Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mashujaa wetu leo hawa hapa
  1. Giroud leo kahusihswa na magoli matatu (goli la kwanza kafunga, kasababisha penalty na kaasists kwa Hazard goli la nne)
  2. Hazard naye kahusishwa na magoli matatu (Assist goli la pili kwa Pedro, kafunga penalty na goli la nne)
 
Hataki kucheza ndani ya kivuli cha mtu mwingine...pale madrid yeye ndio atakua top sasa,kila mtu atamwangalia yeye ,kule barca na messi wao hata umsgushe yesu pale hawawezi kumwelewa kabisa haahhahaha

Probably, ila Madrid mpaka sasa siisomi mipango yao kabisa.

Ngoja tuone wanamchukua nani kwenye usajili huu.
 
Probably, ila Madrid mpaka sasa siisomi mipango yao kabisa.

Ngoja tuone wanamchukua nani kwenye usajili huu.
Aisee hawaeleweki kabisa..ila pia upungufu wa majina na hatari kwenye soka yamepungua kwa kiasi kikubwa sana‌,

Ukimwacha mbappe na hazard sioni jina jingine la kuibeba madrid kama ilivyo falsafa yao

Mo salah nooo

Kane nooo

Mane noo
 
Aisee hawaeleweki kabisa..ila pia upungufu wa majina na hatari kwenye soka yamepungua kwa kiasi kikubwa sana‌,

Ukimwacha mbappe na hazard sioni jina jingine la kuibeba madrid kama ilivyo falsafa yao

Mo salah nooo

Kane nooo

Mane noo

Yes, nadhani ukosefu wa soko kutokuwa na wachezaji wa level hizo ni sababu.

Halafu PSG kaharibu bei za wachezaji, maana Mbappe kumtoa pale si kazi ndogo.

Hazard yuko vizuri sana, kama atakuwa na striker makini wa kufanya naye combi Madrid wanaweza kurudi kwa mbali.
 
Europa League Records for 2018/19
  1. Olivier Giroud is the top scorer with 11 goals for 2018/19 Europa League
  2. Chelsea win Europa League title by winning all matches except one draw of 2-2 with Vidi at group stage. Chelsea possibly drawn that game because they were already qualified for knockout stage
 
Europa League Records for 2018/19
  1. Olivier Giroud is the top scorer with 11 goals for 2018/19 Europa League
  2. Chelsea win Europa League title by winning all matches except one draw of 2-2 with Vidi at group stage. Chelsea possibly drawn that game because they were already qualified for knockout stage

Wamedroo 3 au ya frankfurt umeisahau home and away zote kasuluhu
 
Baku is blue
europaleague___ByD-JZLl67B___.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom