lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,492
Ni kweli, hiyo ni comment ya mashabiki waliovutiwa na uchezaji wakeTammy n mzuri ila 30+ ni mrefu kwa mchezaji yeyote EPL
Ila 20+ tunayo pale
Huko nyuma nimiluelezea Tammy uchezaji wake ni tofauti na strikers wa sasa wa Chelsea kama akina Bat na Giroud
Tammy yuko positive minded
Ana njaa ya kufunga magoli na anajiposition kwenye strategic position za kufunga
Giroud hapendi kufunga anapenda kupeleka mpira kwa wengine kitu ambacho sio mbaya lakini ni mabaya kama unayempelekea ni mzemebe kama Morata
Batshuayi anajitahidi lakini sio mfungaji wa kuzidi 10 goal per season labda mwaka huu afufuke
Ila naamini Katika mastriker wawili akicheza Giroud na Tammy magoli yatakuwa ni mengi tu