Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Captain America. CP
IMG-20190801-WA0004.jpeg
 
Davide Zappacosta is open to leaving Chelsea and moving back to Serie A.
Reece James will be the alternative right back
Zappa asiondoke bado ana potential kubwa tu, kuna FA, Carabao, baadhi ya gemu za ligi anaeza cheza.
 
An old video is doing the rounds of Lille star Nicolas Pepe talking about how much he’d love to seal a transfer to Chelsea.

See below as the Ivory Coast international names the Blues as a club that makes him dream, and naming them as the only club in the Premier League he’d ever want to join.

Kipind yupo Anger , alipofika lille Ndoto yake ikabadikika ,NA sasa atakiwasha NDANI ya The Gunners
 
An old video is doing the rounds of Lille star Nicolas Pepe talking about how much he’d love to seal a transfer to Chelsea.

See below as the Ivory Coast international names the Blues as a club that makes him dream, and naming them as the only club in the Premier League he’d ever want to join.

|| Pépé update || Pépé says he chose Arsenal due to the history of French players at the club as well as Unai Emery who knows him very well...
 
Kila tukifungwa Luiz ndo mwenye shida, hapa ndo huwa sielewi kabisa. Hivi yale magoli mawili mbona yamefungwa baada ya Luiz kuwa subbed? Au hapo Luiz alihusikaje?
Get Zappacosta out of the club,
loan out Tomori and
tell Luiz if ge doesn't cut out his mistakes im shaving his head in his sleep.
 
Haaa mbuzi wa kafara
Ni sababu ya kuangalia mpira emotionally than from a logical point of view.
Sisi kuconced magoli matatu in a single match is a defensive problems na lazima kocha ameyaona na atayafanyia kazi ila siyo kwamba ni tatizo la Luiz
 
Zouma hawezi kukaa bench bonge la beki

Azipiculeta- zouma- Rudiger- Emerson

Azipiculeta- zouma- christen - Emerson

Luiz atokee bench
Kwenye kukaba Zouma yuko agresisve na very sharp tofauti na Luis ila Luiz ni mzuri kwenye kutengeneza chances. Ingekuwa Zouma lile goli la kichwa la Redbull tusingefungwa. Hata Rudiger hawezi mkuta Zouma kwenye agresisvene na wepesi wa kukapa
 
Ok mkuu ngoja msimu uanze utaona mwenyewe, Luiz atakuwa kwenye first eleven kila mechi hao wengine watakua wanabadilishana tu hadi Rudiger atakapopona
Luiz akiendeleza hizo blunders za kijingajinga Lampard hatamvumilia, hizi blunders ndizo zilizomlazimisha Conte kumuweka benchi. Akirekebisha hayo matatizo ya kizembe Luiz bado ni beki mzuri kwa sababu ana mentality nzuri na anaipenda Chelsea. Mimi naamini Luiz atajirekebisha na kuwa chaguo la kwanza
 
Kuna magoli yanafungwa kwa uzembe wa mabeki, kuna magoli yanafungwa kwa mabeki kushindwa kutambua au kunusa shambulio la hatari na kufanya marking haraka. Rudiger mwepesi sana kugundua shambulio la hatare.

Luiz faida yake anauwezo wa kuwachezesha viungo, kuanzisha shambulio na ana macho ya pasi ndefu ila kwa ukabaji sio mzuri sana.

Sasa kocha atawapanga kulingana na timu pinzani tutakayocheza nayo. Kama ni timu yenye safu butu ya ushambuliaji luiz aanze lakini kama timu inashambulia kama nyuki wakabaji wepesi waanze
Ndugu ulichokielezea ni jambo moja zote ni uzembe kushindwa kutambua shambulio, hiyo inaitwa man marking
Labda ungesema kuna magoli yanafungwa kwa sababu ya makossa ya defense na kuna magoli yanafungwa kwa sababu ya ubora wa washambuliaji wa opponent side.
Pia kuna magoli yanafungwa kwa sababu ya uzembe wa defensive midfilders na pia kuna magoli yanafungwa kwa sababu ya wrong formation isiyoendana na mchezo husika. na nk
Sisi Chelsea magoli mengi ni uzembe wa mabeki na kidogo midfilders wanaruhusu mabeki kulemewa. mtu kama Bakayoko, sometimes drinkwater wanapwaya sana
 
|| Pépé update || Pépé says he chose Arsenal due to the history of French players at the club as well as Unai Emery who knows him very well...
Hapo anasafisha tu kambi ili aweze kukaa na kula vizuri lakini bado ndoto zake ni Chelsea. Subiri ban ifunguliwe kama atabakia Arsenal
 
Kila tukifungwa Luiz ndo mwenye shida, hapa ndo huwa sielewi kabisa. Hivi yale magoli mawili mbona yamefungwa baada ya Luiz kuwa subbed? Au hapo Luiz alihusikaje?
Nadhani hujaangalia mpira
Kuna mambo miwili hapa,
Kwanza magoli Luiz analaumiwa ni yale ambayo yeye alihusika direct mfano goli la kichwa la redbull nenda kaangalie tena youtube, Luiz kakaa nyuma ya mfungaji hata bila jitihada za kuzuia zozote hakufanya
Pili uzembe kama huu hatutegemei kwa defender ambaye ni first choice na mzoefu kama Luiz, hayo akifanya defender mwingine ambaye sio first choice na mzoefu lawama huwa ni ndogo au hakuna kwa sababu ndio level yake
Luiz ana mambo mengi mazuri, kumpoteza kwenye first team ni pengo kubwa na ndio maana mashabiki wanamlalamikia, angekuwa ni mchezaji mwingine wa kawaid no one care after all hatapewa nafasi ya kutuumiza
 
Nadhani hujaangalia mpira
Kuna mambo miwili hapa,
Kwanza magoli Luiz analaumiwa ni yale ambayo yeye alihusika direct mfano goli la kichwa la redbull nenda kaangalie tena youtube, Luiz kakaa nyuma ya mfungaji hata bila jitihada za kuzuia zozote hakufanya
Pili uzembe kama huu hatutegemei kwa defender ambaye ni first choice na mzoefu kama Luiz, hayo akifanya defender mwingine ambaye sio first choice na mzoefu lawama huwa ni ndogo au hakuna kwa sababu ndio level yake
Luiz ana mambo mengi mazuri, kumpoteza kwenye first team ni pengo kubwa na ndio maana mashabiki wanamlalamikia, angekuwa ni mchezaji mwingine wa kawaid no one care after all hatapewa nafasi ya kutuumiza
Mkuu liangalie vzuri gori la kwanza tulilofungwa kosa si la Luiz. Luiz alikuwa sehemu tofauti kabisa. Jamaa wa Red bull akapenetrate na kuruka katika aneo ambalo aliona upenyo wa kufunga. So Luiz alikuja amekimbia kumzuia lkn jamaa alikutana na mpira kabla ya Luiz. Ila before the kicking Luiz wasn't behind a scorer. He was far away from him
 
Nilivyoona matokeo ya mechi ya chelsea nikajua walienda penalty.....
Hakika Huyu Kepa Tumepigwa
 
EPL 2008/2009 season
José Manuel Pepe Reina Pàez + Edwin van de sar = €16.9 mil
Cleansheets : 41
-
EPL 2018/2019 season
Kepazia = €80 mil
Clean sheets : 14
-
Hivi ni kweli na sisi tunasingizia kubadilika kwa soko la wachezaji au Perez na vibaraka wake Athletic club de Bilbao wamejua kutulamba?
FB_IMG_1564650809411.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom