Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

1111791
 
Mwenye pic ya Ng'olo akiwa na kombe atuwekee maana huyu jamaa anajificha sana ila mafanikio yanamtafuta sana
 
We deserved the winner ..We did it ...SARRI ametoa gundu ..itakuwa ni aibu sana kwa kocha kama Klopp mweny misimu zaid ya mitatu/minne EPL sasa kutoka kapa(empty) wakati Sarri msimu wake hu wa kwanza kapita na Europa..
 
Ollachuga
Ollachuga
Ollachuga
Where are you Brother.
Nipo mkuu nipo kwenye msiba mzito sana ..maana majirani hawakutarajia kukutana na kipigo cha mbwa koko ..hivyo niko kwenye kamati ya mazishi na kesho tutaaga mwili wa marehemu mapema tu asubuhi kisha tunafunga jiwe kubwa shingoni kwa mwili wa marehemu halafu tunatupa baharini. Hahahahahaha
 
Niliomba ufunge 2 umefunga
Niliomba assist umetoa

Nikupongeze tu kwa hilo na niseme tu Niko tayari kukuaga sasa.

Siku zote nitakuwa nawe pale ulipo, kama star ninaekukubali mno kuliko yeyote hapa duniani.

Asante kwa miaka saba iliyoshiba na kiwango kisichoshuka kutoka kwako
.good bye EDEN HAZARD

Nikutakie mafanikio mengine huko uendako, asante kwa kila kitu ulichoifanyia club yetu ya Chelsea

Nitabaki kuwa fans wa Chelsea
Nitabaki kuwa shabiki wa Eden Hazard popote aendapo.

Na niseme tu siku atakayotambulishwa rasmi kwenye club yake mpya nitabadilisha avatari yake, kutoka kuvaa blues colour hadi white colour ya real madrid.

View attachment 1111779
Machozi yananitoka bro, yaan huyu jamaa anajua balaa he is a real blue, lv you hazaaaa
 
Niliomba ufunge 2 umefunga
Niliomba assist umetoa

Nikupongeze tu kwa hilo na niseme tu Niko tayari kukuaga sasa.

Siku zote nitakuwa nawe pale ulipo, kama star ninaekukubali mno kuliko yeyote hapa duniani.

Asante kwa miaka saba iliyoshiba na kiwango kisichoshuka kutoka kwako
.good bye EDEN HAZARD

Nikutakie mafanikio mengine huko uendako, asante kwa kila kitu ulichoifanyia club yetu ya Chelsea

Nitabaki kuwa fans wa Chelsea
Nitabaki kuwa shabiki wa Eden Hazard popote aendapo.

Na niseme tu siku atakayotambulishwa rasmi kwenye club yake mpya nitabadilisha avatari yake, kutoka kuvaa blues colour hadi white colour ya real madrid.

View attachment 1111779
Atabaki kuwa na damu ya Blue
Lets say bye to our legend
 
Actually asernal wametualibia final walikuwa dhaifu mno oo sis Chelsea uwa tunacheza finals za kibabe
Chelsea vs mancity -carabao
Chelsea vs man u - Fa
Chelsea vs Tottenham -carling
Chelsea vs benifica -Europa
Chelsea vs Bayermunich -UCL
Chelsea vs Man u - UCL
Hiz baadhi ya finals ambazo walipiga mpira wa kibabe japo baadhi walipoteza kwa mbinde sana

Asernal walikuwa dhaifu sana
 
Nipo mkuu nipo kwenye msiba mzito sana ..maana majirani hawakutarajia kukutana na kipigo cha mbwa koko ..hivyo niko kwenye kamati ya mazishi na kesho tutaaga mwili wa marehemu mapema tu asubuhi kisha tunafunga jiwe kubwa shingoni kwa mwili wa marehemu halafu tunatupa baharini. Hahahahahaha
Yaani ushiriki mauaji halafu ushiriki na kwenye kamati ya mazishi??
Haiwezekani, tena ukionekana kwenye msiba watakuua.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom