Maxmizer
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 4,799
- 4,231
[emoji23][emoji23][emoji23]
Baada ya Kushindwa Kwa Bayern na Barcelona mumeamua kuhamia kwa Spurs?
Washabiki wa Chelsea bhana! Wameshampa ubingwa Spurs kwa Kumfunga Ajax, lakini aliyemfunga Barcelona hawampi ubingwa.