lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 16,468
- 21,903
Channels karibu zote za DSTV zinaonyesha mechi za leo saa 11 jioni
Nawatakia ligi njema nikitumaini kuwa majeraha ya leo hayatauma sana kwani karibu kitakachotokea kinajulikana
Hongera mshindi wa kwanza na wa pili kwa sababu katika historia ya EPL haijawahi kutokea timu kupata 97 points na asiwe bingwa
This is the best runner-up ever in EPL history
- Brighton VS Man. City - 10 na 11HD
- Liverpool VS Wolves - 4HD
- Leicester City VS Chelsea - 8HD
- Tottenham VS Everton - 5HD
- Burnley FC VS Arsenal - 7HD
- Man. United VS Cardiff City - 9
- Goal focus itakuwa Chanel 3HD
Nawatakia ligi njema nikitumaini kuwa majeraha ya leo hayatauma sana kwani karibu kitakachotokea kinajulikana
Hongera mshindi wa kwanza na wa pili kwa sababu katika historia ya EPL haijawahi kutokea timu kupata 97 points na asiwe bingwa
This is the best runner-up ever in EPL history