Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea ambacho hairuhusiwi ni kusajili mchezaji mpya ila inaruhusiwa kuongeza mikataba ya wachezaji ilionao au kuwarejesha wachezaji walio kwenye mkopo
Naona tuko pamoja, kwa sababu ya ban, Kovacic hata kama tukimtaka hatutaweza kumsajili
Willian, Giroud na Pedro wanacheza vizuri lakini kwa sababu ya age sio wa kuwatumainia kabiusa, kama msimu uliopita, mechi Fulani wako fit nma mechi nyingine wamedorora. Vivyo hivyo vijana wadogo wa 20 and below pia sio wa kuwategemea kwa sababu bado wako kwenye growing phase, mimi forward namuamini Zaidi tammy over Giroud lakini bado sio wa kumuamini kenye title race kwa sababu anakua bado
Tukibaki kwenye no. 3 msimu ujao tutamshukuru Mungu lakini kwenye title ni miujiza ya football
Labda Liverpool na Mancity kutokee mgogoro wa ajabu sana
 
Nimesoma uchambuzi na mawazo ya chelsea wenzangu na mashabiki wa liverpool niseme tu wachezaji wa chelsea watafanya mambo matatu
(1) watajituma ku ili ku prove wrong uwepo wa hazard ndio ulikuwa msingi na mafanikio ya chelsea
(2) itakuwa nafasi kwa wachezaji waliorudishwa kujitahidi performance ya hali ya juu kuendelea kuaminika hata ban itakapoisha ,ili linaweza kuwa positive or negative ,negativeity nikimaanisha anayekamia chakula kwa sababu ya njaa anaweza kukiparamia kikamwagika au kikamkaba
(3)wachezaji walio lalamikia uwepo wa sarri ball kama willian na genge la mashabiki tutakuwa tumeridhika na uamuzi wa board mchezaji wetu kante anaweza kurudi dimba lake la kujidai ila napata mashaka na performance ya Jorgihno amekuwa na performance ya hali ya juu mechi za mwisho pia team ya taifa ,mpira aliopiga jorgihno angekuwa liverpool wanavyo penda vya kwao tungekoma
Maoni yangu naona club yetu ikitoka trophless pia kuna dalili ya kukosa top four labda bahati na bidii ya wachezaji wetu makinda itubebe
 
Nimesoma uchambuzi na mawazo ya chelsea wenzangu na mashabiki wa liverpool niseme tu wachezaji wa chelsea watafanya mambo matatu
(1) watajituma ku ili ku prove wrong uwepo wa hazard ndio ulikuwa msingi na mafanikio ya chelsea
(2) itakuwa nafasi kwa wachezaji waliorudishwa kujitahidi performance ya hali ya juu kuendelea kuaminika hata ban itakapoisha ,ili linaweza kuwa positive or negative ,negativeity nikimaanisha anayekamia chakula kwa sababu ya njaa anaweza kukiparamia kikamwagika au kikamkaba
(3)wachezaji walio lalamikia uwepo wa sarri ball kama willian na genge la mashabiki tutakuwa tumeridhika na uamuzi wa board mchezaji wetu kante anaweza kurudi dimba lake la kujidai ila napata mashaka na performance ya Jorgihno amekuwa na performance ya hali ya juu mechi za mwisho pia team ya taifa ,mpira aliopiga jorgihno angekuwa liverpool wanavyo penda vya kwao tungekoma
Maoni yangu naona club yetu ikitoka trophless pia kuna dalili ya kukosa top four labda bahati na bidii ya wachezaji wetu makinda itubebe
Joginho atarudi namba nane
 
Jana Derby wametoa statement ya kumruhusu Lampard aanze mazungumzo na Chelsea
 
UEFA ni pasua kichwa kwa Chelsea mwakani
Sheria za UEFA zinazitaka timu kuwa na angalau wachezaji nane waliopatia mafunzo nchini angalau kwa miaka mitatu kati ya umri wa miaka 15-21 (yaani wamepata mafunzo kwenye timu yeyote ya ndani ya Uingereza)
Chelsea itabidi wawapromote wachezaji wa timu B ili waqualify kwenye sheria ya UEFA
 
IMG_5719.JPG
 
The legend Frank Lampard is known as one of the smartest football players in football area with an IQ score of 150. With this IQ score, he is in top 0.5% people who are the most intelligent in the world. We all know Albert Einstein's IQ score is 160.
 
John Terry on Lampard for Chelsea Manager Post
After the season he has had with Derby and with Chelsea’s transfer ban in place, there is no-one better equipped than Frank to succeed at Chelsea. It is perfect timing for him and the club,’
 
John Terry on Lampard for Chelsea Manager Post
After the season he has had with Derby and with Chelsea’s transfer ban in place, there is no-one better equipped than Frank to succeed at Chelsea. It is perfect timing for him and the club,’
Hili nililisema humu mapema naona leo legend analipigia msumari
 
Chelsea has agreed to sign Mateo Kovacic on a parament deal
The ever-reliable Gianluca di Marzio claims the Blues are now set to sign Kovacic for around €50million in what could be a smart move by the club.

#Kovacic will stay at @ChelseaFC: agreement with @realmadrid for a permanent deal, €50M (bonus included) @SkySport @SkySportsPL @SkySportsNews
— Gianluca Di Marzio (@DiMarzio) June 26, 2019


DEAD LINE TO SIGN KOVACIC IS SUNDAY June 30 2019
Kovacic atatufaa lakini sio kwa title race, na pesa Chelsea inayolipa ni sawa na kutupa pesa. Huyo alifaa tu asajiliwe kwa not more than 30m
Halafu Kovacic hafai kabisa kukaba kwa sababu hana mBio, labda attacking roles. Kwenye kukaba ni afadhali ya Jorginho
 
The deal had to be reached by June 30th and that ended up being the case. Chelsea will in fact redeem the rights to Mateo Kovacic from Real Madrid for a fee of €50 million, bonuses included. The former Inter midfielder will sign his contract by Saturday, there are just a few details remaining on the wages.
The deal was possible despite the Blues’ transfer ban since Kovacic was already matriculated with the club following his previous loan spell.




 
CHELSEA have reportedly reached an agreement to keep Mario Pasalic on loan with Atalanta for one more year.
The central midfielder, 24, was a huge for the Italian side after he joined on loan last summer.
His original deal included a £13m buy-out clause, but he will remain on loan for another season.
 
Sijajua kwanini mashabiki wa Chelsea wanamumchukulia poa pulisic wakati ni mchezaji mzuri Sana laiti mngekuwa mnangalia michuano za nchi zao zinazoendelea anachofanya pulisic huko msingemchukulia poa.Pulisic ni mchezaji mwenye skills,anauwezo wakukaba,ni pass master na pia anauwezo kucheza kwenye nafasi nyingi km no8,10,7 na 11.Hadi Sasa hivi ndio mchezaji anayeongoza kwa assist kwenye hii michuano yao ya bara la America ya Kati inayoendelea Ana assist 3 na goli 1 kwenye jumla ya mechi tatu na yeye ndio kampten wa USA.
 
Sijajua kwanini mashabiki wa Chelsea wanamumchukulia poa pulisic wakati ni mchezaji mzuri Sana laiti mngekuwa mnangalia michuano za nchi zao zinazoendelea anachofanya pulisic huko msingemchukulia poa.Pulisic ni mchezaji mwenye skills,anauwezo wakukaba,ni pass master na pia anauwezo kucheza kwenye nafasi nyingi km no8,10,7 na 11.Hadi Sasa hivi ndio mchezaji anayeongoza kwa assist kwenye hii michuano yao ya bara la America ya Kati inayoendelea Ana assist 3 na goli 1 kwenye jumla ya mechi tatu na yeye ndio kampten wa USA.
Ndugu Inno

Sidhani kama wapo mashabiki wa namna hiyo, Pulisic kufananishwa na Hazard ndio ilileta nongwa. Wengine wanadai ataziba pengo la Eden wengine wakasema no na wengine kama mimi nikasema miaka miwili au mitatu ijayo kama nyota yake itaenda vizuri Chelsea anaweza kufikia au kuzidi kiwango cha Hazard
 
Chelsea Football Club is delighted to announce we have completed the permanent signing of Mateo Kovacic from Real Madrid.

1144359


Sasa uongeze bidii kwa sababu ulipokuwa kwenye uchumba ulijitahidi, sasa ndoa imefungwa uanze kucheza vibaya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom