Leo kwenye maongo mumemfunga Barca, Lakini si mumeingia top Four? Sasa subirini CL kwenye makweli muje mumfunge Barca.
Barkcley anacheza kama mchezaji mpya chini ya Lampard. Utadhani sio yule Barkley wa Sarri
Iko kazi, akipona RLC na Mount anacheza balaa Lampard atakuwa kwenye wakati mgumu kuchagua nani aanze kwa sababu wote ni wazuri kwenye level inayofanana
Tammy n mzuri ila 30+ ni mrefu kwa mchezaji yeyote EPLTammy Abraham: 30+ league goals incoming
Tammy Abraham: 30+ league goals incoming
Eleweka point yako basi..
Tammy n mzuri ila 30+ ni mrefu kwa mchezaji yeyote EPL
Barkcley anacheza kama mchezaji mpya chini ya Lampard. Utadhani sio yule Barkley wa Sarri
Iko kazi, akipona RLC na Mount anacheza balaa Lampard atakuwa kwenye wakati mgumu kuchagua nani aanze kwa sababu wote ni wazuri kwenye level inayofanana
Dah bora dgo abaki maana kwa kukaba yupo njemaReece James anabaki Chelsea kusaidiana na Azpi, Tomori na Clarke-Salter wanapelekwa kwenye mkopo