Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

My Starting XI prediction today
  1. Kepa
  2. Andreas
  3. Luiz
  4. Azpi
  5. Emerson
  6. Jourginho
  7. Kovacic
  8. Barkley
  9. Pedro
  10. Hazard
  11. Giroud
 
Timu imeshapoteza focus ya mchezo wa leo, yani wachezaji wanagombana na kocha anasusia mazoezi, hii ni hatari
 
Leo tunashangilia kama hivi the bluessss

images(3).jpg
 
Mkuu Substitutions watakuwa kina nani?
Poor Chelsea leo Kante asipokuwa fit, midfields hakuna wa kusub labda kinda Conor Gallagher
Kipa, Willy Cabalerro
Mabeki nadhani wako watatu tu
Carhill, Zapacosta na Alonso
Mbele wako wawili Willian na Higuain
 
Arsenal wanaonesha wana uchu na kombe kuliko sisi. Waliwasili Baku Jumamosi ilhali sisi ni Jana tu ndo timu imewasili.

Kwa leo kushinda ni wachezaji wenyewe waamue tu kwa kweli.
 
Arsenal wanaonesha wana uchu na kombe kuliko sisi. Waliwasili Baku Jumamosi ilhali sisi ni Jana tu ndo timu imewasili.
Kwa leo kushinda ni wachezaji wenyewe waamue tu kwa kweli.
daa wenzetu tayari washazoea mazingira, ss ndio tunawasili siku moja kabla? Timu kwanza imekosa motivation naona hii game wanaichukulia poa tu
 
kwa upande wangu mimi sioni kosa la higuain lipo wapi pale yeye alimwambia tu kwa maoni yake kuwa hii game tunaenda kupigwa kipigo cha aibu na arsenal bora tusiingize timu uwanjani maana wale kina lacazette wewe huwezi kuwazuia,ndipo luiz akawaka
Hahahhahahahahaha
 
Luiz na Higuain wametibuana kwenye mazoezi, na Sarri nae kakasirika na kuondoka uwanjani.

Jamani hii sasa kitu gani tena na siku imebaki moja tuu kucheza fainali...
Taarifa za uongo hizi. Sarri kaondoka uwanjani sababu ya waandishi wa habari siyo ishu ya Luiz na Higuain
 
kwa upande wangu mimi sioni kosa la higuain lipo wapi pale yeye alimwambia tu kwa maoni yake kuwa hii game tunaenda kupigwa kipigo cha aibu na arsenal bora tusiingize timu uwanjani maana wale kina lacazette wewe huwezi kuwazuia,ndipo luiz akawaka
Wewe! Chelsea hata ikichezesha kikosi b bado Asernal mtafungwa tunza haya maneno yangu.
 
Ndugu ulichokiandika hapo hata sio ushabiki bali ni kupoteza muda maana hicho kitu hata watoto wa chekechea hawawezi kufanya na kumsingizia Higuaín kasema utumbo wa namna hiyo.

Kosa analo tena kubwa na Luiz yuko sawa, Higuaín kamshambulia Luiz kwa nyuma Luiz akaja juu. Kamshtukia Higuaín alitaka kusababisha majeruhi na Luiz aliona hakukuwa na haja ya Chalenge kama ile ambayo ingesababisha majeruhi kama ya Kante. Nahisi kuna hujuma inaendelea ndani ya Chelsea na kushinda game ya leo baadaye ni majaliwa. Jioni ya tar 28 ni kama imeenda bure kwa sababu hakukuwa na mazoezi yeyote ya maana, Kante kajifanyia jogging peke yake akaondoka mapema kabla ya wengine. Waliobaki ni kuzozana mpaka muda wa mazoezi ukaisha.
Higuaín yuko frustrated kwa sababu kesho inavyoelekea hatacheza na matokeo ya hiyo frustration ndio hiyo. Anajua pia Chelsea hawatamchukua msimu mwingine so bad
Kwa game ya leo baadaye, nawapa Chelsea asilimia ndogo ya kushinda
Duuh km wachezaji wenyewe hawana ushirikiano tunategemea nn.? Tusuboriuuniza tu, ndio jibu.
 
Kugombana ni kawaida mkuu hilo wala lisikutishe, Chelsea ananyanyua ndoo leo
Kwenye timu kugombana ni ishara ya kutokuwepo Umoja kati ya baadhi ya wachezaji wenyewe kwa wenyewe au wao na kocha. Usitegemee timu ifanye vizuri kama hizi tofauti inafikia kiwango cha kuandikwa na watu wa media, mashabiki pia waliona. Wee unategemea zile passi murua za Luiz zitaenda kwa Gonzalo Higuaín kama wana bifu. Hii sio habari njema kabisa na ushindi leo tutaendelea kutegemea kwa hisani ya Arsenal kama ilivyokuwa kwenye top 4. Arsenal wakicheza chini ya kiwango tunaweza shinda ila wakicheza kwenye kiwango chao na inaelekea itakuwa hivyo, ushindi Chelsea sahau, tubaki tunajifariji tu kuwa washiriki wa UCL mwakani.
Nature ya majeruhi pia sio nzuri hasa hizi zinazoongezeka kwenye mazoezi. Higuaín faulu yake jana ingefanikiwa maana yake leo pia tungekuwa na majeruhi ya Luiz, Thanks God haikufanikiwa. Iwe ni carelessness au makusudi majeruhi ya Kante itatuadhiri sana
Jambo la mwisho media walishapublish baada ya ligi kuisha kuwa baadhi ya wachezaji wakubwa Chelsea wameazimia kuhama timu kama Sarri ataendelea kuwa kocha, hii ni gossip lakini wahenga walisema lisemwalo lipo na kama halipo laja. Willian na baadhi ya wachezaji wakubwa walishamlalamikia kocha kwa ratiba ya mazoezi asubuhi, sijui kama hiyo ratiba bado ipo ambayo mimi nadhani ndio ilikuwa chanzo kuu ya dukuduku ya wachezaji kumlalamikia Sarri. Hizi zote ni ishara kwamba Chelsea yahitaji miujiza ili ishinde leo
 
Preview:

The first all-English Europa League (EL)/UEFA Cup final since 1971/72 will see a London derby between Arsenal and Chelsea in Baku, Azerbaijan – a city that will necessitate a 9,000 km round trip for rivals based just 10 km apart.

Chelsea, winners of the EL in 2012/13, head into the final with just one loss in 12 competitive games (W7, D4, L1), including a penalty shootout win over Frankfurt in the semi-final of this competition.

That success marked 14 EL games unbeaten this term and 17 overall – a competition record.

Yet no side has ever won the EL without losing a game.None of Chelsea’s EL games this season (W11, D3) saw them losing at half-time, while eight of them produced a clean sheet for the ‘Blues’.

Needing to win to claim a Champions League place, Arsenal’s home and away wins in the EL semi-final over Valencia – after going a goal down in each - form part of four unbeaten competitive games (W3, D1), three of which saw them win with a -1 handicap.

Arsenal have kept just six clean sheets in 27 competitive games away from the Emirates Stadium this season, but four of those did come in the EL - part of nine in total for them in this competition this term.

The ‘Gunners’ have never won a European match versus another English club (D2, L4), including one loss to Chelsea, but can boast a superior H2H record versus the Blues in the last eight competitive meetings (W4, D3, L1).

Players to watch:

Eden Hazard (CHE) hasn’t scored in ten European club competition appearances - but his last goal came against Qarabag in Baku!Arsenal have lost just two of the 22 competitive games that Pierre-Emerick Aubameyang has scored in this season.

Stat attack:

Chelsea have only been behind at half-time in six of their 62 competitive games this season, but all six occasions saw them go on to lose the game.Only four of Arsenal’s 14 EL games this season saw a level half-time score.Arsenal’s Unai Emery is the EL’s most successful coach with three titles (all with Sevilla).

All the best team!
 
Kwenye timu kugombana ni ishara ya kutokuwepo Umoja kati ya baadhi ya wachezaji wenyewe kwa wenyewe au wao na kocha. Usitegemee timu ifanye vizuri kama hizi tofauti inafikia kiwango cha kuandikwa na watu wa media, mashabiki pia waliona. Wee unategemea zile passi murua za Luiz zitaenda kwa Gonzalo Higuaín kama wana bifu. Hii sio habari njema kabisa na ushindi leo tutaendelea kutegemea kwa hisani ya Arsenal kama ilivyokuwa kwenye top 4. Arsenal wakicheza chini ya kiwango tunaweza shinda ila wakicheza kwenye kiwango chao na inaelekea itakuwa hivyo, ushindi Chelsea sahau, tubaki tunajifariji tu kuwa washiriki wa UCL mwakani.
Nature ya majeruhi pia sio nzuri hasa hizi zinazoongezeka kwenye mazoezi. Higuaín faulu yake jana ingefanikiwa maana yake leo pia tungekuwa na majeruhi ya Luiz, Thanks God haikufanikiwa. Iwe ni carelessness au makusudi majeruhi ya Kante itatuadhiri sana
Jambo la mwisho media walishapublish baada ya ligi kuisha kuwa baadhi ya wachezaji wakubwa Chelsea wameazimia kuhama timu kama Sarri ataendelea kuwa kocha, hii ni gossip lakini wahenga walisema lisemwalo lipo na kama halipo laja. Willian na baadhi ya wachezaji wakubwa walishamlalamikia kocha kwa ratiba ya mazoezi asubuhi, sijui kama hiyo ratiba bado ipo ambayo mimi nadhani ndio ilikuwa chanzo kuu ya dukuduku ya wachezaji kumlalamikia Sarri. Hizi zote ni ishara kwamba Chelsea yahitaji miujiza ili ishinde leo

Huyo Willian ni Nyoka. Hata mwaka jana mwisho alikua na bifu na Conte. Mchezaji mbovu ambae anajiona anajua mpira. Nashangaa mimi Chelsea hawamfyekelei mbali, kila siku yeye anakua yupo center kwenye fitna na makocha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom