Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hyo fainali hata sito angalia labda zola apa ge kikosi...auba na lacca mmmmmh
We ni Chelsea na hujui shida ya Chelsea mkuu?

Chelsea shida sio kocha wala kupanga team Bali hatuna mabeki wa kati viongozi na wala hatuna striker wa maana kwa sasa

Suluhisho kwa kuwa tumefungiwa basi warejee Zouma, tamy Abraham, na michy batshuay.

Kumbuka pia tuliwakosa watu muhimu Rudiger na Ngolo
 
Ushindi wa leo ulikuwa ni muhimu ila hawa madogo wa FrunkFart ni hatari aise ...heko nyingi kwa Loftus, Jorgihno leo kapambna sana ..Zappacosta sioni sabbu ya kuwekwa bench ...Emerson ametisha sana ....Kepaaaaaaaaa the next goalkeeper in world ..asante nyingi ziende kwake....hàhahahahaa

Luiz anaeza kuwa Legendary pekee atakayebaki Stamford endapo Eden ataondoka. Ametisha sana...

Kiujumli timu nzima imepambana vya kutosha.

Tunastahili kubeba hili kombe...KTBFTFH
Zapakosta atamuweka nani bench sasa mkuu cha msingi apambane kiwango chake kimeshuka mno tofauti na siku za nyuma
 
Kiufupi sarri amefanya kazi yake sawasawa, katutoa tulipokuwa msimu ukiopita katuleta tunapostahili kuwa, Chelsea sio team ya kukosa champions league hata Mara moja
 
Hapa pana Kamsiba unatarajiwa kutokea

Hivi Auba na Laka mumeshawahi kuwasikia?
Sijui mutawazuia kwa njia gani!
Itategemea siku hiyo wameamkaje na wamelalia upande gani,

Chelsea hata kama ni mbovu kuanzia beki na washambuliaji, siku wakiamka poa unaweza usiamini kama ndio wachezaji walewale uliowaona wakicheza Jana
 
Mkuu ni kweli kabisa unachosema matobo ni mengi sana pale kati kidogo pametulua ila mbele na nyuma ni uozo mtupu. Halafu pamoja na mapungufu yetu mengi tuliyonayo na hata Arsenal ilivyo vizuri vile hasa washambuliaji wake lakini mi naona tuna asilimia kubwa kuchukua hili kombe.
Tusikate tamaa added advantage tuliyonayo Hazard, Luiz, azpi, willian,Ng'olo wamezoea kuchukua vikombe vizito tofauti na wenzetu hivyo wanajua uzito wa kombe kubwa na fainali zinachezwaje, wenzetu walichotuzidi ni kocha tu
 
Japo Luiz alifanya kosa kwenye goli la kusawazisha lakini baadaye alikuja kujirekebisha na tactical move nyingi alizitibua yeye kabla ya kuzuia goli la wazi dk ya 100. Generally Luiz ni mzito na mipira ya counter attack haziwezi
 
Man you talk too much. Better behave urself.

Hii ni nusu fainali lazima timu pinzani ionyeshe changamoto siyo kazi rahisi mkuu. Pia timu ina majeruhi kwa hiyo kikosi kinabadilika kidogo pamoja matatizo yanafahamika siyo game ya leo ndio iwe sehemu ya kukosoa mpaka iwe kero sasa, na hivyo bado hujafurahia tumeingia fainali.?
Nimefurahi japo kishingo upande, fainali sitahitaji tena kuwa na presha kama hii, utanipatia matokeo tukijaliwa uzima[emoji16]
 
Ushindi wa leo ulikuwa ni muhimu ila hawa madogo wa FrunkFart ni hatari aise ...heko nyingi kwa Loftus, Jorgihno leo kapambna sana ..Zappacosta sioni sabbu ya kuwekwa bench ...Emerson ametisha sana ....Kepaaaaaaaaa the next goalkeeper in world ..asante nyingi ziende kwake....hàhahahahaa

Luiz anaeza kuwa Legendary pekee atakayebaki Stamford endapo Eden ataondoka. Ametisha sana...

Kiujumli timu nzima imepambana vya kutosha.

Tunastahili kubeba hili kombe...KTBFTFH
Tatizo dogo la Zapacosta sio clinical kwenye crosses kama Emerson. Ndio tofauti ya Emerson na Alonso, Luiz pia kacheza vizuri sana ukiondoa ile blunder iliyozaa goli la kusawazisha. Katibua kama chances nne hivi za hao madogo bila kusahau lile goli la wazi dk ya 100
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom