Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sijajua kwanini mashabiki wa Chelsea wanamumchukulia poa pulisic wakati ni mchezaji mzuri Sana laiti mngekuwa mnangalia michuano za nchi zao zinazoendelea anachofanya pulisic huko msingemchukulia poa.Pulisic ni mchezaji mwenye skills,anauwezo wakukaba,ni pass master na pia anauwezo kucheza kwenye nafasi nyingi km no8,10,7 na 11.Hadi Sasa hivi ndio mchezaji anayeongoza kwa assist kwenye hii michuano yao ya bara la America ya Kati inayoendelea Ana assist 3 na goli 1 kwenye jumla ya mechi tatu na yeye ndio kampten wa USA.
Goli3
 
Chelsea officially start pre-season today, with Frank Lampard and his squad having arrived in Dublin earlier this afternoon.

Squad that arrived in Ireland today

  1. Willy Caballero
  2. Cesar Azpilicueta
  3. Davide Zappacosta
  4. Kurt Zouma
  5. Ethan Ampadu
  6. Danny Drinkwater
  7. Tiemoue Bakayoko
  8. Kenedy
  9. Pedro
  10. Michy Batshuayi
  11. Lewis Baker
  12. Kasey Palmer
  13. Trevoh Chalobah
  14. Dujon Sterling
  15. Lucas Piazon
  16. Fikayo Tomori
  17. Jamie Cumming
  18. Marc Guehi
  19. Conor Gallagher
  20. Ike Ugbo
  21. Billy Gilmour
  22. Ian Maatsen
 
Chelsea’s squad is still stronger than Arsenal’s and Manchester United’s even without Eden Hazard,

says Tony Cascarino

“I think the squad is stronger than Arsenal’s and Manchester United’s even without Eden Hazard.
“N’Golo Kanté is one of the world’s best midfielders, Kepa Arrizabalaga is a talented young goalkeeper and Willian and new signing Christian Pulisic will be a threat to any team.”
 
Chelsea’s squad is still stronger than Arsenal’s and Manchester United’s even without Eden Hazard,

says Tony Cascarino

“I think the squad is stronger than Arsenal’s and Manchester United’s even without Eden Hazard.
“N’Golo Kanté is one of the world’s best midfielders, Kepa Arrizabalaga is a talented young goalkeeper and Willian and new signing Christian Pulisic will be a threat to any team.”
Kwel kabisa
 
Hivi mimi peke yangu ndo naamini Chelsea itakuwa competitive msimu ujao 2019/2020?

Yaani nyuma una:
Emerson/Alonso | Luiz/Zuma Zuma/Rudiger | Azipillicueta/James Leece/Zapacosta

Kati una:
RLC/Barkley Kante/Kovacic Joginho

Kwenye attacking una:
CHO/Willian Giroud/Tammy Pedro/Pulisic

Alafu kuna watu wanadhani Chelsea iko level moja na Man U au Arsenal?

We need some few adjustments to lift a trophy this season.
Kumbukizi
 
FRANK LAMPARD has decided to take a closer look at Kurt Zouma before Chelsea decide whether or not to sell him to Everton.
The Frenchman has been touted to stick around at Goodison Park - with a £30m offer being floated by the Toffees.
 
FRANK LAMPARD will give Chelsea outcast Danny Drinkwater a chance to come in from the cold this season to prove his worth.
“I want to get the best out of the squad. Everybody has an opportunity. I have no pre-conceived ideas about anybody.
But there will not be a place in his squad for Alvaro Morata or Victor Moses
 
FRANK LAMPARD has challenged Chelsea’s kids to prove they are good enough for a place in his new-look team.
“There is no use me sitting here and saying I'm going to play all the young players.
“My eyes will always be open to the young players but they have to show they are good enough because we can't lower our levels too much.
“This is Chelsea so I am not going to be doing young boys favours and putting them in the team. They need to prove themselves. If they can do that, I will be proud.”
Former boss Maurizio Sarri never watched a single youth team game during his short spell in charge, and always seemed reluctant to play the likes of Callum Hudson-Odoi.
But Lampard is trying to forge a pathway into the first team for the Academy kids and insists everyone will start pre-season with a clean slate.
That means taking a close look at rising stars like Mason Mount, Fikayo Tomori and Tammy Abraham when Chelsea head to Dublin this weekend on a pre-season tour.
 
Angalia kwenye Bold: Ilikosenaga kwa Sarri,

“What I will bring here is that I will have a respect for the players and they should behave like professionals. We will lay out everything.
Lampard earned plaudits for playing attacking football at Derby but he outlined a blueprint for success drawn from Manchester City and Liverpool yesterday.
He said: “I want an aggressive team, with energy, bravery on the ball. A team that moves the ball quickly, that’s a big thing for me.
“I have huge respect for the teams at the top of this league. City and Liverpool, some of their performances and the speed of their game - that’s the speed I want in my team.”
 
Lampard kasema club haina target ya kuwa kwenye TOP 4 kwa sababu Chelsea tayari ni club ya top 4

Have you been set the target of the top four?

No they haven’t and they don’t need to. It is clear that we are a club that can be in the top four. I know the club and the standards. It where we need to be.


Jamie Redknapp: "The expectation will be to finish in the top four, but they've got to be realistic. There'll be moments in the season where it will be a struggle, because of the Hazard effect. If they were to finish in the top four that would be an amazing season."
 
Jamie Redknapp: "The expectation will be to finish in the top four, but they've got to be realistic. There'll be moments in the season where it will be a struggle, because of the Hazard effect. If they were to finish in the top four that would be an amazing season."
Liverpool tangu lini mkatusemea timu yetu
 
Naona Michy Batshuayi na Tammy Abraham watapata nafasi zaidi chini ya Lampard maana Morata ndio huyo anaondoka moja kwa moja kwenda Atletico Madrid
****

Chelsea: Alvaro Morata to leave Chelsea for Atletico Madrid in a permanent transfer

Morata, who is on loan until the end of the 2019/20 season, will now join Atletico in a permanent switch after two years as a Chelsea player, in which he scored 24 times in 72 appearances.

A summer signing from Real Madrid in the summer of 2017, the striker scored on his Premier League debut, heading home after coming off the bench in our opening game of 2017/18 against Burnley.
 
Ruben Loftus-Cheek amesaini mkataba mpya wa miaka mitano na Klabu ya Chelsea utakaomfikisha hadi 2024

Kiungo huyo mwenye miaka 23 alipata nafasi nyingi za kucheza katika msimu uliopita ikilinganishwa na misimu ya nyuma lakini hakuweze kushiriki Fainali za Europa kutokana na Majeruhi

Amesema ‘Nina furaha kwamba nimepata nafasi ya kuendelea na klabu hii kwa miaka mingine mitano. Ni sehemu ambayo nimekuwa nikicheza mpira na nitakuwa hapa kwa muda zaidi.”

1.jpg
 
Chelsea Lineup against Man United on 11 Aug 2019

View attachment 1147209
Hicho kikosi mnapigwa vizuri sana

This time nyinyi hamna Forward wa maana (Pedro Tia maji Tia maji, Willian we mwenyewe unamjua)

Nadhani mtamshinda Man Utd kama Mtadefence vizuri maana wale kuconcede magoli lazima. Kama team collective defence haitakuwa vizuri lazima mlie
 
Chelsea’s squad is still stronger than Arsenal’s and Manchester United’s even without Eden Hazard,

says Tony Cascarino

“I think the squad is stronger than Arsenal’s and Manchester United’s even without Eden Hazard.
“N’Golo Kanté is one of the world’s best midfielders, Kepa Arrizabalaga is a talented young goalkeeper and Willian and new signing Christian Pulisic will be a threat to any team.”
Man Utd mnamzidi idara ya kiungo tu kwa sasa hivi na tena muda wa kusajili bado

Ila yeye amewazidi sana kwenye Forwards (Talented Martial, Pacy Rashford, Juan Mata, Flop but once world class winger Alexis Sanchez)
 
Na pia defensively Chelsea ni bora kuliko Man U
Man Utd mnamzidi idara ya kiungo tu kwa sasa hivi na tena muda wa kusajili bado

Ila yeye amewazidi sana kwenye Forwards (Talented Martial, Pacy Rashford, Juan Mata, Flop but once world class winger Alexis Sanchez)
 
Na pia defensively Chelsea ni bora kuliko Man U
Defence ya Utd hiyo hapo chini ujionee mwenyewe

Kwenye beki yenu Luiz naona bado sana kwangu mi namchagua Bailly kama utasema nichague kati ya David Luiz na Eric Bailly
LINEUP111562432189302.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom