Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,591
City umemsahau au umejisahaulisha
Kumsahau vipi? Nimeandika hapo Liverpool na City!
Au sijaelewa swali lako.
City umemsahau au umejisahaulisha
Sasa hapa Man U kwa haya matokeo ya Chelsea, Arsenal na Spurs nafasi bado wanayo.
Kesho Man City hii mechi ni ngumu kwake. Tofauti na wengi mnavyowaza Man U hawezi kumlegezea City hata kidogo. There's so much at stake, there's so much to lose.
Kesho naona Man U wakishinda pale OT.
Ole's at the wheel. [emoji16]
Wewe game ijayo una Wolves alafu Leicester. Wote hawa wanatamani kucheza Europa na bado wana matumaini. [emoji23][emoji23][emoji23]
Ligi bado mbichi sana aseee. Msimu huu kuna tutakaolia na kucheka kwapamoja. [emoji16][emoji16]
Haaaaaaaa alidhan mpira unachezwa jf, sasa hivi yupo jukwaa la mapishi, anashauri eti kababu ziwe zinawekwa pili pili manga
Kante, Higuain [emoji91][emoji91]
Mkuu umepotea njia. Yatunze kwa ajili yako mwenyewe utakapomkaribisha Barca.
[emoji38][emoji38][emoji38] siyo ajabu na Uefa wakabeba +eplImagine this team :
Kepa
Young, Jones, Mustafi, Delph
Fred, Keita, Kovacic
Willian, Lukaku, Sanchez
Hahaaaaa[emoji38][emoji38][emoji38] siyo ajabu na Uefa wakabeba +epl
Cheltako inabidi mcheze Europa, maana mna kipa pazia, subirini misimu kama mitano hivi,
Juzi emery katupangia kikos cha ovyo, tumepigwa, kahamia jukwaa letu usiku mzimaMkuu kuwa na Huruma japo kidogo
Ujuwe Ollachuga Oc anakuangalia tu anakusubiri uje ujikwae aje alipize kisasi Kwa kuhamia kwenu mwezi mzima [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23]
Juzi emery katupangia kikos cha ovyo, tumepigwa, kahamia jukwaa letu usiku mzima
Akatamba kabisa Burney wanampiga 5, cha ajabu Jana wamevutwa shati, mpaka sasa anashinda jukwaa la mapishi, na anahamiaga barcelona kwa muda,
Hahaaaaa , Ollachuga Oc anakwambia hakuna kiungo bora EPL, kama joginhoKuna Mjamaa Fulani hapa Kitaa alikuwa akijiita Joginho na akanunua mpaka Jezi ya Joginho, Jana nimemkuta anaibebea Mkaa imebadilika mpaka rangi imekuwa Nyeusi badala ya Blue, Hajiiti tena Joginho karudia kujiita jina lake la zamani la Mahunyege [emoji23] [emoji23][emoji23]
Hahaaaaa , Ollachuga Oc anakwambia hakuna kiungo bora EPL, kama joginho
Jana tu alikwama ..gemu ilimkataa...We si ulisema anatisha? Tena unamuita Master Pass
HahahahahahahahahahaJana ulifia wapi Haji Manara wa Ase8[emoji87]