndio nguvu ya usajili na nguvu ya usajili ndio ukubwa wenyewe.
Arsenal mfano mwaka huu wana bajeti gani ya kusajili, iliyotengwa ni paundi mil 45

Kwa kukumbushia tu, klabu kubwa za Ulaya zilzioongoza kwenye bajeti kubwa ya usajili tangu 2010 hadi 2018 Chelsea ni ya pili ikipitwa kwa margin ndogo sana na Man city tu.

Orodha kamili hii hapa
1. Manchester City £1.32b
2. Chelsea £1.31b
3. Barcelona £1.2b
4. Paris Saint-Germain £1.1b
5. Manchester United £1b

Ebu tuambieni Ukubwa wenu uko kwenye nini hasa?
Pia mwambie katika miaka 10 mpaka mwaka huu Chelsea ndio timu imeongoza kwa kushinda makombe mengi kuliko timu yoyote ya epl yeye mwache abaki na record zake za history ambazo sizani km alishudiaga kwa macho yake Mara mwisho Liverpool ikibeba kombe la epl?
 
Kwanza fikieni Mafanikio ya Arsenal ili muwe wakubwa ndani ya London ndiyo muanze kujadili nini maana ya Ukubwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom