Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Kuna uwezekano timu za London zote zikachukua UEFA na Europa tittles mwaka huu
Baada ya Kushindwa Kwa Bayern na Barcelona mumeamua kuhamia kwa Spurs?
Washabiki wa Chelsea bhana! Wameshampa ubingwa Spurs kwa Kumfunga Ajax, lakini aliyemfunga Barcelona hawampi ubingwa.