Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tusikate tamaa added advantage tuliyonayo Hazard, Luiz, azpi, willian,Ng'olo wamezoea kuchukua vikombe vizito tofauti na wenzetu hivyo wanajua uzito wa kombe kubwa na fainali zinachezwaje, wenzetu walichotuzidi ni kocha tu
Hakuna cha kocha wala nini. Hivi ile PSG wampe Sarri ingeshindikana kubeba Lig1?
 
Plastic fan. Kocha ndo msimu wake wa kwanza, hakuwa na pre season na wachezaji, anatumia wachezaji aliwakuta na wengine hawafai aina ya falsafa ya mpera, ameshasajili Jogihno pekee, amesecure nafasi ya champions league, ameifikisha timu fainali ya Europa, amewezesha wachezaji watatu wa academy kuwa kwenye first 11 team ya Chelsea, amewaimprove wachezaji ... Hivi unataka nini zaidi? Guadiola msimu wake wa kwanza hata nafasi ya nne aliipata kwa mbinde. Msimu wake wa pili ndiyo kaamua kusafisha kikosi kizima na ndo tumeanza kuiona Man City hii ambayo ni tishio.Klop anafanikiwa baada ya misimu miwili tena kwa kutumia hela nyingi kwenye usajili.

Be realistic man. Act like a person who has brain
Mkuu habari za man city, angalia usije ukakosa EPL maana itakuwa aibu ya mwaka

Uko sahihi Mimi Niko na Sarri pia
 
Kuna muda mpira hauhitaji formation 1 tu au philosophy ya klabu bali huhitaji tactics, hicho kitu bado Sari hajawa nacho, kwa mimi Wachezaji wenyewe ni 7bu kubwa kufikia hapo maana wanajituma sana.
4 3 3 ni mpangilio tu wa wachezaji uwanjani ila siyo kwamba ni mbinu. Unaweza kutambua mbinu za timu kwa kuangalia rythm ya timu inapokuwa inatembea na mpira na pale inakuwa inakaba wakati adui ana mpira. Kwa hiyo kama huangalii mpira kwa jicho la kimbinu kuna vitu huwezi kuviona au kuvielewa
 
Plastic fan. Kocha ndo msimu wake wa kwanza, hakuwa na pre season na wachezaji, anatumia wachezaji aliwakuta na wengine hawafai aina ya falsafa ya mpira anaofundisha, ameshasajili Jogihno pekee, amesecure nafasi ya champions league, ameifikisha timu fainali ya Europa, amewezesha wachezaji watatu wa academy kuwa kwenye first 11 team ya Chelsea na hii haijawahi kutokea, amewaimprove wachezaji ... Hivi unataka nini zaidi? Guadiola msimu wake wa kwanza hata nafasi ya nne aliipata kwa mbinde. Msimu wake wa pili ndiyo aliamua kusafisha kikosi kizima na ndo tumeanza kuiona Man City hii ambayo ni tishio.Klop anafanikiwa baada ya misimu miwili tena kwa kutumia hela nyingi kwenye usajili kwenye msimu wake wa 3.
Be realistic man. Act like a person who has brain
Guadiola msimu uliofata alifanya mabadiliko makubwa ikiwa ni pamoja na kununua wachezaji aliowataka, Chelsea tumepigwa transfer ban hatutaweza kusajili mchezaji yeyote, itamlazimu sarri aendelee kuwatumia wale wale hata kama hawako kwenye plan zake kitu ambacho mm naona msimu ujao itakua ngumu kutoa ushindani kwenye mbio za ubingwa
 
Aisee, Chelsea imefungiwa two transfer windows na siyo miaka miwili. Chelsea tuna kazi na aina ya mashabiki wetu
Watu tangu mwanzo walichanganya two transfer windows na two years. Tangu mwanzo ni mwaka mmoja wenye two windows. Hata hivyo tutapeleka kesi mahakama ya sport, bado tunaweza kuwahi.
 
hahaha dah yaani baasi zappacosta ni mzuri kushambulia defence ni mpaka aamke poa
Uzuri wa Zapa ni kujituma uwanjani kama anavyojituma Emerson ila wote wawili sio wazuri sana kwenye kutoa cross,
Tunahitaji LB au RB kaliba ya akina Andy na TAA wa Liverpool hapo ndipo tunaweza shindan na uhalisia wa EPL wa sasa hivi
 
Sari hajawahi kubadili huo mfumo tangu aje darajani, Pep hata Pochetinho huwa wanajulikana vzr sn formation wanazotumia lkn si kwamba huwa hawabadiliki kwa kila mechi kama Sariball
4 3 3 ni mpangilio tu wa wachezaji uwanjani ila siyo kwamba ni mbinu. Unaweza kutambua mbinu za timu kwa kuangalia rythm ya timu inapokuwa inatembea na mpira na pale inakuwa inakaba wakati adui ana mpira. Kwa hiyo kama huangalii mpira kwa jicho la kimbinu kuna vitu huwezi kuviona au kuvielewa
 
4 3 3 ni mpangilio tu wa wachezaji uwanjani ila siyo kwamba ni mbinu. Unaweza kutambua mbinu za timu kwa kuangalia rythm ya timu inapokuwa inatembea na mpira na pale inakuwa inakaba wakati adui ana mpira. Kwa hiyo kama huangalii mpira kwa jicho la kimbinu kuna vitu huwezi kuviona au kuvielewa
Sarri ni kocha mzuri kwenye formation ila mbinu ni ziro X1000. Njia rahisi ya kujua kama kocha ana mbinu
  1. Angalia wanvyorespond baada ya kufungwa
  2. Angalia wanavyoaproach game baada ya kupoteza mechi ya kwanza na timu ile ile
  3. Angalia wanavyocheza na timu tofauti, mtindo ule ule
  4. Angalia sub zinavyopfanyika, PREDITABLE -PREDICTABLE, hakuna hata siku moja unamuona sari anamto winger na kumuweka MF au defender au striker na kumuweka MF. kaifanya jana tu kumtoa Andreas na kumuweka Zapa nafasi ya Azpi na Azpit kurudi katikati nafasi ya Andreas ila jhiyo haikuwa mbinu bali kalazimishwa kwa sababu ya majeruhi na hakukuwa na mbadala
  5. Anachojitahidi Sarri ni kumotivate wachezaji kucheza vile vile siku zote kitu ambacho ni ngumu sana kuzaa matunda.
  6. Ukweli ni kwamba kama sio wachezaji wenyewe wameamua kuacha mgomo baridi wa Dectimu isingeingia top 4, wachezaji walishamchoka kwa sababu hawasikilizi wachezaji na ni rigid coach. December -Feb - Hata ile incident ya Kepa kugoma ni matokeo ya wachezaji kutomtii kocha kwa sababu they do not trust him
 
Maoni yangu, squad ya Chelsea 2019/20 itafanania hivi
Assumptions
  • Ban haitaondolewa​
  • Hazard ataondoka​
  • Giroud na Higain watakuwa offloaded​
  • Zapacosta atatolewa mkopo​
  • Drink water atauzwa​
  • NK​

  1. Kepa Arrizabalaga/Willy Caballero (GK)
  2. Reece James/ Cesar Azpilicueta (LB)
  3. Antonio Rudiger/Andreas Christiansen
    (CB-right)
  4. Kurt Happy Zouma/David Luiz (CB left)
  5. Marcos Alonso/Emerson Palmieri dos Santos (LB)
  6. N’Golo Kante - (AMF - Right)
  7. Jorge Luiz Frello Filho(Jorginho)/Mateo Kovačić (CMF)
  8. Ruben Loftus-Cheek/Ross Barkley - (AMF - Left)
  9. Christian Pulisic/Pedro Eliezer Rodríguez Ledesma (RW)
  10. Tammy Abraham/Michy Batshuayi (Striker)
  11. Willian Borges da Silva/Callum Hudson-Odoi (LW)
 
Messi alizuiwa kwa njia gani.?

Messi tofauti na Auba & Laca...

Messi ni Jogoo la Shamba haliwiki Mjini, linawika likiwa Camp Nuo tu ambako anaweza kukuchakaza.

Lakini Likitoka Spain na Kukanyaga Uengereza linageuka Mtetea.

But Auba na Laca ni Majogoo ya Kisela yanawika popote pale kama ulivyoona Jana.

Yani hawa wamekukosa basi ni 3
 
Guadiola msimu uliofata alifanya mabadiliko makubwa ikiwa ni pamoja na kununua wachezaji aliowataka, Chelsea tumepigwa transfer ban hatutaweza kusajili mchezaji yeyote, itamlazimu sarri aendelee kuwatumia wale wale hata kama hawako kwenye plan zake kitu ambacho mm naona msimu ujao itakua ngumu kutoa ushindani kwenye mbio za ubingwa
Lakini namuamini Sarri katika kutengeneza wachezaji kwa gharama ndogo. Napoli ilijengwa na Sarri kwa pesa kidogo tafauti na timu nyingine zinavyofanya
 
Mungu asaidie ili tupate striker na CB
Watu tangu mwanzo walichanga tow transfer windows na two years. Tangu mwanzo ni mwaka mmoja wenye two windows. Hata hivyo tutapeleka kesi mahakama ya sport, bado tunaweza kuwahi.
 
Kuangalia mpira hakuna uhusiano na kupost humu jukwaani
We mwenyewe una wasiwasi na timu ndio maana mechi hukutizama ,penalty wamepiga jana saa saba kasoro usiku umenijibu leo saa tano ,kama si uoga nn.
 
Kiufupi sarri amefanya kazi yake sawasawa, katutoa tulipokuwa msimu ukiopita katuleta tunapostahili kuwa, Chelsea sio team ya kukosa champions league hata Mara moja

Unasema maneno hayo ukiwa umesahau kuwa umeanza kushiriki CL mwaka 2001, Kabla ya Hapo ulikuwa ukiisikia Redioni tu.

Sasa Wenzako Waloanza Kushiriki Champion League tokea Tanzania Haijapata Uhuru hawasemi Maneno hayo! Wewe uliyeanza juzi Mkapa/Kikwete era ndiyo unajifanya huwezi kukosa kushiriki CL?

Arsenal, Liverpool and Man United wasemeje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom