Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ni kweli lakini nahisi swala la kufungiwa kusajili bodi ililiona mapema ndiyo maana wakaamua kumtafuta kocha anayeweza kujenga kikosi kwa bei ndogo. Lakini pia kumbuka tuna talents nyingi kwenye mikopo, tulichokuwa tunakosa ni namna ya kuwalink kwa first timu na hii imetusababisha kuwapoteza akina Salah, Debruyne, Ake, Thorgan na wengineo. Kwa aina ya ufundishaji wa Sarri atatufaa kwenye kipindi hiki.

Hao wa mikopo sio talents bali ni magarasa
 
Unasema maneno hayo ukiwa umesahau kuwa umeanza kushiriki CL mwaka 2001, Kabla ya Hapo ulikuwa ukiisikia Redioni tu.

Sasa Wenzako Waloanza Kushiriki Champion League to Tanzania Haijapata Uhuru hawasemi Maneno hayo! Wewe uliyeanza juzi Mkapa/Kikwete era ndiyo unajifanya huwezi kukosa kushiriki CL?

Arsenal, Liverpool and Man United wasemeje?
Hahahaaa usiwaze king, we jitahidi utwae taji mbele ya Tottenham mkuu
 
Nafikiri kinachomatter zaidi ni matokeo na mafanikio. It is his first season in EPL. We will see. Japo siamini kwamba njia anazotumia fulani ndo inabidi uziangalizie na kufanya hizo hizo ili ushinde.
Kutokuwa na tactics ndio mada kuu, hakuna aliyesema aige, ila kuwa rigid kwenye ligi ngumu kama ya EPL tutaishia kuwa kama Spurs ambayo ikifika top 4 ndio kilele cha mafanikio
 
Sasa hilo ni tatizo la Sarri au Wachezaji? Hebu Jiulize ni kocha wa ngapi ambaye umegomewa na wachezaji pale chelsea? bado mnashindwa kuliona tatizo?
Kugomewa ni consequences ya mambo mengi na mengine yako deep, tukiyajadili hapa ni juu-juu tu. In short kugomewa na wachezaji ni dalili ya poor leadership skills, kiongozi bora ana uwezo wa kuwin nyoyo za anaowaongoza kwa kutumia leadership techniques. Inwezekana Sarri ni kiongozi mzuri ila aliteleza kidogo, labda tumpe muda
 
Kugomewa ni consequences ya mambo mengi na mengine yako deep, tukiyajadili hapo ni juu-juu tu. In short kugomewa na wachezaji ni dalili ya poor leadership skills, kiongozi bopra ana uwezo wa kuwin nyoyo za anaowaongoza kwa kutumia leadership techniques. Inwezekana Sarri ni kiongozi mzuri ila aliteleza kidogo, labda tumpe muda

Vipi kuhusu Conte?, Mourinho ? Di mateo? Villa Boas? kwanini Chelsea ndio iwe inasifika kugomea makocha?
 
Vipi kuhusu Conte?, Mourinho ? Di mateo? Villa Boas? kwanini Chelsea ndio iwe inasifika kugomea makocha?
Sio Chelsea tu, wewe you are not informed inaelekea, Chelsea wanaongoza labda kusuck managers but sio wachezaji kuwagomea makocha. Timu nyingi makocha wanagomewa kibaridi ila management inavumilia mpaka upepo upite
 
Sio Chelsea tu, wewe you are not informed inaelekea, Chelsea wanaongoza labda kusuck managers but sio wachezaji kuwagomea makocha. Timu nyingi makocha wanagomewa kibaridi ila management inavumilia mpaka upepo upite

Ungetusaidia mifano mkuu
 
Humu ndani Nani hamuogopi aubameyang na ozil #kombe mmlikosa nyie
 
Kombe laenda kwa majirani arsenal nyie mtapata medali
 
Mbona hatujawahi kupata kesi kama hiyo kwa Conte au VIlla Boss sehemu nyengine?
Nimeshakujibu hapo, approach ya management kwenye mizozo ya mameneja na wachezaji zinatofautiana, Chelsea hawana uvuymilivu kama hao wengine
 
Ungetusaidia mifano mkuu
Wewe ndie wa kwenda kuchunguza, facts kama hizi sina haja ya kuprove. Penye watuy wengi kada tofauti, profile tofauti, cultural origin tofauti unafikiri manager atamange tu bila kukwaruzana na wachezaji halafu unataka niprove nini hapa. Everywhere managers and players are in antagonistic modes, ni hekima za manager tu inafanya upepo ukivuma uishe bila kuleta madhara. Chelsea kutimua makocha ndio issue ambayo ni tofauti na timu zingine lakini hili la wachezaji usitake kujenga picha isiyokuwepo hapa
 
Aisee, Chelsea imefungiwa two transfer windows na siyo miaka miwili. Chelsea tuna kazi na aina ya mashabiki wetu
Wanashindwa kuelewa ni madirisha mawili ya usajili na sio miaka miwili, sijui misimu miwili... ni MADIRISHA MAWILI YA USAJILI...
 
Mkuu Zappa ana potential kubwa tu ..ni Sarri kumpa nafasi ..mfano gemu katusave sana..
Hata mimi nakubali anapotential kubwa, kwanza ana commitment akiwa uwanjani na movement yake natckling yake sio mbaya ugomvi wangu tu uko kwenye crossing techniques sio clinical, yaani hata kama mfungaji akiwa kwenye position yeye huwa anakurupuka na kujipigia tu kwenda golini, ile types ya victor mosses. Tukipata winger na left/right backs wazuri itakuwa poa sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom