Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Arsenal wanaonesha wana uchu na kombe kuliko sisi. Waliwasili Baku Jumamosi ilhali sisi ni Jana tu ndo timu imewasili.

Kwa leo kushinda ni wachezaji wenyewe waamue tu kwa kweli.
Hiyo ndio maana halisi ya wanaume wanaojiamini mkuu mentor,

Siku moja kabla ya match na ndoo tunabeba
 
Kikosi cha Chelsea kinachoanza
Screenshot_20190529-205709.jpg
 
Arsenal wanaonesha wana uchu na kombe kuliko sisi. Waliwasili Baku Jumamosi ilhali sisi ni Jana tu ndo timu imewasili.

Kwa leo kushinda ni wachezaji wenyewe waamue tu kwa kweli.
Poleni. Mwombeni Mungu atawasaidia
 
So far tumeonyesha total dominance anapaswa Giroud kutoka Higuan anajua kushoot na nafasi za kushoot Hazard na Emerson wanazitengeneza sana tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom