Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwa miaka aliyobakiza UEFA anapishana nayo kwenda Madrid.

Ni Liverpool na Man City ndiyo wenye uhakika na UEFA kwa miaka 4 ijayo.

(Tumeiondoa hii ya 2019 ya Liverpool).
Sijui kwanin anaenda madrid lakin nilitaman sana nione combination ya hazard messi Neymar

Mbele yao awe minjino
 
Harzad ameaga na kuwashukuru wapenzi wa Chelsea kwa miaka 7 aliyochezea
Hajaaga, wewe umeweka ya kwako. Inaweza kuwa hii ni mechi yake ya mwisho lakini uhamisho wake bado haujafikiwa maamuzi. Chelsea wanataka Paundi 130m, watupe ili Hazard ahame kwa heshima, mchezaji mzuri hivi halafu wao wanataka kutupa below 100M
 
Barca pia ingekuwa chaguo zuri, ila naona hawajawahi hata kumzungumzia.
Hataki kucheza ndani ya kivuli cha mtu mwingine...pale madrid yeye ndio atakua top sasa,kila mtu atamwangalia yeye ,kule barca na messi wao hata umsgushe yesu pale hawawezi kumwelewa kabisa haahhahaha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom