Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Dalili zinaonekana mapema! Kumbuka kuwa hawa munaowajaribu sasa ndiyo watakaoziba nafasi za kutokusajili kwenye madirisha Mawili...
Mfumo unajaribiwa,
Wachezaji wanacheza kukwepa majeraha,
Siyo mechi ya kiushindani hivyo hata morali haiwezi kuwepo.

Mnashadadia kufungwa kwetu na hivyo vyote hapo juu mnavielewa. Teh
 
Mfumo unajaribiwa,
Wachezaji wanacheza kukwepa majeraha,
Siyo mechi ya kiushindani hivyo hata morali haiwezi kuwepo.

Mnashadadia kufungwa kwetu na hivyo vyote hapo juu mnavielewa. Teh

Kama Wachezaji Wanacheza bila ya ari yoyote, sasa huyo kocha itakuwa ana assess kitu gani?
 
Frank Lampard want Zouma and Mount in Chelsea first team
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom