Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Callum Hudson-Odoi has tonight been named the Chelsea Young Player of the Year after an excellent breakthrough season at Stamford Bridge


25731-callum-hudson-odoi.jpg
He deserved that..
 
Katukuta tunashiriki Europa League leo hii tumeingia UCL kwa kushika nafasi ya tatu.

Tumefika fainali mbili, moja tumekosa kwa penalty nyingine bado ni 50/50.

Alipokuwa Napoli msimu uliopita Juve kachukua kombe kwa tofauti ya point 4. Msimu huu Juve kachukua ubingwa kwa tofauti ya point 16.

Hayo yote ni ndani ya msimu wake wa kwanza. Bado kuna mtu anakwambia kocha mbaya. Sarri anahitaji muda ila alichotucost huyu kocha ni kukosa plan B katika mechi maalumu na ndicho kinachoniumiza hata mimi. Mfano mechi ya Man City haikua ya kufungwa vile.

Bado nina imani na Sarri.
Huyu Sarri tutamtathimini vizuri msimu ujao

Kwa msimu na ukizingatia ni msimu wake wa kwanza darajani, for me kafanya vizuri mno

Plani b inachangiwa na wachezaji tulio nao kwa sasa sio kumlaumu kocha tu
 
Callum Hudson-Odoi has tonight been named the Chelsea Young Player of the Year after an excellent breakthrough season at Stamford Bridge


25731-callum-hudson-odoi.jpg
Anastahili kwa kweli

Namkubali sana huyu dogo ana kipaji kikubwa sana cha soka

Chelsea imshikilie vizuri
 
Frankfurt sio wazuri kwa namna inavyosifiwa, Chelsea ndio hawakuwa kwenye form nzuri.
Frankfurt majuzi walibugizwa 6 na Bayerlevakusen na sasa wako hati hati kutolewa kwenye nafasi ya 4 ya Bundesliga. Huwa kwenye ligi ni timu ya katikati (8-10). Mwaka huu wamebahatisha tu kuwa juu.
Frankfurt ni wazuri Leo nimeiona katika list ya vilabu hamsini bora duniani ikiwa ya 33

Chelsea ni ya 10
Screenshot_20190511-103103.jpg
 
  • Thanks
Reactions: Obe
Kwenye elimu hapo umejichanganya mzee wangu ana masters ya 1992 hivyo kwenye cv yake hastahili kuandika elimu yake kwakua ni more than 10yrs? Crap
Ndio ustaarabu wa kuandika CV, huyo mwenye master ya 92 hapo katikati hajasoma au hana education achievement yeyote
Professional profile unaweza sema una PHD, Master whenever lakini kwenye list of education attained ukiweka kuna wengine watatengeneza kitabu cha kurasa 100 ambacho hakitasomwa. Sio lazima ulist education attained more than 10yrs ago

Wewe kwenye profile sema let say

A 15 years experienced Mechanical Engineer with a master degree in fluid mechanics and specialized in Machineries lubrication systems.
Wakitaka evidence utawatumia documents

Ila kama unapenda historia unaweza weka kila kitu
 
  • Thanks
Reactions: Obe
Frankfurt sio wazuri kwa namna inavyosifiwa, Chelsea ndio hawakuwa kwenye form nzuri.
Frankfurt majuzi walibugizwa 6 na Bayerlevakusen na sasa wako hati hati kutolewa kwenye nafasi ya 4 ya Bundesliga. Huwa kwenye ligi ni timu ya katikati (8-10). Mwaka huu wamebahatisha tu kuwa juu.
mkuu angalia vizuri lineup yao walipocheza na leverkusen utagundua walipumzisha key player hata barca walifanya hivyo na wakapigwa 2
 
Huyu Sarri tutamtathimini vizuri msimu ujao

Kwa msimu na ukizingatia ni msimu wake wa kwanza darajani, for me kafanya vizuri mno

Plani b inachangiwa na wachezaji tulio nao kwa sasa sio kumlaumu kocha tu
Kikosi hakipo flexible kabisa. Wachezaji waliopo bado hawafit sana mahitaji tuliyonayo. Pia Sarri ameanza vizuri msimu wake wa kwanza tunastahili kumpa muda wa kutosha naamini yapo mazuri atayaleta.
 
Katukuta tunashiriki Europa League leo hii tumeingia UCL kwa kushika nafasi ya tatu.

Tumefika fainali mbili, moja tumekosa kwa penalty nyingine bado ni 50/50.

Alipokuwa Napoli msimu uliopita Juve kachukua kombe kwa tofauti ya point 4. Msimu huu Juve kachukua ubingwa kwa tofauti ya point 16.

Hayo yote ni ndani ya msimu wake wa kwanza. Bado kuna mtu anakwambia kocha mbaya. Sarri anahitaji muda ila alichotucost huyu kocha ni kukosa plan B katika mechi maalumu na ndicho kinachoniumiza hata mimi. Mfano mechi ya Man City haikua ya kufungwa vile.

Bado nina imani na Sarri.
Hata hivyo tukimpa msimu mwingine atapata experience ya EPL na atajikuta akitumia na mbinu ili kujipatia matokeo katika mazingira magumu tofauti na msimu huu
Ila achievement ya top 4 sio kwa sababu ya Sarri, nakubali Sarri ni kocha mzuri ukizingatia bado mgeni kwenye ligi kubwa tofauti na PEP na KLOP hata MOU, Top 4 tulipewa kwa hisani ya Man U, Arsenal na nafasi ya 3 kwa hisani ya Spurs. Hizi timu zingemaintain ubora sisi leo tungekuwa tunasugua Benji la namba 6. Hiyo boronga ya Dec hadi Feb ilikuwa ni hatari sana na hatukuwa na tofauti na akina Newcastle
 
mkuu angalia vizuri lineup yao walipocheza na leverkusen utagundua walipumzisha key player hata barca walifanya hivyo na wakapigwa 2
Ila bado haiwafanyi kuwa bora in relation to Chelsea, ndio hoja yangu ya msingi. Wanaweza kuwa bora against Newcastle but not Chelsea bana
 
Una mashaka mkuu?
Fuata hii link halafu soma comments ya wasomaji. Pia nenda kwenye ranking za kila bara utaona mpaka wasomaji wengine wanatukana
Mfano mzuri ingia Africa club ranking, Simba pamoja na kufika robo fainali ya klabu bingwa Afrika hawakutajwa kokote badala yake timu kama MPESA FC ndizo zinazotajwa

https://footballdatabase.com/ranking/world/1

Mojawapo ya comments zilizovuta attention yangu ni

Juan Manuel Cardona

Ok, Red Bull salzburg is better than santos, san lorenzo, sporting, olympique marseille, corinthians.... Come on...this is a big crap.
Austria does not even exist on football universe.

Gefällt mir · Antwort ·
sutro-like.png
6 · 5 J · Bearbeitet


 
Una mashaka mkuu?
Angalia ranking za kisomi (Euro Club Index), wako very transparent kwenye methodologies walizotumia kupata points sio kama hao footballdatabase.com hawajaonyesha wamepataje hizo point kwa sababu wangefanya hivyo wasingeweza kujibu Simba waliofika mpaka robo fainali Afrika hawakuorodheshwa popote kwenye ranking na nafikiri hata young afrika mabingwa wa east afrika. Timu za Uganda hazipo kabisa
Tembelea hii angalia wanavyodadavua ranking yao
https://www.euroclubindex.com/
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom