Hapo kwenye pressing nampa hekoMoja Kati ya kitu ambacho nimekipenda alicholeta lampard ni kupressing katika maeneo muhimu pamoja kufanya movement za haraka tofauti na mpira wa sarri ambaye tuna possess maeneo sio muhimu ndo maana unaweza ukakuta tuna possess 80% lakini unakuta tunapigwa 4 bila.kingine nikumbadilisha gojinho role ukiangalia game ya Leo na Barca kovacic na gojinho wametengeneza best partnership in midfield km ile ya kante na matic yaani wote wanacheza km no 6 lakini pia wote km no 8 mmoja akipanda mbele mmoja anarudi nyuma yaani wamemvuruga kabisa Sergio bosquet Kuna wakati wanapress maeneo hatari sometime wanacheza mpira wakiuni Leo kiukwel Chelsea wameonesha excellent performance.Big up lampard
Moja Kati ya kitu ambacho nimekipenda alicholeta lampard ni kupressing katika maeneo muhimu pamoja kufanya movement za haraka tofauti na mpira wa sarri ambaye tuna possess maeneo sio muhimu ndo maana unaweza ukakuta tuna possess 80% lakini unakuta tunapigwa 4 bila.kingine nikumbadilisha gojinho role ukiangalia game ya Leo na Barca kovacic na gojinho wametengeneza best partnership in midfield km ile ya kante na matic yaani wote wanacheza km no 6 lakini pia wote km no 8 mmoja akipanda mbele mmoja anarudi nyuma yaani wamemvuruga kabisa Sergio bosquet Kuna wakati wanapress maeneo hatari sometime wanacheza mpira wakiuni Leo kiukwel Chelsea wameonesha excellent performance.Big up lampard
Moja Kati ya kitu ambacho nimekipenda alicholeta lampard ni kupressing katika maeneo muhimu pamoja kufanya movement za haraka tofauti na mpira wa sarri ambaye tuna possess maeneo sio muhimu ndo maana unaweza ukakuta tuna possess 80% lakini unakuta tunapigwa 4 bila.kingine nikumbadilisha gojinho role ukiangalia game ya Leo na Barca kovacic na gojinho wametengeneza best partnership in midfield km ile ya kante na matic yaani wote wanacheza km no 6 lakini pia wote km no 8 mmoja akipanda mbele mmoja anarudi nyuma yaani wamemvuruga kabisa Sergio bosquet Kuna wakati wanapress maeneo hatari sometime wanacheza mpira wakiuni Leo kiukwel Chelsea wameonesha excellent performance.Big up lampard
Sisi tumepoteza kwa Dortmund na si kwa Kawasaki ya kina Shimoda
Sometimes tunapoteza energy kubishania vitu ambavo havipo, they just exists in an illusion world. Wakija tuwe tunawaacha walonge wakimaliza waondoke. Preasons matches ni mechi za kuwajaribu wachezaji mpaka yale makapikapi ili yakitupwa nje ya timu yasije kulaumu na kuigawa timu, pili wachezaji wengi wanacheza kwa tahadhari kukwepa majeruhi. Matokeo yake ndio hiyo saa nyingine unafungwa na Ndondo FC
Juzi tumepotez kw Kawasaki leo tumefunga Baca sijui utakuja na lipi leo
We jamaa huishi kutafuta uchochoroLeo kwenye maongo mumemfunga Barca, Lakini si mumeingia top Four? Sasa subirini CL kwenye makweli muje mumfunge Barca.
Eleweka point yako basi..Leo kwenye maongo mumemfunga Barca, Lakini si mumeingia top Four? Sasa subirini CL kwenye makweli muje mumfunge Barca.
haahaa huwezi muona nyakati kama hizi, subiri mfungwe muonembona ngabwa yupo kimya sana naona liverpool wanakula vipgo tu
Uwe unaangalia na watu wa kuwa quote , wengine hawajielewi wanajaza servers tuEleweka point yako basi..