Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Man Utd mnamzidi idara ya kiungo tu kwa sasa hivi na tena muda wa kusajili bado

Ila yeye amewazidi sana kwenye Forwards (Talented Martial, Pacy Rashford, Juan Mata, Flop but once world class winger Alexis Sanchez)

Manchester United anatushinda sisi kwenye forward kwa kiwango kidogo sana na kama ukiangalia uwezo wa mchezaji moja moja. Kikubwa sisi bado hatuna target striker mzuri kama Rashford anavyoweza kusimama(Hapo ni kwa kuangalia msimu iliyopita, Sijui Abraham na Michy watakuwaje msimu huu).

Kiungo na Beki yao haitufikii hata kwa dawa, hata kidogo.
 
Manchester United anatushinda sisi kwenye forward kwa kiwango kidogo sana na kama ukiangalia uwezo wa mchezaji moja moja. Kikubwa sisi bado hatuna target striker mzuri kama Rashford anavyoweza kusimama(Hapo ni kwa kuangalia msimu iliyopita, Sijui Abraham na Michy watakuwaje msimu huu).

Kiungo na Beki yao haitufikii hata kwa dawa, hata kidogo.


Kwa kiwango kidogo kivipi mkuu?

LUKAKU, MARTIAL, MATA, RASHFORD, SANCHEZ sasa naomba unitajie Forwards zenu za maana
 
Defence ya Utd hiyo hapo chini ujionee mwenyewe

Kwenye beki yenu Luiz naona bado sana kwangu mi namchagua Bailly kama utasema nichague kati ya David Luiz na Eric BaillyView attachment 1148239
Emerson/Alonso Luiz/Zouma Rudiger/Christensen Azippilicueta.

Hapo Rudiger, Azpillicuta na Emerson wanawazidi mbali akina Luke Shaw, Bail na Bisaka
 
Emerson/Alonso Luiz/Zouma Rudiger/Christensen Azippilicueta.

Hapo Rudiger, Azpillicuta na Emerson wanawazidi mbali akina Luke Shaw, Bail na Bisaka
Emerson amzidi Luke Shaw mkuu?

Niambie Azpilicueta>Bissaka nitakuelewa

Lindelof alianza vibaya ila amerudi kwenye kiwango cha juu kwa hiyo naweza sema Rudiger ngoma draw na Lindelof kwa sasa
 
Kwa kiwango kidogo kivipi mkuu?

LUKAKU, MARTIAL, MATA, RASHFORD, SANCHEZ sasa naomba unitajie Forwards zenu za maana
Lukaku ondoa, hawezi wekwa Benji na Rashford naameshatoa barua ya kuhama aidha Inter au Juve
Nasikia Juve wako tayari kluswap na Gonzalo Higuain
 
Argentina kaondolewa Copa America semi final - Poor Messi
Leo Misri kaondolewa na RSA group of 16 AFCON - Poor MO Salah
Halafu bado wako kwenye race ya Ballon d'or
 


Nimecheka balaa

Hapo cha kichekesho zaidi hao teenagers ndio wapo vizuri angalau hahahahahhahahaha
Willian umemuona kombe la America au unaongea tu? Man u kuna mchezaji gani hapo wa kumreplace Willian kwenye nafasi yake?
 
Emerson na Luke Shaw siwezi kusema sana, ila Azippilicueta umemlinganisha na vitu vya kijinga
Emerson amzidi Luke Shaw mkuu?

Niambie Azpilicueta>Bissaka nitakuelewa

Lindelof alianza vibaya ila amerudi kwenye kiwango cha juu kwa hiyo naweza sema Rudiger ngoma draw na Lindelof kwa sasa
 
Wewe jamaa unaleta ushabiki mwingi, timu ambayo Ashel Young, Phill Johns, Dalot, wanapata namba ya uhakika huwezi kuilinganisha na timu ambayo Christensen, na Alonso in second choice, James Leece, Zouma ni lonee! Cahili ni third/fourth choice. Nyie kidogo mbele labda ila nyuma na kati hamna kitu
Emerson amzidi Luke Shaw mkuu?

Niambie Azpilicueta>Bissaka nitakuelewa

Lindelof alianza vibaya ila amerudi kwenye kiwango cha juu kwa hiyo naweza sema Rudiger ngoma draw na Lindelof kwa sasa
 
Willian umemuona kombe la America au unaongea tu? Man u kuna mchezaji gani hapo wa kumreplace Willian kwenye nafasi yake?


Willian kukubalika kwake yawezekana huwa anaroga yule jamaa

Willian ni bonge la garasa ila sina jibu kwa nini makocha huwa wanampenda
 
Willian kukubalika kwake yawezekana huwa anaroga yule jamaa

Willian ni bonge la garasa ila sina jibu kwa nini makocha huwa wanampenda
We jamaa unaongea kishabiki Sana kuliko kiuhasilia yaani willian ni galasa?we unautani na mpira wa miguu hata ukiuliza mashabiki zako was man u watakushaa man u hawana mchezaji km willian ndo maana mlikuwa mnamtaka udi na uvumba ila haliwakataa.
 
Argentina kaondolewa Copa America semi final - Poor Messi
Leo Misri kaondolewa na RSA group of 16 AFCON - Poor MO Salah
Halafu bado wako kwenye race ya Ballon d'or

Ni Class Mkuu! Class ya Messi, Salah, Rinaldo, Neymar, Mbappe, Pogba na Hazard huwawezi kuondolea katika race za Ballon D'or hata kama wao na timu zao watakuwa na msimu mbovu kiasi gani.

Kwahiyo usishangae kuona Messi na Salah wapo katika race za BDO.

Hao hawaangaliwi kwenye Performance tu, bali wanaangaliwa kwenye class zao pia.
 
Katika Mjadala wenu wa Chelsea vs Man U squads:

Mimi maoni/mawazo yangu ni haya:

1) Kepa vs De Gea: nachagua De Gea
2) Azip vs Dalot: Nachagua Azip
3) Shaw vs Emerson: Nachagua Shaw
4) Rud vs Smalling: Nachagua Rud
5) Luis vs Lidelof: Nachagua Lindelof
6) Kante vs Fred/Matic: Nachagua Kante
7) Lingard vs Willian: Sina jibu sahihi
8) Joginho vs Pogba: Nachagua Pogba
9) Rash vs Giroud: Nachagua Rash
10) Lukaku vs Odoi: Nachagua Lukaku
11) Pulisic vs Martial: Nachagua Martial mchana kweupe.

Ni mawazo yangu naomba yahishimiwe ila naruhusu kukosolewa/Kupingwa kwa hoja.
 
Willian umemuona kombe la America au unaongea tu? Man u kuna mchezaji gani hapo wa kumreplace Willian kwenye nafasi yake?
Hivi wao wanajua kwa nini Bodi inamung'ang'ania Willian, je wanajua Barcelona wameona nini kwa Willian kumfukuzia miaka miwili?
Je hawajui kwa nini kila kocha akija anamheshimu Willian?
Naamini huu msimu wa Lampard Willian atafanya vizuri kuliko misimu mingine yote kwa sababu naamini Lampard ataweko mfumo unaomfaa Willian
Willian is one of Chelsea Legend na ataonyesha hivyo msimu huu
 
Willian kukubalika kwake yawezekana huwa anaroga yule jamaa

Willian ni bonge la garasa ila sina jibu kwa nini makocha huwa wanampenda
Pia hutakuwa na jibu kwa nini bodi ya Chelsea sio tu wanampenda, pia wanamheshimu,
Hutakuwa na jibu pia kwa nini Timu kubwa kama Barcelona wanamuinda miaka miwili na Zaidi!
Hutakuwa na jibu pia yeye akiwemo kati ya legends wa timu kubwa kama Chelsea
 
We jamaa unaongea kishabiki Sana kuliko kiuhasilia yaani willian ni galasa?we unautani na mpira wa miguu hata ukiuliza mashabiki zako was man u watakushaa man u hawana mchezaji km willian ndo maana mlikuwa mnamtaka udi na uvumba ila haliwakataa.
Unaona naongea kiushabiki kushambulia hebu pitia reference yangu hapo chini profile yake Willian tokea amefika Chelsea

Msimu ulioisha aliopewa nafasi sana na Sarri kafunga goli 3 katika mechi THELATHINI NA MBILI(32)

Bonge la garasa yaani Winga ambae amecheza EPL misimu saba full na hakuna msimu hata mmoja amewahi fika goli kumi za ligi na hapo kaja Chelsea akiwa na miaka 25 kabisa

Muangalie mwenyewe Profile nimekuwekea hapo kwenye screenshot hapo chini
Screenshot_20190707-122655.jpeg
 
Pia hutakuwa na jibu kwa nini bodi ya Chelsea sio tu wanampenda, pia wanamheshimu,
Hutakuwa na jibu pia kwa nini Timu kubwa kama Barcelona wanamuinda miaka miwili na Zaidi!
Hutakuwa na jibu pia yeye akiwemo kati ya legends wa timu kubwa kama Chelsea

CV yake ya misimu full saba akiwa Chelsea nimekuwekea hapo chini

Muhukumu mwenyewe

Kwenye assists pia nimesikia katika hiyo misimu saba Winga huyo unaemkubali sana hajafikisha assists 30

Angalia mwenyewe
Screenshot_20190707-122655.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom